Watanzania wenye asili ya Rwanda

Watanzania wenye asili ya Rwanda

KwA kifupi Mi nimebahatika kuishi Rwanda na kukaa na wanyarwanda kidogo.

Kwa kifupi wanyarwanda ni watu ambao hadi Leo hii wanalinda kizazi chao cha tangu enzi na enzi.
Ndio maana hadi Leo hii mabinti wa kinyarwanda popote waendapo hutambuana kwa macho , shingo ndefu na puaa na urefu wao kama twiga.

Ndio maana hadi Leo hii hata kama upo Tanzania ikitokea umezaa na binti wa kinyarwanda kitu ambacho hukifanya wao ni. Lazima amepeleke mtoto Rwanda akafanyiwe mila flani za kitusi au kihutu hapa Nina maana hata akikua MTU mzima hawezi kuisahau. Rwanda .

Na ukitaka kufahamu hilo jaribu kufatilia serikali ya kagame na wafanyakazi serikalini huwezi amini asilimia 90 wengi wamesoma Tanzania na wamepitia bodi ya mikopo kupitia kodi za watanzania.

Na siri kubwa ya wanyarwanda wakiwa Tanzania hupenda kujiita Wahaya, wanyamwezi, waha,wanyambo mbaya zaidi wapo ambao wamepenya penya na kufanya kazi serikalini ila siri yao kubwa ni moja tuu

Hawawezi kuisahau rwanda
 
KwA kifupi Mi nimebahatika kuishi Rwanda na kukaa na wanyarwanda kidogo.

Kwa kifupi wanyarwanda ni watu ambao hadi Leo hii wanalinda kizazi chao cha tangu enzi na enzi.
Ndio maana hadi Leo hii mabinti wa kinyarwanda popote waendapo hutambuana kwa macho , shingo ndefu na puaa na urefu wao kama twiga.

Ndio maana hadi Leo hii hata kama upo Tanzania ikitokea umezaa na binti wa kinyarwanda kitu ambacho hukifanya wao ni. Lazima amepeleke mtoto Rwanda akafanyiwe mila flani za kitusi au kihutu hapa Nina maana hata akikua MTU mzima hawezi kuisahau. Rwanda .

Na ukitaka kufahamu hilo jaribu kufatilia serikali ya kagame na wafanyakazi serikalini huwezi amini asilimia 90 wengi wamesoma Tanzania na wamepitia bodi ya mikopo kupitia kodi za watanzania.

Na siri kubwa ya wanyarwanda wakiwa Tanzania hupenda kujiita Wahaya, wanyamwezi, waha,wanyambo mbaya zaidi wapo ambao wamepenya penya na kufanya kazi serikalini ila siri yao kubwa ni moja tuu

Hawawezi kuisahau rwanda
Wamasai ndo wanaongoza kwa kulinda origin yao hapa afrika
 
Kwanini baadhi yao hasa vijana pamoja na kuonekana kuzaliwa na kukulia Tanzania kwa maana ya mzazi mmoja hasa baba anakuwa mtanzania na mama akiwa mnyarwanda(sijui kama kweli) lakini wanajiita wanyarwanda na sio watanzania!

Nilishangaa baadhi yao(sio wote)wakati wa uchaguzi mkuu uliopita kukuta wakishiriki siasa hasa kupiga kura lakini hapo hapo wakijitambulisha kama ni wanyarwanda na sio watanzania? kwenye social networks hasa instagram wamekuwa wakitumia country code ya +250!


NOTE:

Nazungumzia watanzania wenye asili ya kinyarwanda na sio wanyarwanda wa rwanda.
hao ni banyamulenge na sio wa tz
 
Watutsi wa Burundi ni wachache sana kuliko wahutu, lakini pia hawakuwahi kupata "kimbari" ikawatoa imani ya kuwa kwao, ila kwa kuadi kidogo
Mkuu katika historia ya Burundi mauaji ya kimbari yalitokea kwa awamu tatu ya kwanza ilikuwa 1959 badae 1972. Na badae 1993 hadi 1994 baada ya mauaji ya raisi wa Burundi na Rwanda pamoja.
 
Kwanini baadhi yao hasa vijana pamoja na kuonekana kuzaliwa na kukulia Tanzania kwa maana ya mzazi mmoja hasa baba anakuwa mtanzania na mama akiwa mnyarwanda(sijui kama kweli) lakini wanajiita wanyarwanda na sio watanzania!

Nilishangaa baadhi yao(sio wote)wakati wa uchaguzi mkuu uliopita kukuta wakishiriki siasa hasa kupiga kura lakini hapo hapo wakijitambulisha kama ni wanyarwanda na sio watanzania? kwenye social networks hasa instagram wamekuwa wakitumia country code ya +250!


NOTE:

Nazungumzia watanzania wenye asili ya kinyarwanda na sio wanyarwanda wa rwanda.
kiufupi mama akiwa mnyaru au baba akiwa mnyaru mnavutwa sana upande huo,,,btw i am proudly tanzanian
 
Wamasai ndo wanaongoza kwa kulinda origin yao hapa afrika
Ni kweli ila wamasai ni tofauti na wanyarwanda haswa wa kabila LA Watusi .

Watusi kwa kifupi wamegawanyika katika sehemu kuu NNE.

1.wakiwa Tanzania hujulikana kama wayoza, wahangaza au wahimaa.

2.wakiwa Uganda hujulikana kama wanyakore.

3.wakiwa Congo hujulikana kama banyamurenge.

4.wakiwa Burundi,Rwanda na Kenya kidogo hujiita Watusi.

Sasa hili kabila Watusi wana empire au himaya yao inawaunganisha kama ndugu na hujulikana kama BAHIMA EMPIRE
Ambapo katika hiyo empire yao wana mpaka nyimbo yao ya taifa mila na desturi zao za kibahima.

Na ukianza kufatilia story za Bahima au ukibahatika kufika katika sherehe zao ambazo huwa zinaadhimishwa kila mwezi wa NNE hii ikiwa ni kuwaombea ndugu zao ambao waliuwawa katika mauaji ya kimbali ya mwaka 1959,1972,1994 yaliyotokeaga Rwanda na burundi
 
KwA kifupi Mi nimebahatika kuishi Rwanda na kukaa na wanyarwanda kidogo.

Kwa kifupi wanyarwanda ni watu ambao hadi Leo hii wanalinda kizazi chao cha tangu enzi na enzi.
Ndio maana hadi Leo hii mabinti wa kinyarwanda popote waendapo hutambuana kwa macho , shingo ndefu na puaa na urefu wao kama twiga.

Ndio maana hadi Leo hii hata kama upo Tanzania ikitokea umezaa na binti wa kinyarwanda kitu ambacho hukifanya wao ni. Lazima amepeleke mtoto Rwanda akafanyiwe mila flani za kitusi au kihutu hapa Nina maana hata akikua MTU mzima hawezi kuisahau. Rwanda .

Na ukitaka kufahamu hilo jaribu kufatilia serikali ya kagame na wafanyakazi serikalini huwezi amini asilimia 90 wengi wamesoma Tanzania na wamepitia bodi ya mikopo kupitia kodi za watanzania.

Na siri kubwa ya wanyarwanda wakiwa Tanzania hupenda kujiita Wahaya, wanyamwezi, waha,wanyambo mbaya zaidi wapo ambao wamepenya penya na kufanya kazi serikalini ila siri yao kubwa ni moja tuu

Hawawezi kuisahau rwanda
Mkuu wewe pekee ndo umeelewa nilichoandika. Huo ni ukweli mtupu na ndio maana nikasema jamii hiyo haitakiwi kuaminiwa nchini kwetu.
 
Wewe jiulize kwanini wanyarwanda tu ndo wanakimbia kimbia nchi za watu na sio warundi? Burundi kuna wahutu na watutsi kama rwanda lakini watutsi unaowaona bongo wametokea rwanda na sio Burundi, kuna nini kwao hadi wakimbie huko?
Mkuu hilo mbona jambo LA kawaida hata hapa Tanzania tunao watanzania wengi. Waliokimbilia south Africa, msumbiji
 
Ni kweli ila wamasai ni tofauti na wanyarwanda haswa wa kabila LA Watusi .

Watusi kwa kifupi wamegawanyika katika sehemu kuu NNE.

1.wakiwa Tanzania hujulikana kama wayoza, wahangaza au wahimaa.

2.wakiwa Uganda hujulikana kama wanyakore.

3.wakiwa Congo hujulikana kama banyamurenge.

4.wakiwa Burundi,Rwanda na Kenya kidogo hujiita Watusi.

Sasa hili kabila Watusi wana empire au himaya yao inawaunganisha kama ndugu na hujulikana kama BAHIMA EMPIRE
Ambapo katika hiyo empire yao wana mpaka nyimbo yao ya taifa mila na desturi zao za kibahima.

Na ukianza kufatilia story za Bahima au ukibahatika kufika katika sherehe zao ambazo huwa zinaadhimishwa kila mwezi wa NNE hii ikiwa ni kuwaombea ndugu zao ambao waliuwawa katika mauaji ya kimbali ya mwaka 1959,1972,1994 yaliyotokeaga Rwanda na burundi
Hizi siasa tu. Kutofautisha hayo makabila ni ngumu lakini upuuzi wa Bahima haupo.Ukweli wanajua uhamiaji.
 
Hizi siasa tu. Kutofautisha hayo makabila ni ngumu lakini upuuzi wa Bahima haupo.Ukweli wanajua uhamiaji.
BAHIMA EMPIRE BADO IPO NA TUKIANZA KUIZUNGUMZIA DOLA YA BAHIMA TANGIA MIAKA NYUMA HADI LEO HII BADO IPO SEMA IMEPUNGUA. NGUVU.
 
Ni kweli ila wamasai ni tofauti na wanyarwanda haswa wa kabila LA Watusi .

Watusi kwa kifupi wamegawanyika katika sehemu kuu NNE.

1.wakiwa Tanzania hujulikana kama wayoza, wahangaza au wahimaa.

2.wakiwa Uganda hujulikana kama wanyakore.

3.wakiwa Congo hujulikana kama banyamurenge.

4.wakiwa Burundi,Rwanda na Kenya kidogo hujiita Watusi.

Sasa hili kabila Watusi wana empire au himaya yao inawaunganisha kama ndugu na hujulikana kama BAHIMA EMPIRE
Ambapo katika hiyo empire yao wana mpaka nyimbo yao ya taifa mila na desturi zao za kibahima.

Na ukianza kufatilia story za Bahima au ukibahatika kufika katika sherehe zao ambazo huwa zinaadhimishwa kila mwezi wa NNE hii ikiwa ni kuwaombea ndugu zao ambao waliuwawa katika mauaji ya kimbali ya mwaka 1959,1972,1994 yaliyotokeaga Rwanda na burundi
Nilochokigundua history ya hilo kabila katika ukanda huu wa great lakes imepotoshwa au imekuwa exaggerated .nimesoma history o level na high school kwa Bahati mbaya au nzuri mengi yanayozungumziwa sijawahi kukutana nayo kwenye materials naona kama porojo tu zamitaani
 
Sample yako umewauliza "wanyarwanda-watanzania" wangapi?. Mimi nina mchepuko pale Kigali baba ni mnyarwanda na mama mtanzania lakini Binti anajitangaza yeye ni Mtanzania. Ni mtamu ajabu.
kigali sehemu gani mkuu? nna mchepuko wangu pia, uko pande za Gikondo.. Ila she is a pure tutsi
 
Back
Top Bottom