Watendaji waaswa kutatua kero za Wananchi

Watendaji waaswa kutatua kero za Wananchi

Richer

JF-Expert Member
Joined
Jun 9, 2025
Posts
2,124
Reaction score
3,513
Katika kuhakikisha miradi ya maendeleo inatekelezwa kikamilifu na wananchi wanapata huduma stahiki, Serikali imewataka watumishi wa umma kuhakikisha wanasimamia ipasavyo mapato ya ndani na kushughulikia changamoto za wananchi katika maeneo yao

Katibu Tawala wa Mkoa wa Kilimanjaro,Kiseo Yusuph Nzowa, amesema hayo Julai 28, 2025 wakati wa ufungaji wa mafunzo ya siku mbili kwa Maafisa Tarafa na Watendaji wa Kata wapya, kutoka mikoa ya Arusha, Tanga, Manyara na Kilimanjaro yakiwa na lengo la kuongeza ufanisi katika ngazi ya kata na tarafa




Chanzo: ITV DIGITAL
 
Back
Top Bottom