Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,506
- 113,626
Paskali, kuna wa uthubutu wa kusema kweli iliyo moyoni mwake? Hao wote ni hypocrites! Angelikuwepo Zitto, Lisu, Kigaila and the like wangesema ukweli toka rohoni mwao bila UNAFIKI na WOGA! (na bila kutukana, dharau , kejeli kwa Rais!).Wanabodi,
Naangalia TBC, vipindi maalum kuelekea miaka miwili ya rais Magufuli madarakani, Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Uwekezaji nchini, TIC. Geofrey Mwambe, na Mkurugenzi wa Taasisi ya Sekta Binafsi, Gedfrey Simbeye, wamempongeza rais Magufuli kwa hatua mbalimbali anazochukua katika kuelekea kuijenga Tanzania ya viwanda, vita dhidi ya rushwa na ufisadi, na vita vya ulinzi wa rasilimali za taifa, anaboresha zaidi mazingira ya biashara nchini, hivyo Tanzania kuendelea kuwa ni nchi kivutio izaidi kwa wawekezaji.
Kwa sasa wanazungumzia hali ya uwekezaji.
Endelea kufuatilia.
Paskali
Asante kwa taarifa Paskali.Wanabodi,
Kuelekea miaka miwili ya rais Magufuli madarakani, Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Uwekezaji nchini, Geofrey Mwambe, na Mkurugenzi wa Taasisi ya Sekta Binafsi, Geofrey Simbeye, wamempongeza rais Magufuli kwa hatua anazochukua kwatika kuelekea Tanzania ya viwanda, vita dhidi ya rushwa na ufisadi, na vita vya ulinzi wa rasilimali za taifa, unaboresha Zaidi mazingira ya biashara, Tanzania itavutia zaidi wawekezaji.
Kwa sasa wanazungumzia hali ya uwekezaji.
Endelea kufuatilia.
Paskali
Hao kila awamu wanapongeza, hàwanaga chuki na rais aliyepo madarakani.Wanabodi,
Naangalia TBC, vipindi maalum kuelekea miaka miwili ya rais Magufuli madarakani, Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Uwekezaji nchini, TIC. Geofrey Mwambe, na Mkurugenzi wa Taasisi ya Sekta Binafsi, Gedfrey Simbeye, wamempongeza rais Magufuli kwa hatua mbalimbali anazochukua katika kuelekea kuijenga Tanzania ya viwanda, vita dhidi ya rushwa na ufisadi, na vita vya ulinzi wa rasilimali za taifa, anaboresha zaidi mazingira ya biashara nchini, hivyo Tanzania kuendelea kuwa ni nchi kivutio izaidi kwa wawekezaji.
Kwa sasa wanazungumzia hali ya uwekezaji.
Endelea kufuatilia.
Paskali
Mimi huwa siangaliagi TBC, wewe kama unataka kutupa updates tupe kama hutaki achaWanabodi,
Naangalia TBC, vipindi maalum kuelekea miaka miwili ya rais Magufuli madarakani, Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Uwekezaji nchini, TIC. Geofrey Mwambe, na Mkurugenzi wa Taasisi ya Sekta Binafsi, Gedfrey Simbeye, wamempongeza rais Magufuli kwa hatua mbalimbali anazochukua katika kuelekea kuijenga Tanzania ya viwanda, vita dhidi ya rushwa na ufisadi, na vita vya ulinzi wa rasilimali za taifa, anaboresha zaidi mazingira ya biashara nchini, hivyo Tanzania kuendelea kuwa ni nchi kivutio izaidi kwa wawekezaji.
Kwa sasa wanazungumzia hali ya uwekezaji.
Endelea kufuatilia.
Paskali
PASKALIKupongeza na kusifia ni Kazi rahisi sana ya ubongo ambayo hakuna anaweza kushindwa kufanya hivyo!! Na kwa kiwango cha unafiki wa Taifa hili ndiyo Kazi kwa sasa ili Mambo yaende.
Propeller mgando (propaganda)Wanabodi,
Naangalia TBC, vipindi maalum kuelekea miaka miwili ya rais Magufuli madarakani, Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Uwekezaji nchini, TIC. Geofrey Mwambe, na Mkurugenzi wa Taasisi ya Sekta Binafsi, Gedfrey Simbeye, wamempongeza rais Magufuli kwa hatua mbalimbali anazochukua katika kuelekea kuijenga Tanzania ya viwanda, vita dhidi ya rushwa na ufisadi, na vita vya ulinzi wa rasilimali za taifa, anaboresha zaidi mazingira ya biashara nchini, hivyo Tanzania kuendelea kuwa ni nchi kivutio izaidi kwa wawekezaji.
Kwa sasa wanazungumzia hali ya uwekezaji.
Endelea kufuatilia.
Paskali
Wewe jamaa hukati tamaa kabisa yaani teuzi zote unapigwa kibuti lkn bado umo tu?Wanabodi,
Naangalia TBC, vipindi maalum kuelekea miaka miwili ya rais Magufuli madarakani, Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Uwekezaji nchini, TIC. Geofrey Mwambe, na Mkurugenzi wa Taasisi ya Sekta Binafsi, Gedfrey Simbeye, wamempongeza rais Magufuli kwa hatua mbalimbali anazochukua katika kuelekea kuijenga Tanzania ya viwanda, vita dhidi ya rushwa na ufisadi, na vita vya ulinzi wa rasilimali za taifa, anaboresha zaidi mazingira ya biashara nchini, hivyo Tanzania kuendelea kuwa ni nchi kivutio izaidi kwa wawekezaji.
Kwa sasa wanazungumzia hali ya uwekezaji.
Endelea kufuatilia.
Paskali
Nakuunga mkono kwa 100%Paskali, kuna wa uthubutu wa kusema kweli iliyo moyoni mwake? Hao wote ni hypocrites! Angelikuwepo Zitto, Lisu, Kigaila and the like wangesema ukweli toka rohoni mwao bila UNAFIKI na WOGA! (na bila kutukana, dharau , kejeli kwa Rais!).
HAO WANAOGOPA HAWAWEZI SEMA UKWELI WAO
Wanabodi,
Naangalia TBC, vipindi maalum kuelekea miaka miwili ya rais Magufuli madarakani, Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Uwekezaji nchini, TIC. Geofrey Mwambe, na Mkurugenzi wa Taasisi ya Sekta Binafsi, Gedfrey Simbeye, wamempongeza rais Magufuli kwa hatua mbalimbali anazochukua katika kuelekea kuijenga Tanzania ya viwanda, vita dhidi ya rushwa na ufisadi, na vita vya ulinzi wa rasilimali za taifa, anaboresha zaidi mazingira ya biashara nchini, hivyo Tanzania kuendelea kuwa ni nchi kivutio izaidi kwa wawekezaji.
Kwa sasa wanazungumzia hali ya uwekezaji.
Endelea kufuatilia.
Paskali
Mkuu kwa miongo miwili Tanzania ilikuwa shamba la bibi hakuna uwekezaji wa maana uliowekwa mbali na wawekezaji waliokuwa matapeli kuingia mikataba na viongozi waliokuwa madarakani. Kwa mfano hawa waarabu waliokuwa wamepewa vitalu vya uwindaji Loliondo hakuna uwekezaji wowote walioweka mbali na kuchukua wanyama wetu na kusafirisha kwenda Uarabuni. Sasa hivi taifa litapata wawekezaji waliokuwa serious katika kuwekeza Tanzania. Viongozi waliotangulia walikuwa wakiweka maslahi zao mbele kuliko taifa.