Daby
JF-Expert Member
- Oct 26, 2014
- 34,961
- 80,194
Waliopo huku leo ni halali yetu jichagulieni niwatongoze au mnitongozeNimejikuta niko tu humu.... Hiki ni kiherehere changu tuu...
Wazee wa fix mkuje huku jamani
Waliopo huku leo ni halali yetu jichagulieni niwatongoze au mnitongozeNimejikuta niko tu humu.... Hiki ni kiherehere changu tuu...
Wazee wa fix mkuje huku jamani
Ahsantee sana kwa ushauri wako mkuu ntautumiaType or a thing, is just a figure of speech, the bottom line is hakupendi na hakutaki. Wanawake wa kisasa hawatongozwi siku mbili, akikupenda mna click instantly, hakupendi utateseka sana, achana na hayo mambo, rudia ushauri wangu wa awali, tafuta hela au fanya mambo mengine ya msingi.
sasa wewe endelea tuu..yani fanya kama tayari yani.. hunachakupoteza kila la kher na uzinzi mwemaYaani kwa mfano nikimtumia text ya kumtongoza yeye anajibu tu Haaaa haaa
hapana we swala la kuendelea kujua atasemaje we futa kabisa ..we sasa fanya kwa vitedo yan kama ndo tayari mmeisha ongea luga moja.. Halafu inaonyesha we mgumu kuelewa sana ndo maana huyo manzi anasumbuaKwahyo nimkomalie mpaka atoe msimamo wake upo upande gani??
Mi sio mgumu wa kuelewa mkuu ila huwa napenda ufafanuzi ili nifanye kitu cha uhakikahapana we swala la kuendelea kujua atasemaje we futa kabisa ..we sasa fanya kwa vitedo yan kama ndo tayari mmeisha ongea luga moja.. Halafu inaonyesha we mgumu kuelewa sana ndo maana huyo manzi anasumbua
Mpe uzoefu wako dadaNimejikuta niko tu humu.... Hiki ni kiherehere changu tuu...
Wazee wa fix mkuje huku jamani
Nisamehe mkuuWaliopo huku leo ni halali yetu jichagulieni niwatongoze au mnitongoze
HahahaMpe uzoefu wako dada
Poa mkuu ondoka haraka basiNisamehe mkuu
Nilikuja kuwaita tuu bhana