Donatila
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,557
- 21,515
Habari wakuu,
Husika na kichwa cha habari,
Pamoja na kuwa kiswahili ndio lugha ya Tanzania inayojulikana ila Kingereza ndio lugha ambayo inakubalika.
Hata hivyo kiswahili kimeendelea kuongelewa kwa kuchanganywa na lugha hii ya kigeni Kutoka huko Duniani.
Baadhi yao wanaongea kiswanglish huwa wanajiona kuwa wao ni wajanja sana.
Wakiwa wanaongea wanajiona kuwa wao ni wasomo sana.
Mara nyingi watu hawa wanaongea kiswanglish wanakuwa na maringo.
Sasa lugha hii inaanza kukipiku kiswahili maana ndio inatumika kwa wingi.
Sio kwa kuongea tu, hata kuandika kwenye mitandao kiswanglish kinatumika.
Baadhi yao ni wanawake ambao ndio kundi linalopenda sana kiswanglish.
Wanaume nao baadhi yao hawajaachwa nyuma nao wanakichapa kiswanglish sasa.
Kiswanglish kinapiku kiswahili.
Husika na kichwa cha habari,
Pamoja na kuwa kiswahili ndio lugha ya Tanzania inayojulikana ila Kingereza ndio lugha ambayo inakubalika.
Hata hivyo kiswahili kimeendelea kuongelewa kwa kuchanganywa na lugha hii ya kigeni Kutoka huko Duniani.
Baadhi yao wanaongea kiswanglish huwa wanajiona kuwa wao ni wajanja sana.
Wakiwa wanaongea wanajiona kuwa wao ni wasomo sana.
Mara nyingi watu hawa wanaongea kiswanglish wanakuwa na maringo.
Sasa lugha hii inaanza kukipiku kiswahili maana ndio inatumika kwa wingi.
Sio kwa kuongea tu, hata kuandika kwenye mitandao kiswanglish kinatumika.
Baadhi yao ni wanawake ambao ndio kundi linalopenda sana kiswanglish.
Wanaume nao baadhi yao hawajaachwa nyuma nao wanakichapa kiswanglish sasa.
Kiswanglish kinapiku kiswahili.