Watanzania wenye asili ya Rwanda

Watanzania wenye asili ya Rwanda

Tru..nina rafiki zangu wawili wamezaliwa Tz na kukulia Tz bt huko huko IG mmoja anajiita Rwandan boy mwengne ni msichana nae hvo hvo anajitambulisha kama mrwanda"

Kitu nilichoona mm warwanda wengi waliseparate baada ya machafuko (mauaji ya halaiki) walikimbia nchi yao wengi wanaishi nje nchi tofauti tofauti na wamezaliwa huko ila hawa jamaa wanaile kitu yakujiproud as Rwandese so wanatumia social network kufahamiana wao kwa wao kutoka sehem tofauti tofauti na kujiona kama inawaweka karibu.
Wanahash tags zao na page wanapostiana sana IG
Mkuu kumbe na wewe umeliona hilo! Hao watu si wa kuwaamini hata kidogo, hawapaswi kuitwa watanzania.
 
Tru..nina rafiki zangu wawili wamezaliwa Tz na kukulia Tz bt huko huko IG mmoja anajiita Rwandan boy mwengne ni msichana nae hvo hvo anajitambulisha kama mrwanda"

Kitu nilichoona mm warwanda wengi waliseparate baada ya machafuko (mauaji ya halaiki) walikimbia nchi yao wengi wanaishi nje nchi tofauti tofauti na wamezaliwa huko ila hawa jamaa wanaile kitu yakujiproud as Rwandese so wanatumia social network kufahamiana wao kwa wao kutoka sehem tofauti tofauti na kujiona kama inawaweka karibu.
Wanahash tags zao na page wanapostiana sana IG
UNACHOZUNGUMZA MKUU NI KWELI MTANZANIA YOYOTE ALIYEZALIWA TANZANIA HATA KAMA BABU NA MABABU WALITOKEA RWANDA YEYE HUAMINI NI MNYARWANDA.

NA WATU KAMA HAO WAKO WENGI SANA AMBAO UKIWANGALIA MACHONI NI WATANZANIA ILA MOYONI WANAJIVUNIA UNYARWANDA NA UKITAKA KUFAHAMU HILO JARIBU KUCHUNGUZA MIENENDO NA MAZUNGUMZO UTAGUNDUA

1.WENGI WANAPENDA SANA KUISIFIA RWANDA KWA KILA KITU.

2.HUPENDA KUMSIFIA KAGAME AMEBORESHA UCHUMI WA RWANDA .

4.MARA UTASIKIA RWANDA IKO HIVI MARA IKO VILEE. ..

SASA UKIKAA NA KUCHUNGUZA UTAGUNDUA ANA CHEMBE CHEMBE ZA UNYARWANDA HIVO HUPENDA KUSIFIA KWAO.
 
Mkuu kumbe na wewe umeliona hilo! Hao watu si wa kuwaamini hata kidogo, hawapaswi kuitwa watanzania.
HILO mbona ni jambo LA kawaida tuu WATU kufahamiana kwa mfano Mimi ni mnyamwezi nimezaliwa dar na kukulia dar na sijui chochote kuhusu wanyamwezi

LAKINI nikikutana na wanyamwezi wenzangu huwa ninajisikia faraja
 
Sample yako umewauliza "wanyarwanda-watanzania" wangapi?. Mimi nina mchepuko pale Kigali baba ni mnyarwanda na mama mtanzania lakini Binti anajitangaza yeye ni Mtanzania. Ni mtamu ajabu.
Ana maji?
 
Sasa rwanda kuna nini kule kama sio njaa tu? mimi nadhani wana ubinafsi fulani hivi yaani hawaaminiki hao.
Uko sahihi, they are too selfish hayo watu. Lakini pia wamefundishwa kupenda Rwanda kwanza kuliko nchi nyingine yeyote duniani. Tabia yao haina tofauti na waisrael ambako inasemekani ndio has a watutsi walikoanzia. Wako pia too strategic, wakitaka kitu hawashindwi. Hutumia sana wanawake katika kutimiza azma zao.
 
Kama hali ndio hiyo, hawa wanawake ni hatari sana. Wazuri usoni, moyoni ni wachafu wa nafsi
Kwako hufuata Mali na mamlaka tu. Hakuna Kingine. Inasemekana wanaweza pia kukuchomekea Mimba ambazo kimsingi zimewekwa na wanyaru wenzao. Ni hatari sana mademu.
Ila usiombe wakushike, umekwisha. Wamefundwa vyema kudekeza wanaume.
 
Baba =Rwanda
Mama= Mtanzania


Nikisema mm n Mnyarwanda sio sahihi???
 
UNACHOZUNGUMZA MKUU NI KWELI MTANZANIA YOYOTE ALIYEZALIWA TANZANIA HATA KAMA BABU NA MABABU WALITOKEA RWANDA YEYE HUAMINI NI MNYARWANDA.

NA WATU KAMA HAO WAKO WENGI SANA AMBAO UKIWANGALIA MACHONI NI WATANZANIA ILA MOYONI WANAJIVUNIA UNYARWANDA NA UKITAKA KUFAHAMU HILO JARIBU KUCHUNGUZA MIENENDO NA MAZUNGUMZO UTAGUNDUA

1.WENGI WANAPENDA SANA KUISIFIA RWANDA KWA KILA KITU.

2.HUPENDA KUMSIFIA KAGAME AMEBORESHA UCHUMI WA RWANDA .

4.MARA UTASIKIA RWANDA IKO HIVI MARA IKO VILEE. ..

SASA UKIKAA NA KUCHUNGUZA UTAGUNDUA ANA CHEMBE CHEMBE ZA UNYARWANDA HIVO HUPENDA KUSIFIA KWAO.
Sasa mkuu watu wa namna hii huoni kwamba wana madhara sana kwa taifa? hao watu wako hivyo wote na si wachache, hao ndo wanasaidiana kuwapa hifadhi wenzao wanaoingia nchini hata ikibidi kuwatafutia kazi.
 
Sasa mkuu watu wa namna hii huoni kwamba wana madhara sana kwa taifa? hao watu wako hivyo wote na si wachache, hao ndo wanasaidiana kuwapa hifadhi wenzao wanaoingia nchini hata ikibidi kuwatafutia kazi.
Home land, sio sisi tu wenye asili ya Rwanda , mtu yeyote popote pale dunian... ambae yuko nje ya nchi ya ASILI yake, either kwa kuzaliwa kama sisi au kwa namna yeyote, hata kama hajawah kufika kwenye taifa hilo... Moyo wake hua upo kwenye hilo taifa, That is where he/she belong
 
Mimi wanachonikera ni tabia yao ya ubinafsi na kupendeleana.

Hata umgonge vipi na umsaidie vipi ila ujue siku akikutana na Mwanaume wa Kinyarwanda mwenzie lazima uachwe kwenye mataa.

Alafu inaonyesha Rwanda ni Ka-nchi kadogo mno maana wale jamaa wote wanajuana.
 
Uko sahihi, they are too selfish hayo watu. Lakini pia wamefundishwa kupenda Rwanda kwanza kuliko nchi nyingine yeyote duniani. Tabia yao naona tofauti na waisrael ambako inasemekani ndio has a watutsi walikoanzia. Wako pia too strategic, wakitaka kitu hawashindwi. Hutumia sana wanawake katika kutimiza azma zao.

These are overrated bunch of Africans....Uisrael wameupatia wapi hawa?
 
Mimi wanachonikera ni tabia yao ya ubinafsi na kupendeleana.

Hata umgonge vipi na umsaidie vipi ila ujue siku akikutana na Mwanaume wa Kinyarwanda mwenzie lazima uachwe kwenye mataa.

Alafu inaonyesha Rwanda ni Ka-nchi kadogo mno maana wale jamaa wote wanajuana.
Kuna tabia wanafundishwa hao watu, si bure kabisa.
 
Home land, sio sisi tu wenye asili ya Rwanda , mtu yeyote popote pale dunian... ambae yuko nje ya nchi ya ASILI yake, either kwa kuzaliwa kama sisi au kwa namna yeyote, hata kama hajawah kufika kwenye taifa hilo... Moyo wake hua upo kwenye hilo taifa, That is where he/she belong
Tabia hiyo mnayo ninyi tu, kuna wakenya na waganda waliochanganyika na nchi nyingine lakini huwezi kuta wana tabia kama zenu.
 
Baba =Rwanda
Mama= Mtanzania


Nikisema mm n Mnyarwanda sio sahihi???
HAPO INATEGEMEA ULIZALIWA NCHI GANI KAMA ULIZALIWA TANZANIA HATA KAMA BABA NI MNYARWANDA WEWE NI MTANZANIA UNATAMBULIKA.

ILA UTAKAPOFIKISHA UMRI WA MIAKA 18 SHERIA ITAKUTAKA KUUKANA URAIA MMOJA WAPO LAKINI BILA KUUKANA MAHAKAMANI WEWE BADO HAUJATAMBULIKA KAMA MTANZANIA. HALISI.

NA ISSUE KAMA HIYO IMESHAWAHI KUTOKEA UKO KANDA YA ZIWA KUNA MTU ALIKUWA ANAGOMBEA UBUNGE LAKINI. MWISHO WA SIKU ALIWEKEWA PINGAMIZI LA URAIA WAKE
 
Back
Top Bottom