eldora
Senior Member
- Feb 4, 2024
- 101
- 307
Yes ni ya max but jf inafanana sana social network moja ivi sjawai ona mmbongo hata mmojaSi tunajua ya Max,hiyo yao wakaanzishe yao
Yes ni ya max but jf inafanana sana social network moja ivi sjawai ona mmbongo hata mmojaSi tunajua ya Max,hiyo yao wakaanzishe yao
penda saana weweee 👱😂😂😂😂😂 Huna baya white man
Inaitwaje?Ukute wao ndio wameiba idea ya Max shenzy kabisa Hawa wazunguYes ni ya max but jf inafanana sana social network moja ivi sjawai ona mmbongo hata mmoja
'Until Max told them later'I have serendipitously ‘met’ most of them.
They didn’t know who I was [unless Max told them later].
Nakazia.Ni jambo jema kurefresh baada ya kazi ngumu...
Next time JamiiForums alikeni na wadau wanaoweza kuwa tayari kujumuika nanyi kufanya utalii wa ndani...
JF imetengenezwa kupitia xenforo forum package. Ni kama template ya forums haubuild from scratchYes ni ya max but jf inafanana sana social network moja ivi sjawai ona mmbongo hata mmoja
Inaitwaje?Ukute wao ndio wameiba idea ya Max shenzy kabisa Hawa wazungu
Mimi napenda ndefu nyeusi 😅😅😅😅😜 bff umejuaje.??
raraa reree umefurahi nilivyotaja mzungu au ni ww huyo?? Wanasema na ww ni mmojawapo hapo 🤣🤣🤣
Dada nmekumisSi tunajua ya Max,hiyo yao wakaanzishe yao
Umejuaje hawakukujua?!I have serendipitously ‘met’ most of them.
They didn’t know who I was [unless Max told them later].
Kupata Kitengo pale JF. Interview unafanyiwa na Wazungu aiseee 😂 😂 😂Ya kupiga ban..!!? 🤣🤣🤣
Ila member wa jf machizi, mnaanza kuwachamba mnatoka nje ya lengo 😂😂😂Saizi wanapigana burn wenyewe huko polini
Hamna, ww km uliwahi kuwa admin hata group la familia na unaweza kuwa moderate kwa kuwaleftisha kazi umepata 🤣🤣🤣🤣Kupata Kitengo pale JF. Interview unafanyiwa na Wazungu aiseee 😂 😂 😂
Sio JF ya sasa, ile ya zamani Mods walikuwa wa kawaida sana aisee, halafu kumbuka JF ya sasa ni Next Level. Mkuu Maxence alishakaa meza moja na Mark Pence ( VP wa Donald Trump wakati ule)Hamna, ww km uliwahi kuwa admin hata group la familia na unaweza kuwa moderate kwa kuwaleftisha kazi umepata 🤣🤣🤣🤣
Kazi kubwa kupiga ban
Mkuu umewahi kutembelea hifadhi ya Ngorongoro?🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Naunga mkono hoja, mimi nimependa ile leggy line ya pisi ile ya kwanza kulia yenye combat ya Chadema!.Nilisikia Jana Vijana wakisema JF nayo ina Pisi Kali.....Leo hata sikuhitaji kuvaa miwani yangu ya macho kuweza kuwaona 🤗
Hongera Max na Timu yako, you guys are doing incredible, very proud of you 👏👏👏👏👊