Chrismoris
JF-Expert Member
- Oct 27, 2017
- 14,234
- 17,826
Pele limemkuta mtu hasiye na kucha.
Nilikuwa na msaidizi wa kazi za nyumbani. Kutokana na majukumu mengine ya kifamilia ikamlazimu aache ila akaniletea mdogo wake.
Huyu mtoto ana umri kati ya miaka 18-20. Dah huyu mtoto ananisumbua balaa! Kwanza alikuwa ananiamkia, ghafla ameanza mambo vipi. Mara nikirudi anataka aingie ndani anipikie(huwa anafanyakazi nje sio ndani,basically nyumba iwe na mtu nikitoka)
Sasa amekuwa so aggressive, siku chache zilizopita nimerudi ananilazimisha nitoke nae 'tukatembee' namwambia nimechoka na kazi eti anasema kazini unakaa kwenye kitu tu unachokaje!
Kali kuliko ni juzi jumamosi nimerudi nikamwambia jpili na jtatu nipo kwahio aje jumanne asubuhi. Akaniambia sawa ila jumatatu Eid njoo nikupikie chakula kitamu, nikajibu sawa,sikutaka Stori ndefu! Sasa hivi kaniibukia eti kwanini hukuja mpaka saa hizi basi nimekuja mimi! Nimemwambia nina wageni ameondoka! Alivyovaa sasa Mungu anamuona!
Mkuu safari hii umekuja kimtoto wa kiume na si mwanaumeNilikuwa na msaidizi wa kazi za nyumbani. Kutokana na majukumu mengine ya kifamilia ikamlazimu aache ila akaniletea mdogo wake.
Huyu mtoto ana umri kati ya miaka 18-20. Dah huyu mtoto ananisumbua balaa! Kwanza alikuwa ananiamkia, ghafla ameanza mambo vipi. Mara nikirudi anataka aingie ndani anipikie(huwa anafanyakazi nje sio ndani,basically nyumba iwe na mtu nikitoka)
Sasa amekuwa so aggressive, siku chache zilizopita nimerudi ananilazimisha nitoke nae 'tukatembee' namwambia nimechoka na kazi eti anasema kazini unakaa kwenye kitu tu unachokaje!
Kali kuliko ni juzi jumamosi nimerudi nikamwambia jpili na jtatu nipo kwahio aje jumanne asubuhi. Akaniambia sawa ila jumatatu Eid njoo nikupikie chakula kitamu, nikajibu sawa,sikutaka Stori ndefu! Sasa hivi kaniibukia eti kwanini hukuja mpaka saa hizi basi nimekuja mimi! Nimemwambia nina wageni ameondoka! Alivyovaa sasa Mungu anamuona!
Hahaha mjini kudaka fursa mpenziejoo mbavu zangu mm
Huwezi amini namba yake sina, nawasiliana na dada yake kama nina maagizo, nimegundua nilifanya jambo la maana kutochukua wala kumpa namba yangu. Dawa yake ishachemka nitawapa mrejesho.Aaahhahahahahhahaaaa leo unepatikana...... Naomba namba ya huyo binti nimpe mbinu, mwenyewe utaingia laini na mavazi yake yatakuwa dera, atarudi kukuamkia shkamoo na hatokusemesha semesha zaidi ya kuuliza maagizo ya kazi au kujibu uliyomuuliza.
Midlife crisis.... (Sijui Ndo unaandikaga hivyoo, nimekulipizia) Aaahahhahahahahahaaaa
K' Matata.
Mbona kama mnateseka sana
Hhaha jf bana. Aisee hahahVipi wewe ni mgambo wa jf?
Tukicomment tutoe na sababu au teh
RRONDO alipaki gari lake kisha akapanda ngazi kuingia ndani akawasha Ac kisha binti akaanza kumtega tega
“Hiki kipande kasahau kutusimulia “



Kuna sehemu nimeandika nahitaji msaada?
Sasa ndiyo ugundue wao wameumbwa na soni kutongoza kwao ndiyo hivyo. ..
Kinyume chake Wa kiume angebaka au kulazimisha. Kwanini usitafute wa kiume?
Wewe huna kabisa shangazi anayekuja hapo frekwentiliiii
Sasa Mzee mwenzangu mbona unaniangusha?
Labda uniambie huyo mtoto ni mbaya lakn kama mashallah, unataka nini? Tafuna mtoto huyo
Nilikuwa na msaidizi wa kazi za nyumbani. Kutokana na majukumu mengine ya kifamilia ikamlazimu aache ila akaniletea mdogo wake.
Huyu mtoto ana umri kati ya miaka 18-20. Dah huyu mtoto ananisumbua balaa! Kwanza alikuwa ananiamkia, ghafla ameanza mambo vipi. Mara nikirudi anataka aingie ndani anipikie(huwa anafanyakazi nje sio ndani,basically nyumba iwe na mtu nikitoka)
Sasa amekuwa so aggressive, siku chache zilizopita nimerudi ananilazimisha nitoke nae 'tukatembee' namwambia nimechoka na kazi eti anasema kazini unakaa kwenye kitu tu unachokaje!
Kali kuliko ni juzi jumamosi nimerudi nikamwambia jpili na jtatu nipo kwahio aje jumanne asubuhi. Akaniambia sawa ila jumatatu Eid njoo nikupikie chakula kitamu, nikajibu sawa,sikutaka Stori ndefu! Sasa hivi kaniibukia eti kwanini hukuja mpaka saa hizi basi nimekuja mimi! Nimemwambia nina wageni ameondoka! Alivyovaa sasa Mungu anamuona!






























Sorry mkuu unataka tukusaidieje?
Kuna sehemu nimeandika nahitaji msaada?









