Watongozaji tukutane hapa please!!

Watongozaji tukutane hapa please!!

Nimekuja speed 120..... Ngoja nisome mada kwanza
 
Dah nilijua ni ishu gani kumbwa aisee,
ila kwavile uzoefu unatofautiana basi chakufanya wewe fatisha hizo njia walizokwambia hao jamaa hapo juu, na kama unahisi kuna mahali utakwama, au unawasiwasi, au unahisi utazishindwa basi niambie kabisa hapahapa kabla hujakwenda kutuaibisha, then mimi nitashusha nondo zangu taratibu, hope mambo yatakaa sawa.
lidumu chama la kiumeni...!!
 
Vitendo viende sambamba na miamala ya M pesa tigo pesa atakuelewa tu mbona
 
Dah nilijua ni ishu gani kumbwa aisee,
ila kwavile uzoefu unatofautiana basi chakufanya wewe fatisha hizo njia walizokwambia hao jamaa hapo juu, na kama unahisi kuna mahali utakwama, au unawasiwasi, au unahisi utazishindwa basi niambie kabisa hapahapa kabla hujakwenda kutuaibisha, then mimi nitashusha nondo zangu taratibu, hope mambo yatakaa sawa.
lidumu chama la kiumeni...!!
Mkuu stunter... Tatizo demu haoneshi kuwa amenimwaga au la?? Yaani yupo dilemma tu sasa nifanyaje nimpotezee au nimkomalie???
 
Hapo kilichobaki ni vitendo tu,muite muonane then ni matendo maana nia tayari umeshatangza.
 
We mshamba wa wapi bado unatongoza kwa mashairi, sabuni ya roho si unaijua?
 
Nimesahau kukuuliza, wewe ni mwanamme wa Dar au mkoani?
 
Mkuu stunter... Tatizo demu haoneshi kuwa amenimwaga au la?? Yaani yupo dilemma tu sasa nifanyaje nimpotezee au nimkomalie???
Usimpotezee wala usimkazie,
bali badilisha mbinu,
unatakiwa utambue kuwa sio kila demu ni wa kutongoza, mademu wa kutongozwa wana sifa zake, kuanzia umri, uzoefu yaani experience, mazingira pamoja na tabia zake.
Sasa ukiona unamtongoza dem alafu hakupi attention au anachekacheka kama ndondocha la kihindi basi ujue huyo hatongozwagi au anamuda mrefu hajatongozwa, kwahiyo haamini ama hajazaoea kwahiyo anakuona mshamba(ofcoz kutongoza ni ushamba na imepitwa na wakati)
...sasa hapo cha kufanya badilisha mbinu tu, huyo unampata kiulaini kabisa... Je, mbinu unazijua?
 
Hiyo huwa kawaida sana kwa baadhi ya wasichana kuna vitu anaviangalia hasa kwa hawa ambao sio maslahi sana na ukute age haijaenda sana kuna vitu anaviangalia so we baki neutral tu usiigize ila endelea kufanya wajibu wako kama kumjulia hali na kumsikiliza usimuweke kwenye presure kubwa kujibu unavyotaka wewe hadi pale atapokuwa tayari siku akiwa tayari usimwambie tufanye sasa hapana onesha kuwa unamuhitaji yeye wote sio k pekee
 
Back
Top Bottom