MahinaVeterani
JF-Expert Member
- Aug 8, 2013
- 710
- 254
Kama ilivyo mfumo ada kwa viongozi na viongozi wastaafu wa serikali ya CCM a ni kurithishana madaraka,hebu wanajamvi tuangazie majina navyeo vya watoto wa ma ccm waliorithishwa vyeo na nafasi katika taasis mbalimbali.
Mkuu, kwenye Jukwaa hili Wadau wanajadili Biashara na Uchumi. Uzi ungekuwa na Tija kama ungetaka Wadau wajadili na kutafakari fursa mbalimbali zitakazowawezesha kurithisha Watoto wao utajiri! Wakati wewe unajadili "ma ccm" na "CCM" wenzako kwenye Jukwaa hili wanajadili fursa mbalimbali za Biashara na Uchumi! Ninakutakia Mjadala mwema wa "ma ccm" na CCM ili uje urithishe Watoto wako "ma ccm" na "CCM"!