Mto Songwe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2023
- 6,026
- 12,324
CCM kama navyo kitambua ni chama cha kidikteta kinacho ongoza nchi ya Tanzania.
CCM imejifunua kuwa chama cha kidikteta kwa kipindi kirefu bila uficho wowote kwa maneno na matendo.
Ila kuna kundi kubwa lililo saulika la Watanzania walio kinyume na CCM kiitikadi.
Hili kundi kubwa la Watanzania limejaribu kujificha katika kichaka cha demokrasia ila kiuhalisia ni madikteta tena zaidi hata ya CCM.
Kitu pekee kinacho nyima wao kuonesha udikteta wao ni kukosa madaraka ya kudhihirisha udikteta na unyama wao.
Fikra za hili kundi bado zipo kwenye mabavu, ukoloni na utumwa.
Wale wote wanao jifanya kupigania demokrasia ni hawajapata madaraka ya kuonesha udikteta wao.
CCM imejifunua kuwa chama cha kidikteta kwa kipindi kirefu bila uficho wowote kwa maneno na matendo.
Ila kuna kundi kubwa lililo saulika la Watanzania walio kinyume na CCM kiitikadi.
Hili kundi kubwa la Watanzania limejaribu kujificha katika kichaka cha demokrasia ila kiuhalisia ni madikteta tena zaidi hata ya CCM.
Kitu pekee kinacho nyima wao kuonesha udikteta wao ni kukosa madaraka ya kudhihirisha udikteta na unyama wao.
Fikra za hili kundi bado zipo kwenye mabavu, ukoloni na utumwa.
Wale wote wanao jifanya kupigania demokrasia ni hawajapata madaraka ya kuonesha udikteta wao.