MZEE WA ROCK
JF-Expert Member
- Oct 2, 2011
- 622
- 152
hivi kwani msemaji wa polisi bado na senzo?
Avatar yako inaashiria kuwa wewe ndo umejaza makamasi kwenye kichwa chako. Ndo maana unatumia nguvu kuyazuia yasitoke puani mpaka sura yako inakunjamanaNaona kichwa chako kimejaa makamasi badala ya ubongo! Useless kabisa
Senzo si marehemu wa Afrika ya Kusini ambaye alikuwa anapiga mziki wa Reaggehivi kwani msemaji wa polisi bado na senzo?
Mkuu, kwani kutoa taarifa za uchunguzi ni vituko?
Hao waliolipua bomu kanisani watapatikana hata kama itakuwa ni miaka mingi. Mungu atasaidia kuwafichua. Ila wale wa kwenye mkutano wa chadema ningekuwa mimi ndo polisi wala nisingejishughulisha kabisa kuwatafuta kwa maana mbowe anasema kuwa anawajua waliolipua lakini hawataji.Na waliomuua Mwangosi watafikishwa mahakamani? Na waliolipua bomu kanisani Arusha na kwenye mkutano wa Chadema?
Hayo ni mawazo yako.Vipi kwenye hyo list jina la nchimbi na mwingulu lipo kama watesaji no1.
Anaza sinema.....
Nangulukulu ya wapi hiyo kunakofika gazeti baada ya siku 4?Nangurukulu tunayoijua sisi gazeti zinafika masaa 3 baada ya gazeti kutoka kwani iko center kati ya Dar na LINDI na ni barabarani lazima magari yasimame kabla hayaendelea na safari acha uongo wako wa kigamba gambaacha ubahili mkuu. weka details kidogo, wengine tuko nangulukulu huku, gazeti zinafika baada ya siku 4
Umeambiwa chanzo cha habari ni gazeti nipashe, hivyo fanya jitihada kupata nakala hiyo usome. Asingeweka source hapo una haki ya kumpopoa kwa mawe.
Watu watatu wanaotuhumiwa kumteka na kumtesa mhariri mkuu wa New Habari Corporation,Absalom Kibanda wamekatwa na jeshi la polisi nchini.
CHANZO: NIPASHE.
Mimi siamini kama serikali inaweza kujikamata yenyewe.
Naona kichwa chako kimejaa makamasi badala ya ubongo! Useless kabisa