Watoto ni liabilities jamani na si assets dah!

Hilo mbona liko wazi kabisa Boss. Na nashangaa kwa nini watu wanabisha. Sijui wanataka watu tuanze kutoa darasa la Business administration 101.

Ngoja nikupe mfano. Evander Holyfield, yule former world heavyweight champion ana bonge la jumba. Hili jumba alilichukulia mkopo (mortgage) kipindi kile bado anapigana na wakati hela ilikuwa inaingia kwa wingi.

Sasa hivi jamaa kaishiwa. Hana tena hela kama ilivyokuwa zamani. Ana watoto 9 na 6 au 7 kati ya hao 9 anawalipia child support. Hilo jumba lake (na ni jumba kweli kweli - ni estate) gharama za matunzo kwa mwezi zinadzidi dola laki sita kwa mwezi.

Bila steady stream of good income hawezi kumudu matunzo ya hilo jumba, hawezi kumudu monthly mortgage note yake, na ukiongezea child support ndo kabisa inakuwa mbinde.

Jamaa ana miaka karibu 50 sasa hivi na bado eti anapigana. Anafanya hivyo kwa sababu hajui kitu kingine zaidi cha kufanya zaidi ya kupigana ngumi za kulipwa. Huyu jamaa alitengeneza hela nyingi sana enzi za ushababi wake. Unwise investments ndiyo zimemponza.

Hilo jumba kuna kipindi, miaka takribani 9 iliyopita lilikuwa appraised kuwa worth around 10-15 million US dollars. Sasa hivi kwa sababu housing market ni mbaya sana thamani yake haizidi hata dola milioni 7.

In the last 5 years mortgage lender wake kajaribu kuli-foreclose hilo jumba mara kadhaa. Kuna wakati waliliweka kabisa katika orodha ya nyumba za kupigwa mnada ambazo zimekuwa forclosed. Evander aka-maneuver akaweza kulipa hiyo outstanding balance yake akaliokoa jumba lake kutopigwa mnada.

Sasa kweli hilo lijumba mtu unaweza kuliita asset? Kwa sababu hata akiamua kuliuza sasa hivi hataliuza kwa ile bei aliyolinunulia enzi hizo miaka ya katikati ya 90. Ataliuza kwa bei ya chee mno. Hilo jumba siyo asset. Hilo jumba ni liability!

exactly my point.....
nyumba ina thamani mfano ipo kigamboni..
ghafla serikali inatangaza kuwa eneo hilo ni la mradi..
nyumba hhiyo sasa huwezi kuikopea pesa bank au kuiuza kwa thamani yake...
so nyumba ilikuwa assets na imekuwa a liability pia....
 
Haya wandugu sie vilaza tushajua sasa asset ni nini na liability ni nini. Turudi kwenye mada watoto ni assets au liabilities
 
Jamani you can't change the reality..." An Asset is a resource controlled by an entity or person as a result of past events and from which future economic benefits are expected to flow to an entity/person.......

Liability is a present obligation of an entity arrising from past events, the settlement of which is expected to result in an outflow from an entity of resources emboyding economic benefits.



kusema hivyo basi a car can be an Asset as we expect when realised an economic benefit is expected otherwise is a liability....mtoto hayupo hapa maana ukisomesha usitegemee akulipe.
 
..... watoto ni "liabilities" and not assets. .....

Hazole,

Duh! ...sijui watoto wakae upande gani wa balance sheet (Liabilities? Assets?) kwani mimi naamini watoto wako katika kundi la "Owner's Equity" yaani sehemu ya familia ambayo inabidi iongezeke kama Mungu alivyosema tuzae ..tuongeze mtaji wa dunia..

Haya nipe.."Owner's Equity iko upande gani wa balance sheet?
 
Hazole,

Duh! ...sijui watoto wakae upande gani wa balance sheet (Liabilities? Assets?) kwani mimi naamini watoto wako katika kundi la "Owner's Equity" yaani sehemu ya familia ambayo inabidi iongezeke kama Mungu alivyosema tuzae ..tuongeze mtaji wa dunia..

Haya nipe.."Owner's Equity iko upande gani wa balance sheet?
Tulizo...huku unaenda mbali zaidi.
Watu hapa JF wakiongozwa na The Boss hawaelewi maana Assets na Liabilities.. Ukiwaletea tena story za Owner's Equity utakuwa unawapa kizunguzungu!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom