Watatu waandamana Washington DC

Watatu waandamana Washington DC

Teknocrat

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2018
Posts
7,947
Reaction score
15,709
1760697877773.png
 
Hata kama ni mmoja mimi huwa sina tatizo na kila dakika napigania Haki ya yoyote kudai Haki yake na kufanya lolote like; Tatizo langu ni kushurutisha yoyote katika kutafuta Haki yako au kuondoa Haki ya mwingine...

That said nadhani tatizo ni katika Kudai haki zetu tunazi-categorized kuonekana ni za makundi na watu fulani kumbe deep down ni zetu wote (Umasikini, Ujinga na Maradhi)
 
Naona kama ndo wanaanza lakini si maandamano yao ni tarehe 17 Oct asubuhi. Muda bado maana watu bado wamelala. Sijuhi hiyo ni Jana ambayo ilikuwa usiku hapo East Africa
 
Ni wakati wetu Watz tuliopo nchini nasi kunyanyuka na kufanya yetu tarehe 29, tuache kubweteka tu na kukalisha makalio vibalazani, uhuru haupatikani hivyo kizembe zembe.
 
Kile kidem poa chao kinajifanya kimezuiwa na FBI kisinde kuandamana maana atauponza........ wabongo noma sana.

Oyah, inchi hii haijawahi kufanyika maandamano ya nchi nzima na haitakaa ikatokea.
Niko paleeeee
 
Kile kidem poa chao kinajifanya kimezuiwa na FBI kisinde kuandamana maana atauponza........ wabongo noma sana.

Oyah, inchi hii haijawahi kufanyika maandamano ya nchi nzima na haitakaa ikatokea.
Niko paleeeee
Mtatumia nguvu zote, lakini maandamano hayakwepeki.
 
Kile kidem poa chao kinajifanya kimezuiwa na FBI kisinde kuandamana maana atauponza........ wabongo noma sana.

Oyah, inchi hii haijawahi kufanyika maandamano ya nchi nzima na haitakaa ikatokea.
Niko paleeeee
Acha kuamini uzushi,hadi naandika sms hii huu muda wa saa 9 :14 huko Marekani ni saa 8 asubuhi,sasa hebu rejea muda ambao mtoa hoja kaleta huo uzushi ambao ni saa nne asubuhi kwa Tanzania,je Marekani ilikuwa usiku wa saa ngapi!?
 
Back
Top Bottom