Watoto....best interest.....

Uhakika wa kwamba angekua mjini angekua anakula raha ungetoka wapi?!Kukaa kijijini kunamkosesha raha ipi haswa kama analelewabila manyanyaso?!Kuona magari?!Huyo baba angemlea mwenyewe nyumbani au angemwacha na mama wa kambo/mfanyakazi?!Una uhakika gani kama ndivyo angelelewa vizuri?!

.


Wewe Babygal hivi bila kuenda mbali.... wewe ungelelewa kijijini completly ungekua na exposure ya kua na access ya JF hapa saizi??


Binafsi nililelewa kijijini na bibi yangu na kaka yangu akalelewa mjini ila sikuwahi kumuonea wivu au na mimi kutaka kuhamia mjini.Na nilipoulizwa nilikataa even though nilikua naenjoy kufanyiwa kila kitu na wafanyakazi nikienda likizo bado niliyapenda zaidi maisha ya kijijini.Sehemu ambayo nilikua huru kucheza barabarani bila kuogopa magari,kucheza na watoto wengine kwasababu hakukua na mageti ya kufungiwa ndani na pia kujifunza vitu ambavyo watu wa mjini hawana muda navyo.
.

Hizo circumstances za kijijini zilikuaje?? Majority inajulikana kabisa akisema kijiji... ni kijijini kweli... huyo mtoto alotolewa mfano hapo, huyo mamake unafikiri kweli anajali welfare ya mtoto kama inavo onesha dhahiri wewe ulikua unalelewa?? labda utuambie ni kitu gania kilifanya uamuzi wa kulelewa wewe huko ulikua ni upi/ au kwa nini??
 
Wewe Babygal hivi bila kuenda mbali.... wewe ungelelewa kijijini completly ungekua na exposure ya kua na access ya JF hapa saizi??

Of course! Why not? I gave my BabyGal everything. Just because I reared her in a rural small town, that doesn't mean she was deprived. I made sure she got everything that I felt she needed to have including exposure to a lot of things.

Don't underestimate folks who live in rural areas and think that somehow they aren't as sophisticated as urbanites.
 
Mheshimiwa Moskwito..........

Kuna tofauti kubwa sana kati ya MAMA na MWANAMKE ALIYEZAA!

...na kweli bana,....utamtambua mke/mume uliyeoana nae kuwa ni mwanamke/ume wa aina gani mkishaachana
 
Kuachana............! I hate kuachana aisee!

Naam, hata Mwenyezi Mungu hapendi, ila watu bado twaaachana.
Huo utakuwa ni unyuzi unaojitegema kwanini watu wanaachana.

Kuachana kunakoathiri maisha ya watoto ndiko Hon. RR anatuumiza kichwa hapa.
Yaani mzazi mmoja wapo anapoamua kutumia mtoto kumkomoa mzazi mwenziwe,
mfano wa shemeji yangu aliyeamua kumtelekeza mtoto kijijini ili Ex- husb wake asiweze kumuona asilani!
 
Uhakika wa kwamba angekua mjini angekua anakula raha ungetoka wapi?!Kukaa kijijini kunamkosesha raha ipi haswa kama analelewabila manyanyaso?!Kuona magari?!Huyo baba angemlea mwenyewe nyumbani au angemwacha na mama wa kambo/mfanyakazi?!Una uhakika gani kama ndivyo angelelewa vizuri?!

Wakati mwingine inabidi kabla ya mama au baba kulilia kukaa na mtoto kwa kisingizio cha nna pesa aangalie kama atakua na muda kweli na huyo mtoto au la.Na kama hatakua na muda je atakaemwachia mtoto ana ukaribu nae kiasi gani cha kuweza kumwamini hata kumwachia mwanae.Huyo unayemwongelea yeye ni kama anashindana tu kwasababu anataka kukomoana na mama mtu.Though sio wote wamama wengi wanajua nini ni bora kwa watoto wao.Na huyo mama nampongeza kwasababu atakua ameona kwamba kwa shughuli zake hawezi kua na mwanae muda mrefu kwahiyo akaamua kumpeleka kwa wazazi wake waliomlea yeye (hivyo anawafahamu vizuri pamoja na malezi yao) wamsaidia na kumpa mtoto nafasi ya kua karibu na watu ambao ni ndugu zake.

Kwa mara nyingine nadhangaa kauliz yako ya ‘mtoto yuko kijijini wakati angekua mjini anakula raha‘ kwasababu raha hazipo kwenye mji au kijiji bali kwenye malezi na mazingira anayokulia mtoto.Binafsi nililelewa kijijini na bibi yangu na kaka yangu akalelewa mjini ila sikuwahi kumuonea wivu au na mimi kutaka kuhamia mjini.Na nilipoulizwa nilikataa even though nilikua naenjoy kufanyiwa kila kitu na wafanyakazi nikienda likizo bado niliyapenda zaidi maisha ya kijijini.Sehemu ambayo nilikua huru kucheza barabarani bila kuogopa magari,kucheza na watoto wengine kwasababu hakukua na mageti ya kufungiwa ndani na pia kujifunza vitu ambavyo watu wa mjini hawana muda navyo.Kwahiyo hiyo dhana ya kwamba mjini ndo kwenye raha ondoa..hamna sehemu zuri ya kukua kama una familia nzuri kama kijijini.Mwenyewe natamani siku moja mtoto wangu apate expirience nilizopata mimi kipindi hicho ambazo nna uhakika maisha ya mjini hayawezi kumpa.

...Asha Dii umeandika ya maana sana hasa hapo penye wekundu,...mahakama kesi inarushwa mpira bana, Mwanamke nae amejizatiti kutumia 'pesa' kuhakikisha haki inacheleweshwa. Ngumu sana mambo haya.



Tofauti ya kimtizamo BabyGal. Mimi sijawahi lelewa wala kuishi kijijini. Vijijini huwa napita tu, na kwa hali niionayo hakunipi chembe ya matumaini kwamba kuna Elimu nzuri, Huduma za Afya za kuridhisha nakadhalika compared na mjini ambako mtoto angejuana vyema na wazazi wake tangu angali mdogo.

BTW, umegusia jambo la maana kwamba mtoto analelewa kwenye mazingira ya upendo.
Kulelewa na babu na bibi ilhali Baba na Mama wana uwezo wa kukulea sidhani kama ni tafsiri sahihi ya kupendwa na wazazi wako, au?
Again, nazungumzia tofauti ya kimtizamo, kwani sijawahi lelewa na Babu wala bibi.
Nifafanulie hapo nipate kufahamu.

Wewe Babygal hivi bila kuenda mbali.... wewe ungelelewa kijijini completly ungekua na exposure ya kua na access ya JF hapa saizi??


Hizo circumstances za kijijini zilikuaje?? Majority inajulikana kabisa akisema kijiji... ni kijijini kweli... huyo mtoto alotolewa mfano hapo, huyo mamake unafikiri kweli anajali welfare ya mtoto kama inavo onesha dhahiri wewe ulikua unalelewa?? labda utuambie ni kitu gania kilifanya uamuzi wa kulelewa wewe huko ulikua ni upi/ au kwa nini??

Of course! Why not? I gave my BabyGal everything. Just because I reared her in a rural small town, that doesn't mean she was deprived. I made sure she got everything that I felt she needed to have including exposure to a lot of things.

Don't underestimate folks who live in rural areas and think that somehow they aren't as sophisticated as urbanites.


Ok wakuu...
Kiumjula sehemu kubwa ya vijiji vya kitanzania vimetawaliwa na umaskini...japo kuna vijiji vingine ni vizuri sana (hata natamani kuishi huko niachane na kero za mijini).....ni vema huu mjadala wa ni wapi kuna maisha mazuri ukaachwa (mnaweza kuunzishia thredi yake....:biggrin1:)

Hoja ya msingi ni wazazi wanaposhindwa kupata ufumbuzi muafaka unaohusu maisha ya watoto wao, inapotokea kutoelewana kati yao!

BTW: Natamani insights zaidi za kisa cha BabyGal.....(ila kuna jamaa anatoa macho kwelikweli)
 
najua baba wengu huwa wanachukulia poa ndo maana hata mimi nafurahia kuwa na baba(but now he is no more) kwa ishu ya watoto wadogo mam ndo bora zaidi kuliko baba..

mam bora zaidi? mam ambaye yuko bize na hana kipato cha kutosha akiondoaka anamterekeza mtoto kwa mtu yoyote ama nalazimika kuandamana na mtoto huyo mpaka sehemu yake ya kazi; ilhali baba na nafasi an mapenzi ya kweli na mtoto; na aana uwezo wa kumlea mtoto huyo?
 
najua baba wengu huwa wanachukulia poa ndo maana hata mimi nafurahia kuwa na baba(but now he is no more) kwa ishu ya watoto wadogo mam ndo bora zaidi kuliko baba..

Suala la mzazi yupi bora ni irrelevant mkuu...
Kila mzazi ana jukumu lake kwa wakati wake....si sawa na kusema moyo ni bora kuliko ubongo....
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Of course! Why not? I gave my BabyGal everything. Just because I reared her in a rural small town, that doesn't mean she was deprived. I made sure she got everything that I felt she needed to have including exposure to a lot of things.

Don't underestimate folks who live in rural areas and think that somehow they aren't as sophisticated as urbanites.

Come on Man!! I am not underestimating... and if you say you are from rural areas it is evident you do agree with me that the environment is below ordinary for a child to be brought up kisasa especially in the globalized village to today... (hapa i am talking about that village wametolea tangazo somo la Computer - watoto wanafananisha na TV)...You say it is a rural small town.... I bet there is electricity... there is net access... atleast a zahanati with atleast a kamzushi Doctor.... Hapa am talking about genuine village area and its related environment... And please do not just keep the phase up just because your baby said so.... tell her the truth as much as she was in the village you did your best for her to get the best - BUT note that the child in question (refer to Mbu) is believed to be in worse conditions...
 
  • Thanks
Reactions: Mbu

Tofauti ya kimtizamo BabyGal. Mimi sijawahi lelewa wala kuishi kijijini. Vijijini huwa napita tu, na kwa hali niionayo hakunipi chembe ya matumaini kwamba kuna Elimu nzuri, Huduma za Afya za kuridhisha nakadhalika compared na mjini ambako mtoto angejuana vyema na wazazi wake tangu angali mdogo.

BTW, umegusia jambo la maana kwamba mtoto analelewa kwenye mazingira ya upendo.
Kulelewa na babu na bibi ilhali Baba na Mama wana uwezo wa kukulea sidhani kama ni tafsiri sahihi ya kupendwa na wazazi wako, au?
Again, nazungumzia tofauti ya kimtizamo, kwani sijawahi lelewa na Babu wala bibi.
Nifafanulie hapo nipate kufahamu.

Unaposema kwamba hudhani vijijini kuna elimu nzuri na huduma ya afya kuridhisha unamaanisha kwamba wote waliopo mjini wanapata huduma nzuri ya afya na kusoma kwenye shule nzuri?!Kwasababu kama hicho ni kigezo cha kushusha maisha ya kijijini na kupandisha ya mjini basi naomba nikwambie kwamba umefeli.Popote pale ili upate vitu hivyo viwili wa kiwango cha juu na cha kuridhisha basi unahitaji pesa ili kuvilipia.Basi kama ilivyo mjini hata vijijini huduma nzuri zipo kinachohitajika ni pesa yako tu.Na ndio maana bado naamini kwamba huyo mama alifanya jambo la maana kama pesa ya matumizi na kumwezesha mwanae kuishi/kusoma na kulelewa vizuri huko kijijini kwao haikosekani.

Tukirudi kwenye swala la “baba/ mama kua na UWEZO WA KULEA“ nadhani unakosea sana unapofikiria uwezo wa kulea upo kwenye pesa pekee.Maana kwa ulivyomwelezea huyo rafikiyo ni dhahiri sio yeye ambae angeshinda na mtoto nyumbani kuhakikisha kwamba anakula na kushinda salama.Wazazi wengi mjini hata nusu saa ya kukaa chini na kuongea na watoto wao hawana kutokana na pilika pilika za mji.Sasa kumlea mtoto katika mazingira hayo hata kama anapata all the latest barbie dolls and little fire tracks it still won‘t make up for the time you/or anyone else closely related to them should spend with them.
Na ndio maana nikasema kwamba muhimu ni mtoto kulelewa kwa upendo na kuyafurahia mazingira aishiyo..kuishi na baba/mama kunaweza kusimpe chochote kati ya hayo mawili hata kama wanatumia pesa kibao kumpeleka hosp akipata homa au kumpeleka shule ambayo haimpi mapenzi anayoyahitaji nyumbani kwasababu wazazi wako bize kutafuta pesa na mtu pekee aliye karibu nae ni mfanyakazi ambae anaweza asiwe
na mapenzi yoyote na huyo mtoto kiasi cha kuweza kumlea kwa taratibu zifaazo.Wakati mtoto huyo huyo angelelewa kijijini (unapopaona duni as if watu wote unaowaona mjini walizaliwa na kulelewa mjini ndo maana wameendelea) na akapata mapenzi mara mia ya ambayo angepata directly toka kwa mzazi wake.
 
Uhakika wa kwamba angekua mjini angekua anakula raha ungetoka wapi?!Kukaa kijijini kunamkosesha raha ipi haswa kama analelewabila manyanyaso?!Kuona magari?!Huyo baba angemlea mwenyewe nyumbani au angemwacha na mama wa kambo/mfanyakazi?!Una uhakika gani kama ndivyo angelelewa vizuri?!
Nadhani hapa mmeshindwa kuelewana hence kubadilisha point aliyoitoa... Issue sio mjini au kijijini Issue ni upendo.., ofcourse ni heri kuishi pangoni / au mtaani kwa upendo kuliko nyumbani / mjini kwa masimango na chuki...

what matters ni upendo na wewe uliishi kwa upendo wa bibi (well and good) na sio kwamba wazazi wako hawakukupenda, lakini labda ni circumstances zilizopelekea hivyo....., nadhani all that matters from mzazi kwa mtoto ni kufanya everything in his power kumpa mtoto platform nzuri ya maisha yake na vitu hivyo ni:-
  • Love
  • Good knowledge, education ili imsaidie mbeleni
  • food and shelter.....
 
Back
Top Bottom