Watanzania wapo kwenye njia panda baina ya Kiswahili na Kingereza

inferior complex huwezi kuelewa kwani lazima tuwe sawa na nyie kwani nini maana ya kenya au tanzania au nini maana ya family sio lazima tuwe sawa na nyie tanzania ni nchi nyingine ishini kwa mitaala yenu nasi tunafata kanuni zetu . kwani ukiongea kingereza utaonekana superior wewe kwa mzungu utaendelea kuonekana tu warlord na mental kwenye civilization

Ukiongea kingereza you are open and ready for international business.
Jikumbushe ni corporations ngapi ziko na hq hapa Nairobi na ni ngapi ziko na hq huko dar.
 
Waturuki hapa wanazungumza kituruki na kuna watanzania wanaojua kituriki wanatafsiri kutoka kituruki kwenda kiswahili na kwa wachina ni hivyo hivyo. Kwa kifupi Tanzania haikipi kipaumbele kiingereza Kama ifanyavyo Kenya. Kwa wakenya English ni alama ya high status, education, and civilization not just a language
Bila evidence hiyp yako ni kelele.
 
Hizo nchi zote umetaja zinafunza Kingereza as a second language. Actually kwa shule za EU, it is compulsory.
Huko Israel, like 80% speak English. And it is very good English for that matter.
You need to travel more. No german or french public primary school has a curicullum with "english" as a subject..None! The medium of istruction even in their universities is german/french/whatever native language.
Their high schools offer choice to learn a second language -Most prefer to learn spanish/french/german combined more than learn english
 
Hizo nchi zote umetaja zinafunza Kingereza as a second language. Actually kwa shule za EU, it is compulsory.
Huko Israel, like 80% speak English. And it is very good English for that matter.
You need to travel more. No german or french public primary school has a curicullum with "english" as a subject..None! The medium of istruction even in their universities is german/french/whatever native language.
Their high schools offer choice to learn a second language -Most prefer to learn spanish/french/german combined more than learn english
 
You need to travel more. No german or french public primary school has a curicullum with "english" as a subject..None! The medium of istruction even in their universities is german/french/whatever native language.
Their high schools offer choice to learn a second language -Most prefer to learn spanish/french/german combined more than learn english

I said English is taught as a second language.
97% of all EU students as of 2014.

The difference with Tanzania is whereas in bongolala only 0.1% can speak in English, in a country like Germany, 60% can speak English.
 
Ukiongea kingereza you are open and ready for international business.
Jikumbushe ni corporations ngapi ziko na hq hapa Nairobi na ni ngapi ziko na hq huko dar.
kuwa na hq alafu unaishi kwenye cave tena chini ya dollar moja per week hizo hq zinapambanaje na umasikin wako
 
kuwa na hq alafu unaishi kwenye cave tena chini ya dollar moja per week hizo hq zinapambanaje na umasikin wako

Hizo hq zinapanua gap kati ya GDP ya Kenya na Tanzania kila mwaka. Hizo hq zinaongeza mapato ya nchi.

Ushuru unaookotwa Kenya ni karibu mara mbili ya Tanzania.
Miradi inayo endelea Kenya ni zaidi ya mara tatu Tanzania.

Mwalimu wa Kenya analipwa mara mbili mwalimu wa Tanzania.
Daktari wa Kenya analipwa mara tatu daktari wa Tanzania.
 
Hizo hq zinapanua gap kati ya GDP ya Kenya na Tanzania kila mwaka. Hizo hq zinaongeza mapato ya nchi.

Ushuru unaookotwa Kenya ni karibu mara mbili ya Tanzania.
Miradi inayo endelea Kenya ni zaidi ya mara tatu Tanzania.

Mwalimu wa Kenya analipwa mara mbili mwalimu wa Tanzania.
Daktari wa Kenya analipwa mara tatu daktari wa Tanzania.
Daktari wa kenya analipwa dola Ngapi? Alieajiriwa na serikal
 
Hizo hq zinapanua gap kati ya GDP ya Kenya na Tanzania kila mwaka. Hizo hq zinaongeza mapato ya nchi.

Ushuru unaookotwa Kenya ni karibu mara mbili ya Tanzania.
Miradi inayo endelea Kenya ni zaidi ya mara tatu Tanzania.

Mwalimu wa Kenya analipwa mara mbili mwalimu wa Tanzania.
Daktari wa Kenya analipwa mara tatu daktari wa Tanzania.
GDP= myths
70 IQ+low mental disability= walala hoi
 
Kenya lowest - $1500
Kenya highest - $5000 +

Tanzania lowest - $500
achana na takwimu za kijinga ni wangap hapo kenya wanaweza kuipata hiyo pesa kwa mwaka au unaniongelea data za kupika ambazo sio real life data za kujifurahisha huku unashindia kahawa per day
 
achana na takwimu za kijinga ni wangap hapo kenya wanaweza kuipata hiyo pesa kwa mwaka au unaniongelea data za kupika ambazo sio real life data za kujifurahisha huku unashindia kahawa per day

Huo ni mshahara wa madaktari.
The story is across board.

Mkenya wa kawaida analipwa ama kupata pesa mingi zaidi ya mtanzania.
That's what GDP is all about.
 
Hizo nchi zote umetaja zinafunza Kingereza as a second language. Actually kwa shule za EU, it is compulsory.
Huko Israel, like 80% speak English. And it is very good English for that matter.
You need to travel more. No german or french public primary school has a curicullum with "english" as a subject..None! The medium of istruction even in their universities is german/french/whatever native language.
Their high schools offer choice to learn a second language -Most prefer to learn spanish/french/german combined more than learn english
I said English is taught as a second language.
97% of all EU students as of 2014.

The difference with Tanzania is whereas in bongolala only 0.1% can speak in English, in a country like Germany, 60% can speak English.
50% of EU nations cant speak or write english. If you add non eu members and russia to that, pushes it to 60%
Speak with facts, where is the evidence that 0.1% of Tz speak english?
I said English is taught as a second language.
97% of all EU students as of 2014.
50% of Eu members states cannot read or write english.If you add non member states + russia thats 60%
Where is evidence that Only 0.1% can speak english in Tz? Speak with facts dont fish things out of your arse

The difference with Tanzania is whereas in bongolala only 0.1% can speak in English, in a country like Germany, 60% can speak English.
Screenshot_2018-08-03_121834.jpg
 
You need to travel more. No german or french public primary school has a curicullum with "english" as a subject..None! The medium of istruction even in their universities is german/french/whatever native language.
Their high schools offer choice to learn a second language -Most prefer to learn spanish/french/german combined more than learn english

50% of EU nations cant speak or write english. If you add non eu members and russia to that, pushes it to 60%
Speak with facts, where is the evidence that 0.1% of Tz speak english?

50% of Eu members states cannot read or write english.If you add non member states + russia thats 60%
Where is evidence that Only 0.1% can speak english in Tz? Speak with facts dont fish things out of your arse

The difference with Tanzania is whereas in bongolala only 0.1% can speak in English, in a country like Germany, 60% can speak English.View attachment 825856

Too much hubris.
The world is changing. English is where the direction leads.

A farmer in Meru is not expected to speak English, but a businessman in Nairobi is.
The drivers of the world economy speak English. You can bet the 50% of EU that speak English contribute 90% to the GDPs.

The thing with Tanzania, even the upper class that went to reasonably good schools still speak very pathetic English. As a result they avoid it. I had 2 classmates from bongolala from a very prominent political family that I won't name.
Pathetic.
 
Too much hubris.
The world is changing. English is where the direction leads.

A farmer in Meru is not expected to speak English, but a businessman in Nairobi is.
The drivers of the world economy speak English. You can bet the 50% of EU that speak English contribute 90% to the GDPs.

The thing with Tanzania, even the upper class that went to reasonably good schools still speak very pathetic English. As a result they avoid it. I had 2 classmates from bongolala from a very prominent political family that I won't name.
Pathetic.
50% of english speakers contribute to 90% of EU GDPs? wow! I told you to bring facts not shit straight from your diseased ass
 
Kwamba Wachina walitaka usahihishe paper zao, na wakatumia kingereza cha ngumbaru kuongea na wewe ni dhihirisho tosha umuhimu wa hii lugha, hawakutumia Kichina chao, hawakutumia Kiswahili chako, ila kingereza kilikuunganisha na Wachina. Kwa kifupi mkiendelea kuogopa kingereza na kujifungia ndani, mtaendelea kubaki nyuma wenzenu wakipaa, halafu cha ajabu Watanzania wenye hela walishajishtukia na wamejaza watoto wao kwenye shule zinazofundisha kwa kingereza, walalahoi ndio bado mumeganda mitaani.

Mfano wa Somalia nilikupa ufahamu kwamba ubaguzi unaweza kuwa wa aina nyingi na sio lugha tu, nchi inaweza kutumia lugha moja lakini watu wakabaguana humo humo. Ni kama hata hapo Tanzania huwa mna ubaguzi wa kidini na kiukanda japo kimya kimya.


HAKUNA mtanzania anayeogopa kiingereza hata kidogo, ni kwamba tuko aware na our pride ya uafrika so hatuoni sababu ya kuongea lugha za wakoloni. Wale wachina walikuwa wanaandika thesis papers zao na wakataka niwasaidie to correct them because ile paper ilibidi waandike in English. Suala la Somalia haliingiliani hapa japo nimejaribu kukuelewesha ila hauelewi. Wale hawabaguani per say, ila wanagombania madaraka based on clans. Suala la dini liko all over Africa, north Africa ukiwa a Christian you are considered an alien na other parts of Africa both Muslims na Christians wanabaguana, it is what is it.

Kila nchi LAZIMA kuwa na identity yake, ni haibu kujiita mtanzania na kusema damn English is your main language here in Tanzania. Look at you Kenyans, you speak English with a messed up accent si bora hata mngeongea Kikuyu or other local dialects? It's a damn shame kwa kweli.
 
Back
Top Bottom