Watesaji wa Asalom Kibanda wakamatwa

Watesaji wa Asalom Kibanda wakamatwa

Ninaamini hayo ila sishangai nikija kusikia kuwa ni wapinzani wa kisiasa wa ccm, mi sina imani kabisa na siamini kama ndio hao kweli
 
Ni mtu sana na ninashukuru kwamba watesaji wake wamepatikana ndiyo maana nataka na wale waliohusika kwa Ulimboka nao wakamatwe pia maana hakuna aliye juu ya sheria, wote wakamatwe tumechoka kuonewa kijingajinga namna hii
Huwezi kulazimisha polisi katika kufanya kazi. Kumbuka kila tukio linatokana na mazingira yake. Subiri tu na hao waliomtesa Ulimboka watakamatwa tu. chezea polisi wewe
 
Kama ya Mkenya wataishia lipa 1000 na kuachiwa
 
Thibitisha hili,vinginevyo nakupeleka kw mods.hivi hivi huwa mnaanza halafu mnaamsha hasira za watu na kuchfua jukwaa hili.
Mkuu, akili za bavicha kila mara zote haziishimkuisakama uvccm hata kama hakuna uhusiano wowote na wanachoandika
 
Thibitisha hili,vinginevyo nakupeleka kw mods.hivi hivi huwa mnaanza halafu mnaamsha hasira za watu na kuchfua jukwaa hili.
tafadhali mkuu, usiamshe hasira zako, bado tunayahitaji meno yetu na macho yetu.
 
Umeambiwa chanzo cha habari ni gazeti nipashe, hivyo fanya jitihada kupata nakala hiyo usome. Asingeweka source hapo una haki ya kumpopoa kwa mawe.

umesoma alichokiandika kabla hujakurupuka kumjibu...
 
Ni kweli watendeeni haki wanaoishi mbali ,na upatikanaji wa magazeti ni baada ya siku nne,hata hivyo nakushauri. Ndg yangu ingia ktk mtandao na search gazeti la nipashe ili upate vizuri hiyo habari, na baada ya hapo nalipongeza jeshi la polisi kwa kuwakamata waliomtesa kibanda lakini kama ndio wahusika kweli,isije tokea baada ya miezi kadhaa wanaibuka kukanusha kuwa siyo wao kama yule mkenya wa Arusha.
 
Baada ya lile Bwanyenye kufukuzwa kazi, mengi yataibuka.
 
Dhihaka hiyo

Hapana nasema hivyo kwa kuwa si jambo geni kwetu kucheza na maisha ya watu kwa maslah binafsi,lakini kwa kuwa kibanda mwenyewe yupo na mungu alimnusuru na janga lile japo kuwa aliumia,nadhani issue ikifika mahakamani na kutakiwa ushahidi mungu amsaidie atawatambua watesi wake,
 
Huwezi kulazimisha polisi katika kufanya kazi. Kumbuka kila tukio linatokana na mazingira yake. Subiri tu na hao waliomtesa Ulimboka watakamatwa tu. chezea polisi wewe

Na waliomuua Mwangosi watafikishwa mahakamani? Na waliolipua bomu kanisani Arusha na kwenye mkutano wa Chadema?
 
Duh.. ! Leo hii.... Hivi Ludovick alihojiwa kuhusu hii habari... Au ni nini wantaka kitupite tutakapokuwa busy kuongelea habari ya Kibanada??:A S 39::A S 39::A S 39:

hapa umeendika uchafu gani au viroba vya jana
 
Ni mtu sana na ninashukuru kwamba watesaji wake wamepatikana ndiyo maana nataka na wale waliohusika kwa Ulimboka nao wakamatwe pia maana hakuna aliye juu ya sheria, wote wakamatwe tumechoka kuonewa kijingajinga namna hii

Mkuu jina lako limenishinda kutamka
 
Back
Top Bottom