Emmaro
JF-Expert Member
- Aug 29, 2018
- 455
- 701
kaitishe kikao kimoja kikali kachague kazi au mapenzi kakisema mapenzi kaambie kaende kwa visuka nywere 😂😂Angekuwa suitable candidate tusingekuwa tunajadili hii mada
kaitishe kikao kimoja kikali kachague kazi au mapenzi kakisema mapenzi kaambie kaende kwa visuka nywere 😂😂Angekuwa suitable candidate tusingekuwa tunajadili hii mada
Wanafanana na "wazazi wa siku hizi"
Ila nshomile hapo sasa nini haujaelewa? Hebu fanya mambo bwana uvute jiko hilo tule ubwabwa.
bado kanaonyesha kana akili za masharobaloBinti anataka status yake iwe upgraded to "wife"
Nikikufuma na mdogo wangu utajuta.Hakuna.....hivi vya umri huu ndiyo vitamu na vjnajituma kitandani balaa..
We sema tu vile jamaa hataki..
Lakini huyo ni mbuzi kafia kwa muuza supu...kazi hapo ni muuza supu tu kubandika chungu jikoni...![]()
Akimaindi mziki, me nampa tuNikikufuma na mdogo wangu utajuta.


Mnatuharibia wadogo zetuAkimaindi mziki, me nampa tu![]()
Hizi opportunities huwa zinanitokea rarely sana ila huwa nazitumia effectively kweli kweli.Nilikuwa na msaidizi wa kazi za nyumbani. Kutokana na majukumu mengine ya kifamilia ikamlazimu aache ila akaniletea mdogo wake.
Huyu mtoto ana umri kati ya miaka 18-20. Dah huyu mtoto ananisumbua balaa! Kwanza alikuwa ananiamkia, ghafla ameanza mambo vipi. Mara nikirudi anataka aingie ndani anipikie(huwa anafanyakazi nje sio ndani,basically nyumba iwe na mtu nikitoka)
Sasa amekuwa so aggressive, siku chache zilizopita nimerudi ananilazimisha nitoke nae 'tukatembee' namwambia nimechoka na kazi eti anasema kazini unakaa kwenye kitu tu unachokaje!
Kali kuliko ni juzi jumamosi nimerudi nikamwambia jpili na jtatu nipo kwahio aje jumanne asubuhi. Akaniambia sawa ila jumatatu Eid njoo nikupikie chakula kitamu, nikajibu sawa,sikutaka Stori ndefu! Sasa hivi kaniibukia eti kwanini hukuja mpaka saa hizi basi nimekuja mimi! Nimemwambia nina wageni ameondoka! Alivyovaa sasa Mungu anamuona!
Kaona bora yeye tu awe maza hausi maana nyumba imepooza.Binti anataka status yake iwe upgraded to "wife"
Miaka 20 ni binti mkubwa..ana hips kama zote, makalio kama yoye, nyonyo kaka zote.....yaani ile shape ya kichokozi imeshakuja. ....Mnatuharibia wadogo zetu





PRONDO siyo mpika supu ni mpika chapati.Bro miaka 20 kwa mujibu wa katiba ya Jamhuri ya muungano wa Tanzani ni mzima mwenzako...hata ukiamua kutangaza ndoa....tutakuchangia bila kinyongo..
Anyway...hapo ni kumgegeda au kumkanya hadharani na kumuonyesha ni namnangani hupendezwi na tabia zake..
Options hapo ni mbili...unaweza kuchagua yenye urahisi kwako...
Ila..dah...mbuzi anafia kwa muuza supu halafu hubandiki chungu jikoni..???![]()
Na huyo binti kama ni wa ukanda wa pwani ...naiona ndoa ya mkeka ileee....inapiga push ups.Kama unatumia kilevi ipo siku utashtuka tayari maana kwa speed hiyo lazima awe winner
Acha uchochezi. Btw who's that daisy Lillie's?Kwani Zali halikumuangukia Daisy Llilies RRONDO ?