Watoto wa sikuhizi hawawezi kuelewa

Lumbi9

JF-Expert Member
Oct 12, 2014
8,547
11,765
Hawajawahi pitia haya
FB_IMG_15334892443610326.jpeg
 
Hehehehhe Enzi hizo nilikuwa nalala na Saa 12 Alfajiri ili tu kudownload vitu.
 
Nimeingia kazini tulikuwa na Windows NT, ndo ilikuwa advance 2002 hiyo. Shuleni ilikuwa Windows 95 ikaja Windows 98. Nilisoma windows NT administration, na vikorokoro vyake. Floppy disk zilitutesa sana wakati Ile. Tunafanya project shuleni unasevu kwenye floppy km kumi hivi. Dial up connection za internet yaani ilikuwa balaa. Social media yetu ilikuwa Dar hotwire, msn messenger a yahoo chat. Ilikuwa balaa.
 
Wazee wa MS Dos nao hawajaja bado na zao. Chumba cha kompyuta mnaongia bila viatu na kina AC kali balaa
 
Ilikuwa ukiwasha PC kama vile umewasha feni inavyounguruma.

Hatari sana.
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom