Wateule wa Rais hamna kinga ya kutokushtakiwa, jihadharini na maamuzi tata

tajirijasiri

JF-Expert Member
Oct 13, 2012
2,864
3,851
Kumekuwa na tabia ya wateule wa Sizonje kufanya maamuzi tata, kinyume na sheria kwa kisingizio cha amri toka juu. Wakumbuke kwamba hawana kinga yoyote ya kushtakiwa kama alivyo Sizonje.

Na wajue kwamba madaraka ni ya muda tu, na huyo aliyewateua atayaacha hayo madaraka na wao madaraka yao yatakoma.

Atakuja Kiongozi mpya na sheria za nchi zitafuatwa. Hapo ndipo mbivu zitajitenga na mbichi.
CC: Bashite, Faru John, mzee kifimbocheza, Policcm, etc..

Mark my words!



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkulu alipo wambia wanaweza kuwa weka ndani watu masaa 48 na wao wanajiona wao ndo kila kitu wajiangalie upyaa wasifanya mambo ilikufurahisha mkulu wakishitakiwa mkulu anakua hayupo
 
Mkulu alipo wambia wanaweza kuwa weka ndani watu masaa 48 na wao wanajiona wao ndo kila kitu wajiangalie upyaa wasifanya mambo ilikufurahisha mkulu wakishitakiwa mkulu anakua hayupo
It is true.

Hao wateule wa Mkulu madaraka yamewalevya....

Watakapopelekwa ICC Mkulu atawaruka maili elfu moja na atawaambia kila mtu aubebe mzigo wake....
 
Kumekuwa na tabia ya wateule wa Sizonje kufanya maamuzi tata, kinyume na sheria kwa kisingizio cha amri toka juu. Wakumbuke kwamba hawana kinga yoyote ya kushtakiwa kama alivyo Sizonje.

Na wajue kwamba madaraka ni ya muda tu, na huyo aliyewateua atayaacha hayo madaraka na wao madaraka yao yatakoma.

Atakuja Kiongozi mpya na sheria za nchi zitafuatwa. Hapo ndipo mbivu zitajitenga na mbichi.
CC: Bashite, Faru John, mzee kifimbocheza, Policcm, etc..

Mark my words!

Wametukuta wataondoka Vyeo ni Dhamana tuu!

Sent using Jamii Forums mobile app
Kumekuwa na tabia ya wateule wa Sizonje kufanya maamuzi tata, kinyume na sheria kwa kisingizio cha amri toka juu. Wakumbuke kwamba hawana kinga yoyote ya kushtakiwa kama alivyo Sizonje.

Na wajue kwamba madaraka ni ya muda tu, na huyo aliyewateua atayaacha hayo madaraka na wao madaraka yao yatakoma.

Atakuja Kiongozi mpya na sheria za nchi zitafuatwa. Hapo ndipo mbivu zitajitenga na mbichi.
CC: Bashite, Faru John, mzee kifimbocheza, Policcm, etc..

Mark my words!



Sent using Jamii Forums mobile app
Wametukuta wataondoka Vyeo ni Dhamana tuu!
 
Hii Thread Ni Vyeti
Ningeomba Mkuu Invisible Ikikupendeza Iweka Stiker Hii Ikae Pale Juu Kabisa

Ili Kila Mara Kila Wakati Thread Itakuwa Inawakumbusha Jinsi Nafasi Zao Na Wanayotakiwa Kuyafanya Pia Wasiyotakiwa Kufanya. Wasimamie Sheria Wapunguze Mihemko Na Kauli Tata Hasa Kusema Nimeagizwa Na Yule Aliyenipa Nafasi Hii
 
Huyo Bashite mwenye vyeti feki atakuja kufungwa akipatikana na hatia na kudaiwa alipe mishahara yote anayolipwa leo hii.

Tuhuma zote za kumiliki magari ya kifahari nazo zitakuja kuchunguzwa.

Wajifunze kwa Ruge na Seth.
 
Kumekuwa na tabia ya wateule wa Sizonje kufanya maamuzi tata, kinyume na sheria kwa kisingizio cha amri toka juu. Wakumbuke kwamba hawana kinga yoyote ya kushtakiwa kama alivyo Sizonje.

Na wajue kwamba madaraka ni ya muda tu, na huyo aliyewateua atayaacha hayo madaraka na wao madaraka yao yatakoma.

Atakuja Kiongozi mpya na sheria za nchi zitafuatwa. Hapo ndipo mbivu zitajitenga na mbichi.
CC: Bashite, Faru John, mzee kifimbocheza, Policcm, etc..

Mark my words!



Sent using Jamii Forums mobile app


Hata Yesu na Muhammad walisema watakuja, miaka 2000 baadaye bado tunangoja!
 
Huyo Bashite mwenye vyeti feki atakuja kufungwa akipatikana na hatia na kudaiwa alipe mishahara yote anayolipwa leo hii.

Tuhuma zote za kumiliki magari ya kifahari nazo zitakuja kuchunguzwa.

Wajifunze kwa Ruge na Seth.
Hii ni lazima itokee "unless" ana uhakika kuwa jamaa yake ataendelea kuwepo kwa 30 years zaidi.

Sent from my Kremlin using JamiiForum mobile app
 
Hii Thread Ni Vyeti
Ningeomba Mkuu Invisible Ikikupendeza Iweka Stiker Hii Ikae Pale Juu Kabisa

Ili Kila Mara Kila Wakati Thread Itakuwa Inawakumbusha Jinsi Nafasi Zao Na Wanayotakiwa Kuyafanya Pia Wasiyotakiwa Kufanya. Wasimamie Sheria Wapunguze Mihemko Na Kauli Tata Hasa Kusema Nimeagizwa Na Yule Aliyenipa Nafasi Hii
Kila goti litapigwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom