Watanzania wenye asili ya Rwanda

Watanzania wenye asili ya Rwanda

Nilochokigundua history ya hilo kabila katika ukanda huu wa great lakes imepotoshwa au imekuwa exaggerated .nimesoma history o level na high school kwa Bahati mbaya au nzuri mengi yanayozungumziwa sijawahi kukutana nayo kwenye materials naona kama porojo tu zamitaani
Hata sisi pia tulisoma historian kama WEWE lakini utofauti wa WEWE NA sisi ila mkuu jaribu kutembea NA kuuliza watu utajifunza kitu .

Kwa mfano ukisoma historia ya darasani huwa mnafundishwa kuhusu makabila toka great lakes
Ni tofauti ukitembea NA kujifunza

Kwa mfano ukienda nchi kama Rwanda au Burundi ni vigumu kujua Watusi NA wahutu kwa sababu wanaongea lugha moja .

Sio hivoo tuu hakuna lugha ya kutusi wala kihutu kikizungumzwa vijijini wala mjini hii ni tofauti NA Tanzania huku kila kabila lina Lugha ya kwaoo.

Kwaiyo ukitaka kuwatofautisha wahutu na Watusi hapo ndipo unapozungumzia Chimbuko LA BAHIMA na Ubugabilenze lakini BAHIMA ndio inayovumaa.

Na ukitaka kujifunza mengi kuhusu tembea na ujifunze toka kwa watu na vitabu
 
Hata sisi pia tulisoma historian kama WEWE lakini utofauti wa WEWE NA sisi ila mkuu jaribu kutembea NA kuuliza watu utajifunza kitu .

Kwa mfano ukisoma historia ya darasani huwa mnafundishwa kuhusu makabila toka great lakes
Ni tofauti ukitembea NA kujifunza

Kwa mfano ukienda nchi kama Rwanda au Burundi ni vigumu kujua Watusi NA wahutu kwa sababu wanaongea lugha moja .

Sio hivoo tuu hakuna lugha ya kutusi wala kihutu kikizungumzwa vijijini wala mjini hii ni tofauti NA Tanzania huku kila kabila lina Lugha ya kwaoo.

Kwaiyo ukitaka kuwatofautisha wahutu na Watusi hapo ndipo unapozungumzia Chimbuko LA BAHIMA na Ubugabilenze lakini BAHIMA ndio inayovumaa.

Na ukitaka kujifunza mengi kuhusu tembea na ujifunze toka kwa watu na vitabu
Sawa mkuu history kuna oral na written. Ya kwako ni oral siwezi kukutalia.
 
Hata sisi pia tulisoma historian kama WEWE lakini utofauti wa WEWE NA sisi ila mkuu jaribu kutembea NA kuuliza watu utajifunza kitu .

Kwa mfano ukisoma historia ya darasani huwa mnafundishwa kuhusu makabila toka great lakes
Ni tofauti ukitembea NA kujifunza

Kwa mfano ukienda nchi kama Rwanda au Burundi ni vigumu kujua Watusi NA wahutu kwa sababu wanaongea lugha moja .

Sio hivoo tuu hakuna lugha ya kutusi wala kihutu kikizungumzwa vijijini wala mjini hii ni tofauti NA Tanzania huku kila kabila lina Lugha ya kwaoo.

Kwaiyo ukitaka kuwatofautisha wahutu na Watusi hapo ndipo unapozungumzia Chimbuko LA BAHIMA na Ubugabilenze lakini BAHIMA ndio inayovumaa.

Na ukitaka kujifunza mengi kuhusu tembea na ujifunze toka kwa watu na vitabu
Kwani wahutu na watutsi si wanatofautiana kwa muonekano tu?
 
Kwani wahutu na watutsi si wanatofautiana kwa muonekano tu?
Wahutu na Watusi wanachotofautiana ni chimbuko

Watusi chimbuko lao walitokea Ethiopia huko ndipo walipotokea uko ndipo chimbuko LA abatusii wahutu wao walitokea misitu ya Congo kuja maeneo ya kanda ya ziwa ila alivyokujaga mkoloni ndio aliweza kuwatenganisha kwa maumbile yao hapo badae.
 
KwA kifupi Mi nimebahatika kuishi Rwanda na kukaa na wanyarwanda kidogo.

Kwa kifupi wanyarwanda ni watu ambao hadi Leo hii wanalinda kizazi chao cha tangu enzi na enzi.
Ndio maana hadi Leo hii mabinti wa kinyarwanda popote waendapo hutambuana kwa macho , shingo ndefu na puaa na urefu wao kama twiga.

Ndio maana hadi Leo hii hata kama upo Tanzania ikitokea umezaa na binti wa kinyarwanda kitu ambacho hukifanya wao ni. Lazima amepeleke mtoto Rwanda akafanyiwe mila flani za kitusi au kihutu hapa Nina maana hata akikua MTU mzima hawezi kuisahau. Rwanda .

Na ukitaka kufahamu hilo jaribu kufatilia serikali ya kagame na wafanyakazi serikalini huwezi amini asilimia 90 wengi wamesoma Tanzania na wamepitia bodi ya mikopo kupitia kodi za watanzania.

Na siri kubwa ya wanyarwanda wakiwa Tanzania hupenda kujiita Wahaya, wanyamwezi, waha,wanyambo mbaya zaidi wapo ambao wamepenya penya na kufanya kazi serikalini ila siri yao kubwa ni moja tuu

Hawawezi kuisahau rwanda
Point kubwa ni hii
 
Watutsi ni wazuri sana kwa maumbo na sura but Hawajui hustling za maisha wanachojua sana sana ni ufugaji tena wa kizamani. kingine ukimwoa mtusi kama wewe sio wa Jamii hyo kuwa makini watoto wakaegemea sana ujombani. Pia ukimwoa Maisha yakaenda mrama kukuacha na kuolewa na mtu mwingine ni kitu cha kawaida sana kwao
 
Wahutu na Watusi wanachotofautiana ni chimbuko

Watusi chimbuko lao walitokea Ethiopia huko ndipo walipotokea uko ndipo chimbuko LA abatusii wahutu wao walitokea misitu ya Congo kuja maeneo ya kanda ya ziwa ila alivyokujaga mkoloni ndio aliweza kuwatenganisha kwa maumbile yao hapo badae.
Anhaaaa!! Sasa nimeelewa kwa nini watoto wa kitutsi ni wa ukweli sana tofauti na wale wa kihutu! Kumbe sababu ni asili...
 
Nilochokigundua history ya hilo kabila katika ukanda huu wa great lakes imepotoshwa au imekuwa exaggerated .nimesoma history o level na high school kwa Bahati mbaya au nzuri mengi yanayozungumziwa sijawahi kukutana nayo kwenye materials naona kama porojo tu zamitaani
Mkuu hayo unayayaona hapa ni porojo tu. Tanzania tuna wamasai, wadigo, wajaluo, wamakonde au wabemba hayo yote ni makabila ya nchi jirani pia. Kwa nini iwe ajabu tukiwa watutsi huko? Watutsi wapo Burundi, Congo, Uganda hata kenya vilevile. Lakini watu wanaibuka mara sijui hao watu sijui wana so called bahima empire sijui nini!!!!
 
Anhaaaa!! Sasa nimeelewa kwa nini watoto wa kitutsi ni wa ukweli sana tofauti na wale wa kihutu! Kumbe sababu ni asili...
Hahaa mkuu kwa kifupi Leo hii ukiwangalia wadada kutoka Uganda wa kabila LA wanyakore, Watusi wa Rwanda na Burundi

Na pia ukiwangalia wadada kutoka Ethiopia wamefanana kuanzia maumbile yaani macho, pua na urefu na rangi wamefanana

Lakini kuwatofautishaa pia ni ngumuu
 
Watanzania kweli akili zenu ni mnazijua wenyewe, karne 21 mnaongelea upuuzi huu wakati wenyewe huko kwao wanapiga kazi na wanaendelea kwa kasi ya unyoya. Nyie endeleeni tu na mawazo yenu ya zama za kale, mkija zinduka hamuwapati kabisa kimaendeleo.
 
Hata sisi pia tulisoma historian kama WEWE lakini utofauti wa WEWE NA sisi ila mkuu jaribu kutembea NA kuuliza watu utajifunza kitu .

Kwa mfano ukisoma historia ya darasani huwa mnafundishwa kuhusu makabila toka great lakes
Ni tofauti ukitembea NA kujifunza

Kwa mfano ukienda nchi kama Rwanda au Burundi ni vigumu kujua Watusi NA wahutu kwa sababu wanaongea lugha moja .

Sio hivoo tuu hakuna lugha ya kutusi wala kihutu kikizungumzwa vijijini wala mjini hii ni tofauti NA Tanzania huku kila kabila lina Lugha ya kwaoo.

Kwaiyo ukitaka kuwatofautisha wahutu na Watusi hapo ndipo unapozungumzia Chimbuko LA BAHIMA na Ubugabilenze lakini BAHIMA ndio inayovumaa.

Na ukitaka kujifunza mengi kuhusu tembea na ujifunze toka kwa watu na vitabu
Ndugu fanya utafiti wako upya. Umepotoshwa kwa kiasi kikubwa
 
Kama ulikuwa hujui..wanyarwanda ni kama waisrael. Huwa wanaishi kinafiki katika nchi ya ng'ambo hata kama ni raia wa kuzaliwa. Wao mapenzi yao yapo Rwanda. Nakumbuka nilipokuwa nikifanya kazi mkoani Kagera miaka kadhaa iliopita, hawa watanzania wenye asili ya Rwanda walikuwa wanamiliki pasipoti ya Tanzania na Rwanda. Ukiwaambia kuwa kwa Tanzania ni kosa kuwa na uraia wa nchi mbili wao wanasema kuwa ni lazima watambulike kwao.

Ndo nikakumbuka enzi za bifu la Kagame na Kikwete ambapo Kagame alisema kuwa akitaka kuishambulia Tanzania basi tayar anao askari wa kutosha kuanzisha mashambulizi ndaninya Tz.
 
Ukishakua na damu ya kirwanda unakua mfano wa waislael kokote ulipo ama kuzaliwa wewe ni muisrael hata kama baba yako ni mgogo
 
Back
Top Bottom