FairPlayer
JF-Expert Member
- Feb 27, 2006
- 4,145
- 731
Tuwanafiki.
Kuna wengi sana hapo wanatuzidi IQ wengi wetu huu
Kuna wengi sana hapo wanatuzidi IQ wengi wetu huu
Kwa kumbukumbu zako Mwanaasha Kikwete alistahili kuhitimu Feza Girls? unajua ni kwanini alipata nafasi ya kusoma pamoja na kwamba alikuwa na kiwango duni?
alibebwa hakuwa na kiwango cha kusoma feza!
utakuwa mtt wa kigogo ww
Tuache wivu. Tujiulize je wanauwezo wa kufanya hapo? Je wanfanya kazi ipi ma upi utendaji wao? Kingine kwa jinsi nepotism ilivyo jadi ya taifa letu, naamini hata Nyinyi wanajamvini mtakuwa au umngethubutu kuajiri ndugu zenu sehemu nzuri.
Nani ambaye hataki ndugu,kaka, mdogo kupata kazi powa.
Hili ndilo taifa sisi sote tulitakalo. Sasa tukikataa kwa pamoja aina hiibya maisha, na pia tusemezane kwenye katiba mpya kwamba nepotism au upendeleo wa aina yeyote ni mwiko "kwa pamoja" naamimi tutakuwa taifa lenye mwelekeo thabiti na bota kabisa.
Mkuu katika nchi kama Tanzania na nchi nyingi za third world hawa watoto na familia zako wako above the law na wana privileges zaidi yako. Inauma kukubali lakini ndio ukweli wenyewe. Pangu pakavu kama mimi nikidakwa na unga nitapigwa hata mvua 30. Mtoto wa kigogo akifanya the same crime ataachiwa huru. Hio ndio bongoKuwa mtoto wa kigogo nilizama mzazi wako awe na cheo kikubwa serikali au kampuni kubwa.... Je mimi ambaye ni mtoto wa mwenyekiti wa kijiji,weo,veo,mfanyabiashara,mkulima ni mtoto wa Fito.
Binafsi hii kasumba ya watz wa leo inanikera sana.
I went to feza o level and a level, kwani kiwango cha kusoma feza kinakuaje hadi mwanaasha akose ? Kupata feza sio ngumu kama marian labda nowdays.. Feza wanachotaka uwe umesoma english medium school, akili za wastani tu za kufundishika na uwe na uwezo wa kulipa million 5 per year bila usumbufu,, kuna watoto wa kiarabu kibao feza ni average students tu, sema shule inawajenga na kuwa best performers o level and a level and then wanaenda abroad wengi as hela zipo nyumban kwao..
Eveb myself sikuwa top performer but nilikuwa recruited bila shida although hata loyola, na various seminars zilinitosa lakin feza changes me na kuwa among best student as maksi nilizopata sekondari haters wote walikaa kimyaaaa,,,
kaka acha mapepe,unajitungia habari tu hapa,kama huna kipya kaa pembeni.kwanza sumaye hana mtoto anaeitwa rogers,bali ana watoto wawili ambao ni filbert na frank,pili filbert alirudi nchini baada ya kumaliza masters yake ya computer science.na aliporudi alikaa miezi nane akifanya kazi ktk kampuni binafsi ndio akaajiliwa.huo uzushi umetoa wapi kaka?ata ukiuliza watu aliosoma nao tosamaganga f 5&6 watakwambia jinsi alivyo mtu simple na wakujituma.kazini kwake wanamtegemea mtafute bosi wake mzee masawe atakwambia.pia wapo wenye cpa na
nk.wivuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu mbaya jamani
Mimi nimesoma feza..... Hehe bey ibrahim bicaci (bichakchil yupo...?
Feza erkek lisesi cok guzel
NA HAPO NDIPO MTAKUFA NYINYI NA WAJUKUU ZENU WENGINE TUTAPAA KWENDA ZETU NG'AMBO KUENDELEA KULA MAISHA.NANI ALIEKWAMBIA VITA VYA KONY VINAMGUSA MUSEVEN NA FAMILIA YAKE?
KAKA ACHA MAPEPE,UNAJITUNGIA HABARI TU HAPA,KAMA HUNA KIPYA KAA PEMBENI.KWANZA SUMAYE HANA MTOTO ANAEITWA ROGERS,BALI ANA WATOTO WAWILI AMBAO NI FILBERT NA FRANK,PILI FILBERT ALIRUDI NCHINI BAADA YA KUMALIZA MASTERS YAKE YA COMPUTER SCIENCE.NA ALIPORUDI ALIKAA MIEZI NANE AKIFANYA KAZI KTK KAMPUNI BINAFSI NDIO AKAAJILIWA.HUO UZUSHI UMETOA WAPI KAKA?ATA UKIULIZA WATU ALIOSOMA NAO TOSAMAGANGA F 5&6 WATAKWAMBIA JINSI ALIVYO MTU SIMPLE NA WAKUJITUMA.KAZINI KWAKE WANAMTEGEMEA MTAFUTE BOSI WAKE MZEE MASAWE ATAKWAMBIA.PIA WAPO WENYE CPA NA
NK.WIVUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUU MBAYA JAMANI
wafuatao ni wafanyakazi wa benki kuu ya tanzania :-
1. Filbert sumaye
2.beatrice bomani
3.pamela lowassa
4.zakaria kawawa
5.salama mwinyi
6.salama mahita
7.rachel msekwa
8.jane sitta
9.jasmini karume
10.radhia shein
11.justina nchimbi
12.blasia benjamin w. Mkapa
13.jerome diallo
14.likele ngasongwa
15.andy magufuli
16.thomas mongela
17.jabir a. Kigoda
18.marry mramba
19.ismail meghji
mtoto wa mkulima kama mimi tutasubiri sana hiyo nafasi...
Source: Chanzo cha kuaminika 100%
sasa kama wamesoma shule za maana kuanziq primary, degree wamechukua usa huko masters uk utataka ushindane nae wewe mtoto wa ifm ?
Usinichekeshe.....