win-one
JF-Expert Member
- May 28, 2024
- 2,851
- 8,452
😋 wakubwa wanafaidi mnoooo
😋 wakubwa wanafaidi mnoooo
kwa kweli alf roll model wako ni nani kwenye kujifunza huo ukubwa 😆😆Najifunza ukubwa 😂
Na wewe usituchoshe na hizo dad zako! Hivi ndivyo huwa vinaliwa kimasikhara na akina mzee Mshana!Ila Dad heh😁
umeniwahi🤣, nilitaka niseme hivyo piaNikiwa mkubwa nami nataka nifaidi😆
🤣🤣🤣🤣🤣 nimechekaaaaa Hata najua basi hebu njoo upokee vidonge kwanzaNa wewe usituchoshe na hizo dad zako! Hivi ndivyo huwa vinaliwa kimasikhara na akina mzee Mshana!
Mtu akila uzao wake kuna shida yoyote utapata ?Na wewe usituchoshe na hizo dad zako! Hivi ndivyo huwa vinaliwa kimasikhara na akina mzee Mshana!
Nimevopokea binti tayali🤣🤣🤣🤣🤣 nimechekaaaaa Hata najua basi hebu njoo upokee vidonge kwanza
Hata sijui baado nafanya upekuzi🏃♂️kwa kweli alf roll model wako ni nani kwenye kujifunza huo ukubwa 😆😆
Hata kama uzee, ukikutana na kiumbe wa namna hii unakuwa kijana ghafla😅
Mjukuu usikasirike, tunajaribu kukukuza taratibu ili ufikie panapotakiwa tuanze kula taratibu 😅😅😅Mtu akila uzao wake kuna shida yoyote utapata ?
Tufanye basi nimeliwa kimasikhara
wewe uta athirika vp na uliwaji wangu?
Kwanini baadhi ya watu wa JF mna hasira kali?
Leave me alone ndugu Manjagata
Ukiona na kuchosha ignore me🤝
Babu kwanini watu wengi wanawatania sana tena wengiiiMjukuu usikasirike, tunajaribu kukukuza taratibu ili ufikie panapotakiwa tuanze kula taratibu 😅😅😅
Hawataki wazee tuenjoy na vibinti vibichi, tunasakamwa sana sisi wazee!!Babu kwanini watu wengi wanawatania sana tena wengiii
Mie nikitaniana na nyie wananipandia juu shida nini?🤔
sijafurahi udugu ila nimeshangaa hilo povu limetoka wapi? unajua mimi napenda kucheka hata nikiwa na hasira😪😆,, nikasema nikuite uje umjibu mwenyewNimevopokea binti tayali
Asante kwa tarifa
So na wewe umefurahi mimi kuambiwa hivyo?
Hakunaaa washindweee😂😂Hawataki wazee tuenjoy na vibinti vibichi, tunasakamwa sana sisi wazee!!
umeandika kwa uchungu sana,,, polee jamni uwe unanitania mimi pekeangu ndo sina mtu,, hao wengine ni watu wa watu, utapigwaaaa😅😅😅😅Babu kwanini watu wengi wanawatania sana tena wengiii
Mie nikitaniana na nyie wananipandia juu shida nini?🤔
Hakunaaaaa unanisalitisijafurahi udugu ila nimeshangaa hilo povu limetoka wapi? unajua mimi napenda kucheka hata nikiwa na hasira😪😆,, nikasema nikuite uje umjibu mwenyew
alf kwanini umenifanya nijieleze hivi? 😆😆
wazee mnatoa princess treatment mpka vibinti vibichi vinapagawa lol😅😅Hawataki wazee tuenjoy na vibinti vibichi, tunasakamwa sana sisi wazee!!
Bhana mi staki nataka kuwatania hao hao wazee😂😂😂 wewe mdogo nakutaniaje sasaumeandika kwa uchungu sana,,, polee jamni uwe unanitania mimi pekeangu ndo sina mtu,, hao wengine ni watu wa watu, utapigwaaaa😅😅😅😅
kwa jina lingine umeniita yuda si ndio mwanetu😏Hakunaaaaa unanisaliti