Mkikuyu- Akili timamu
JF-Expert Member
- Feb 16, 2018
- 4,310
- 7,464
Sioni Mtanzania anaye tamani kwenda kuishi marekani. TZ maisha ni rahisi sana, chakula kote kote..Ardhi kununua nikama bure, hakuna ubaguzi wa rangi, Vivutio na mahala za kula bata ni nyingi sana.
ZERO CONSEQUENCIES
Trump aendelee na Muslim ban zake.
ZERO CONSEQUENCIES
Trump aendelee na Muslim ban zake.