habari wadau..
ni mimi tu naisoma namba au wote.. maana nina kajumba kangu napangisha kimara... toka mpangaji amehama naona watu hawapatikani kama zamani...
kupangisha nyumba nzima nowdays ni kazi sana..
kwa wenye dream za kujenga nyumba za kupangisha... msijenge nyumba kubwa jengeni chumba na sebule angalau ndio vinauzika nowdays...
ni hatari sana hiii...
naona zama za wenye nyumba kuringa zinaisha polepole
ni mimi tu naisoma namba au wote.. maana nina kajumba kangu napangisha kimara... toka mpangaji amehama naona watu hawapatikani kama zamani...
kupangisha nyumba nzima nowdays ni kazi sana..
kwa wenye dream za kujenga nyumba za kupangisha... msijenge nyumba kubwa jengeni chumba na sebule angalau ndio vinauzika nowdays...
ni hatari sana hiii...
naona zama za wenye nyumba kuringa zinaisha polepole