Joowzey
JF-Expert Member
- Nov 13, 2015
- 13,164
- 13,556
Kweli aisee,ndio maana nasemaga kwamba jf wengi ni joblessAkifaham itamsaidia nini yeye binafsi? Kwamba itamuongezea pesa kwenye akaunti yake? Huoni kwamba nikukosa kazi za kufanya huko
Kweli aisee,ndio maana nasemaga kwamba jf wengi ni joblessAkifaham itamsaidia nini yeye binafsi? Kwamba itamuongezea pesa kwenye akaunti yake? Huoni kwamba nikukosa kazi za kufanya huko
Kumbe kusindika lina maana nyingi zaidi ya viwanda vya kusindika nyama n.k!Kwani wale wanowasindika uwanjani wachezaji wa mpira hasa ulaya wale ni watoto wa nani ukipata jibu basi na hao utapata jibu kama ni watoto wa makocha au washabiki au nani
Wa kwake anamwandaa kujiunga na red brigade kitengo cha kujitoa muhanga!Mkuu ungependa na wewe wa kwako siku moja aende kupokea mgeni
Hapo mtoto wa UFIPA hakanyaji!Watoto wa magorofani
Jamii forum inapoteza muelekeo sijui tumeingiliwa na watu gani ,hiyo ni hoja nzuri sana tujibizane kwa hojaUnataka ukampokee wewe?
NI swali ambalo sio fikirishi.Jamii forum inapoteza muelekeo sijui tumeingiliwa na watu gani ,hiyo ni hoja nzuri sana tujibizane kwa hoja
Acha uvivu wa kufikiri wewe! Kila mtu angefikiri namna hiyo kungekuwa na kupiga kura ama jambo lolote la kushirikisha Wananchi wengi? Acha kukariri na kufikiri kwa kutumia MAKALIO (MASABURI). PUMBAVU!Akifaham itamsaidia nini yeye binafsi? Kwamba itamuongezea pesa kwenye akaunti yake? Huoni kwamba nikukosa kazi za kufanya huko
Acha uvivu wa kufikiri wewe! Kila mtu angefikiri namna hiyo kungekuwa na kupiga kura ama jambo lolote la kushirikisha Wananchi wengi? Acha kukariri na kufikiri kwa kutumia MAKALIO (MASABURI). PUMBAVU!
Shukrani Mkuu, kuna watu wanatoa majibu ya hovyo hovyo tu hapa, utadhani hawalipi kodi yeyote ile. Huyo mtoto anajitolea tu? Ama kuna gharama analipwa?Wengi ni watoto wa viongozi, mfano kwenye picha iliyopo kwenye hii thread huyo mtoto aliyempa maua Tsheked ni mtoto wa mhe mbunge sixtus mapunda , huyu mtoto anatumika Sana kwenye hizi shughuli nadhani kashakuwa mzoefu sasa. Ukitaka kuthibitisha angalia Instagram account ya baba au mama yake utamuona huyo mtoto