YoungCorporate
JF-Expert Member
- Apr 30, 2010
- 391
- 113
kampuni nyingi ambazo hutoa huduma 'services' hutegemea wafanyakazi wake kama wazalishaji wakuu na sio mitambo kama ilivyo kwenye production industry. Lakini kampuni hizi zinashindwa kuweka wafanyakazi kama asset kwenye balance sheet zao, kwa kuwa watu hawa-fit kwenye definition ya asset ambayo inakepengele cha Ku-control! Vivo hivyo watoto hawafit kwenye asset dfntn!