mamsindo
Member
- Jan 8, 2010
- 36
- 28
Wananchi wa Kiharaka Mikocheni, Mapinga ambapo tatizo hilo ni kubwa sana, wanaitaka
TANESCO kufanya marekebisho ikiwemo kuondoa watendaji wote waliopo sasa ili kuepukana na uzembe wa kukatikakatika kwa umeme katika kitongoji chao cha Kiharaka sambamba na shida ya kupata umeme mdogo(low Voltage) zaidi ya miezi miwili sasa.
Katakata hiyo ya umeme isiyo na mpango imesababisha kuunguza mali za wananchi zikiwemo friji n.k
Licha ya kuripoti tatizo hili mara kwa mara uongozi wa TANESCO umeendelea kuzembea katika kutatua kero hii. Je, tatizo ni nini?Tunaitaka TANESCO itatue kero hii
TANESCO kufanya marekebisho ikiwemo kuondoa watendaji wote waliopo sasa ili kuepukana na uzembe wa kukatikakatika kwa umeme katika kitongoji chao cha Kiharaka sambamba na shida ya kupata umeme mdogo(low Voltage) zaidi ya miezi miwili sasa.
Katakata hiyo ya umeme isiyo na mpango imesababisha kuunguza mali za wananchi zikiwemo friji n.k
Licha ya kuripoti tatizo hili mara kwa mara uongozi wa TANESCO umeendelea kuzembea katika kutatua kero hii. Je, tatizo ni nini?Tunaitaka TANESCO itatue kero hii