Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 45,120
- 111,794
Wa kiume si atakuta amehonga ad nyumbaKuwa makini, kama ni kazi tafuta hata kijana wa kiume tu ,usije kuingia majaribuni buree


Wa kiume si atakuta amehonga ad nyumbaKuwa makini, kama ni kazi tafuta hata kijana wa kiume tu ,usije kuingia majaribuni buree


Nimecheka sanaNimeona
Akikutag naomba namimi uniite😂Mkuu Akikujibu nitag
eeh kaka kama Malcom X yani by any means necessary.Duh kurogana tena?!
Eeeh anakamata fursa mapema. Inahuu yeye ahudumie nyumba afu waje waishie kukaa wengineKaona bora yeye tu awe maza hausi maana nyumba imepooza.
bado kanaonyesha kana akili za masharobalo
unakuta hadi mama yake anakapa mbinu 😂 za kunasaNa ndo angekuta mwanaume asiyejitambua; hiyo mbona ingekuwa ndoa ya mkeka. Tena vibinti kama hivyo ukikigusa tu mbona ndo ushaoa
Wa kiume si atakuta amehonga ad nyumba![]()
, aisee ila hako kabinti nahisi kameona fursa hivi asije kujaribiwa mkuu, au asiwe na mfanyakazi kabisadarasa LA fursa halijakapita😂![]()
![]()
, aisee ila hako kabinti nahisi kameona fursa hivi asije kujaribiwa mkuu, au asiwe na mfanyakazi kabisa
aaa sawaJamani. ... huu sio uhalisia wangu. ..maandishi ya Jf yasikufanye unihukumu tofauti. .Kuna maisha mengine kabisa nje ya Jf ambayo yapo tofauti na fake life ya humu
Miaka 18-20 mtoto? Pacha unaniangusha aisee sikutegemea
unakuta hadi mama yake anakapa mbinuza kunasa
Eeeh lazima "abuni mbwinu", akipata mtoto ndo mama naye ameshayapatia maisha















ejoo mbavu zangu mm