Watanzania wenye asili ya Rwanda

Watanzania wenye asili ya Rwanda

Nadhani genocide ya 1994 iliwaacha na ugonjwa Wa PTSD, poppte walipo wanajipma wanabaguliwa na kiuhalisia ukichimba sana wanajiona hawakubaliki mataifa yote walipo. Labda huko Ethiopia asili yao nako kumejaa hawawezi kurudi. Lakini watanzania Leo inaathirika mini na watutsi wafugaji tu hawajawahi kushika bundukina kuua tembo wetu wala jambazi Wa kushika silaha na kuua hayupo Tanzania. Wapo wageni wanaoua tembo misitu ya Tabora. Hao ni tishio au kwa kuwa ni wabantu hao waharibifu Wa maliasili zetu tusiwajadili.? Hisia hizi za ukabila tutakuwa tunaililia serikali njaa kila mwaka.Mhukumu MTU kwa tabiayake binafsi na so kabila. TUKO KARNE YA 21 TUKIWA MWENYE MABASI YA UKABILA.Wazungu wakigundua dawa ya malaria watatufanya kama wahindi wekundu .wakati huu ni kuwaza maendeleo I'll tuwexe kukabili second scramble for Africa isifanikiwe. Hivi miaka 50 baada ya kujitawla tumedumaa kimaendeleo ukiliganisha na Singapore na Korea tulokuwa sawa kimaendeleoni sababu ya Bahima Empire(imaginary)?Tuwaze mendeleo tuzke ukaburu Wa aina yoyote(uzawa/ukabila/udini/NINA HAMU NA TANZANIA YA VIWANDA IJE HARAKA ILI IFUTE SIASA ZA NJAA(UBAGUZI)NAWASILISHA . MATUSI YAEPUKE UNAPOJIBU
 
Nilochokigundua history ya hilo kabila katika ukanda huu wa great lakes imepotoshwa au imekuwa exaggerated .nimesoma history o level na high school kwa Bahati mbaya au nzuri mengi yanayozungumziwa sijawahi kukutana nayo kwenye materials naona kama porojo tu zamitaani

Mzee wangu ni Mtanzania, mama Mtanzania mwenye asili ya Rwanda. Ulichopost hapa ni story za kusadikika, hakipo!
 
Watanzania kweli akili zenu ni mnazijua wenyewe, karne 21 mnaongelea upuuzi huu wakati wenyewe huko kwao wanapiga kazi na wanaendelea kwa kasi ya unyoya. Nyie endeleeni tu na mawazo yenu ya zama za kale, mkija zinduka hamuwapati kabisa kimaendeleo.
Wewe mtutsi kaa pembeni.
 
Kama ulikuwa hujui..wanyarwanda ni kama waisrael. Huwa wanaishi kinafiki katika nchi ya ng'ambo hata kama ni raia wa kuzaliwa. Wao mapenzi yao yapo Rwanda. Nakumbuka nilipokuwa nikifanya kazi mkoani Kagera miaka kadhaa iliopita, hawa watanzania wenye asili ya Rwanda walikuwa wanamiliki pasipoti ya Tanzania na Rwanda. Ukiwaambia kuwa kwa Tanzania ni kosa kuwa na uraia wa nchi mbili wao wanasema kuwa ni lazima watambulike kwao.

Ndo nikakumbuka enzi za bifu la Kagame na Kikwete ambapo Kagame alisema kuwa akitaka kuishambulia Tanzania basi tayar anao askari wa kutosha kuanzisha mashambulizi ndaninya Tz.
Mkuu ndio maana nasema hawaaminiki. Hawa hata uwaajiri kwenye taasisi nyeti hawawezi kuwa wazalendo. Nawafahamu baadhi yao, wana tabia za kibinafsi sana na wanaegemea kwenye unyarwanda kuliko u-Tanzania.
 
Watutsi ni wazuri sana kwa maumbo na sura but Hawajui hustling za maisha wanachojua sana sana ni ufugaji tena wa kizamani. kingine ukimwoa mtusi kama wewe sio wa Jamii hyo kuwa makini watoto wakaegemea sana ujombani. Pia ukimwoa Maisha yakaenda mrama kukuacha na kuolewa na mtu mwingine ni kitu cha kawaida sana kwao
UKO SAHIHI NA WANAPENDA KUPENDWA!UKIMSALITI ASIJUE
 
Kwanini baadhi yao hasa vijana pamoja na kuonekana kuzaliwa na kukulia Tanzania kwa maana ya mzazi mmoja hasa baba anakuwa mtanzania na mama akiwa mnyarwanda(sijui kama kweli) lakini wanajiita wanyarwanda na sio watanzania!

Nilishangaa baadhi yao(sio wote)wakati wa uchaguzi mkuu uliopita kukuta wakishiriki siasa hasa kupiga kura lakini hapo hapo wakijitambulisha kama ni wanyarwanda na sio watanzania? kwenye social networks hasa instagram wamekuwa wakitumia country code ya +250!


NOTE:

Nazungumzia watanzania wenye asili ya kinyarwanda na sio wanyarwanda wa rwanda.

Mzee wangu ni Mtanzania, mama Mtanzania mwenye asili ya Rwanda. Ulichopost hapa ni story za kusadikika, hakipo!
 
Watutsi na wahutu ni makabila ya kiafrica na wala hawana shida,ila wanachangamoto moja tu waliyoachiwa na wakoloni UBAGUZI...!!

Mfano:Rais wa burundi,Baba mhutu mama mtutsi,ila kaamua kuwa mhutu mwenye msimamo mkali sana,wakati ana ndugu zake wengi watutsi,

Rais wa Drc Congo,Baba mhutu,mama mtutsi,ila yeye kaamua kuwa mtutsi mwenye msimamo mkali wakati ana ndugu zake wengi wahutu..

NB,katika makabila ya kanda ya maziwa makuu,hakuna kabila ambalo halijachanganya damu...kwahiyo tupendane ndugu waafrica wenzangu.

Hata hivo waafrica asili wako Sudani kusini,sisi wengine tunazingua.
 
Kama mama yeyote yule, I've never felt anything about Rwanda. Hizi misconception nimezisikia mara nyingi sana, mara Bahima empire, mara ni kawa Wayahudi n.k, binafsi sijawahi kushudia mambo hayo.
Kwa kifupi hayo mambo ya hapo na sio simulizi kuhusu Bahima.

Na ukitaka kufahamu hebu angalia vurugu zinazotokea Burundi ni kwanini nkurunzinza anapigwa kujiongezea muhula wake pili wakati kagame na mu7 hawakupigwaaa kuendelea
 
Kuna tetesi kwamba wanawake wengi wa Kinyarwanda wakiolewa na watu wa kabila nyingine, ikifika wakati wa kushika ujauzito wanatafuta wanaume wa Kinyarwanda, na iwapo wanaishi mbali na hao wanaume husafiri kwa minajili ya kupewa ujauzito. Ndio maana watoto wanajitambulisha kama wanyarwanda. Haya ni mambo yanazungumzwa mitaani, wengine hatujui kama yana ukweli au la. Labda wanaofahamu ukweli wa mambo watatujuza.
 
Kuna tetesi kwamba wanawake wengi wa Kinyarwanda wakiolewa na watu wa kabila nyingine, ikifika wakati wa kushika ujauzito wanatafuta wanaume wa Kinyarwanda, na iwapo wanaishi mbali na hao wanaume husafiri kwa minajili ya kupewa ujauzito. Ndio maana watoto wanajitambulisha kama wanyarwanda. Haya ni mambo yanazungumzwa mitaani, wengine hatujui kama yana ukweli au la. Labda wanaofahamu ukweli wa mambo watatujuza.
Hiyo kitu inasemekana sana.
 
Tru..nina rafiki zangu wawili wamezaliwa Tz na kukulia Tz bt huko huko IG mmoja anajiita Rwandan boy mwengne ni msichana nae hvo hvo anajitambulisha kama mrwanda"

Kitu nilichoona mm warwanda wengi waliseparate baada ya machafuko (mauaji ya halaiki) walikimbia nchi yao wengi wanaishi nje nchi tofauti tofauti na wamezaliwa huko ila hawa jamaa wanaile kitu yakujiproud as Rwandese so wanatumia social network kufahamiana wao kwa wao kutoka sehem tofauti tofauti na kujiona kama inawaweka karibu.
Wanahash tags zao na page wanapostiana sana IG
 
Kuna tetesi kwamba wanawake wengi wa Kinyarwanda wakiolewa na watu wa kabila nyingine, ikifika wakati wa kushika ujauzito wanatafuta wanaume wa Kinyarwanda, na iwapo wanaishi mbali na hao wanaume husafiri kwa minajili ya kupewa ujauzito. Ndio maana watoto wanajitambulisha kama wanyarwanda. Haya ni mambo yanazungumzwa mitaani, wengine hatujui kama yana ukweli au la. Labda wanaofahamu ukweli wa mambo watatujuza.
Inawezekana kabisa mkuu"
 
Back
Top Bottom