Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 67,132
- 174,036
Nitakufa tu maana hamna namna ingine 😂😂😂Umeona sasa ulivo wa kishua hadi unachagua mboga kula kila kitu, ukienda vitani itakuaje😀
Nitakufa tu maana hamna namna ingine 😂😂😂Umeona sasa ulivo wa kishua hadi unachagua mboga kula kila kitu, ukienda vitani itakuaje😀
Hagaz tena?? Ni nini? usitumie misamiati migumu sanaa😀 maza hakutaka masikhara kabisa.Maza alikuwa kavuu, sema nipongeze juhudi zake maana bila yeye nisingekuwa na bebe mwenye hagaz la kuvunja chaga😁
Nainjoy jichura mie...,Hagaz tena?? Ni nini? usitumie misamiati migumu sanaa😀 maza hakutaka masikhara kabisa.
Shauri yako!Nitakufa tu maana hamna namna ingine 😂😂😂
Duh ila sifi, behaviourist asije kumung'unya biskuti yangu mie.Shauri yako!
Acha nikuamkie hapa hapa tu kaka, hujambo lknDah, hebu njoo Pm.
Uniamkie vzr.
Kwenda uongo huo, ngoja akusikie BehaviouristNainjoy jichura mie...,
Mi sio wa kishua ila iliwahi nikuta hii,, kuna jamaa yangu aliweka vitu vyake kwenye begi langu kumbe kuna picha la x humo,, kulicheki nikavizia hamna mtu nikaanza kuona kideo ghalfa si muda umeme ukakatika, mi nilitoa nyaya nikazificha nikaenda ground kupiga ball kurudi nikakuta wanatafuta nyaya nikajidai nawasaidia kumbe navizia nichukue zaga nisepe nalo,, nikafanikisha kisha nikawarudishia nyaya, sema mzee alinizingua kidogo akapoa tofauti na angekuta lile zaga I'm sure angenipiga kama mwizi.Na sisi watoto wa kishua tulikua tunamitihani yetu...mfano unaenda kukodi mkanda wa X ile unautumbukiza tu kwnye deki baba kaenda kazin...ghafla umeme unakatika mkanda unakaa humohumo na umeme unarud saa 2 usiku mshua nae anakua seblen tayar
hata mm nilikuwa namaindi halafu mm nilienda mbali zaidi hata upolo wa ubwabwa na chai nilikuwa sipendiDah bonge la breakfast hiloo, ila kiukweli nilikua nakula huku nimemind kinoma😀😀. Chai ya rangi siipendagi hadi kesho.
Mi nilikua atleast ubwabwa nilikua nakula mkavu bila chai, ila chai ya rangi ni nani aliigundua aisee🤔 siyo nzuriihata mm nilikuwa namaindi halafu mm nilienda mbali zaidi hata upolo wa ubwabwa na chai nilikuwa sipendi
Ahaaa nguniani naipenda sana , ila hatujawahi kukausha kwijulu bana ilivo mboto(nyingi)😀 nandala fyo fiki?Ni kama tu nguniani au nandala ya kukausha juani au kwijulu
ughwe ulinjanga kabisa...Ahaaa nguniani naipenda sana , ila hatujawahi kukausha kwijulu bana ilivo mboto(nyingi) nandala fyo fiki?
Hpk deki inawekwa kwenye bag, tunatafuta umeme ulipo...sikuwahi kufeli kwenye hiliNa sisi watoto wa kishua tulikua tunamitihani yetu...mfano unaenda kukodi mkanda wa X ile unautumbukiza tu kwnye deki baba kaenda kazin...ghafla umeme unakatika mkanda unakaa humohumo na umeme unarud saa 2 usiku mshua nae anakua seblen tayar
Mmoja huyu hapa😆Vinapanda lakini
Hee nandala ni majani ya kunde? Duh po ingamu jake hijo ngajimanya😀ughwe ulinjanga kabisa...
Nandala ni majani ya kunde
Hpk deki inawekwa kwenye bag, tunatafuta umeme ulipo...sikuwahi kufeli kwenye hili
hata mm siipendi, ila mama angu humwambii kitu kwenye chaiMi nilikua atleast ubwabwa nilikua nakula mkavu bila chai, ila chai ya rangi ni nani aliigundua aisee🤔 siyo nzurii