Watoto wanaotumika Kupokea Viongozi

Watoto wanaotumika Kupokea Viongozi

Mkuu ungependa na wewe wa kwako siku moja aende kupokea mgeni
Tumeambiwa hii ni nchi yetu sote Mkuu! Kuna ubaya gani IWAPO UTAHOJI UHALALI WA JAMBO LOLOTE? Ama wewe unaishi Nchi gani Mkuu?
 
Kwani kuna sheria yoyote iliovunjwa?
Tumeambiwa hii ni nchi yetu sote Mkuu! Kuna ubaya gani IWAPO UTAHOJI UHALALI WA JAMBO LOLOTE? Ama wewe unaishi Nchi gani Mkuu?
 
Ugeni unapokuja kuna watu mashuhuru au viongozi wenyewe kwa wenyewe hujitolea kutoa watoto zao wakapokee viongozi wengine au ugeni...

Hawalipwi chochote... sisi mpaka nyimbo za nchi yetu... Tanzania tulikua tunaimba, Tanzania Tanzania nakupenda, Tazama Ramani, kama siyo juhudi zake nyerere... zote tumeimba sana kwenye kupokea viongozi wengine...



Cc: mahondaw
 
Akifaham itamsaidia nini yeye binafsi? Kwamba itamuongezea pesa kwenye akaunti yake? Huoni kwamba nikukosa kazi za kufanya huko
Mbona unaumia...kazi na maisha ni yake..kama una majibu mjibu....kama huna tulia wenye majibu waje...
 
Ugeni unapokuja kuna watu mashuhuru au viongozi wenyewe kwa wenyewe hujitolea kutoa watoto zao wakapokee viongozi wengine au ugeni...

Hawalipwi chochote... sisi mpaka nyimbo za nchi yetu... Tanzania tulikua tunaimba, Tanzania Tanzania nakupenda, Tazama Ramani, kama siyo juhudi zake nyerere... zote tumeimba sana kwenye kupokea viongozi wengine...



Cc: mahondaw
Unahakika hakuna BAJETI yeyote hapo Mkuu? Ujue hizo ni KODI ZETU aisee.
 
Unahakika hakuna BAJETI yeyote hapo Mkuu? Ujue hizo ni KODI ZETU aisee.

Bajeti ipo kwa kwa ajili ya tukio zima kwa ujumla, ila swali la mleta mada ni kwamba wanalipwa bei gani hao watoto, hawalipwi chochote...


Cc: mahondaw
 
Swali fikirishi sana. Watu watakuja na majibu mengi tu ya kukukosoa, lakini ukweli ni kwamba jibu sahihi linahitajika maana sijawahi kusikia maombi ya kazi kwa watoto hao.
Nafikiri ni watoto wa wanye nafasi tu na si vinginevyo. Kwani yule mtoto wa Baba nanii na Mama nanii kule kijijini nani anayemfahamu?
Kuna MAJINGA NA MAPUMBAVUU MENGI nchi hii Mkuu, hasa katika Utawala huu.
 
Back
Top Bottom