Danpol
JF-Expert Member
- Aug 15, 2013
- 5,747
- 9,013
Uzalendo Uzalendo.. hawajui kupenda vya kwaoTabia hiyo mnayo ninyi tu, kuna wakenya na waganda waliochanganyika na nchi nyingine lakini huwezi kuta wana tabia kama zenu.
Alafu kuna kitu ambacho mnajifanya hamkijui, Nyie si ndio mnasemaga sie tuna roho mbaya?
Mnyarwanda au mtu mwenye asili ya Rwanda akitaka kuoa mtanzania n mziki mzito, Achen dada zetu nao wawagomee au wawakimbie tu