Nimeingia kazini tulikuwa na Windows NT, ndo ilikuwa advance 2002 hiyo. Shuleni ilikuwa Windows 95 ikaja Windows 98. Nilisoma windows NT administration, na vikorokoro vyake. Floppy disk zilitutesa sana wakati Ile. Tunafanya project shuleni unasevu kwenye floppy km kumi hivi. Dial up connection za internet yaani ilikuwa balaa. Social media yetu ilikuwa Dar hotwire, msn messenger a yahoo chat. Ilikuwa balaa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.