Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 15,745
- 10,208
Ndugu zangu Watanzania,
Hatimaye kauli ya kijasiri kutoka kwa kiongozi Jasiri na mwenye maono mh Rais Dr Mama Samia Suluhu Hassan imeshika mizizi na kumea katika mioyo ya watanzania,kauli hii ilitamkwa kwa ujasiri mkubwa Sana na mh Rais wetu Jasiri muongoza njia Mara baada ya kuondokewa na Rais wetu wa awamu ya Tano Hayati Dr John Pombe Joseph Magufuli Akiwa madarakani.
Kwa Sasa kila mtu, kila Mtanzania, kila mwananchi na kila mzalendo wa Taifa letu anatazama mbele kwa matumaini na siyo hofu, kila mtanzania anaona Nuru mbele yake, kila mwananchi anaiona njia katika maisha yake na uchumi wake, kila mmoja wetu Anayo matumaini ya kutimiza Ndoto zake, kila anayefanya kazi kwa juhudi, maarifa, kujituma, kujitoa na kujitolea anaona akifikia malengo yake.
Iwe Ni wakulima, wafanyabiashara, wajasiriamali,wavuvi,wanasiasa,wazee, vijana,akina mama na watu wenye ulemavu Wanatazama Mbele kwa Matumaini makubwa sana. Juhudi,mipango, mikakati, sera, ajenda, maono, vipaombele na kazi za Mh Rais zimefanya kila kundi na kila Rika kuona mwanga wa mafanikio ukiangaza mbele yake, serikali ya Rais Samia imeleta matumaini makubwa Sana kwa watanzania kuliko wakati Mwingine wowote ule.ni matumaini kila sehemu, ni faraja kila mahali, ni hatua kwenda mbele kila mahali,hakuna tulipo Rudi nyuma Kama Taifa Bali tumesonga mbele kila mahali Kama Taifa.
Ndio sababu serikali ya Rais Samia inapongezwa na kila mtu,ndio sababu uchumi wetu unaendelea kufanya vizuri kwa kuwa kila mmoja wetu anawajibika katika eneo lake katika ujenzi wa Taifa letu,Ndio sababu Taasisi za kimataifa zinamimina sifa kwa Tanzania kutokana na kufanya vizuri katika kila eneo,ndio sababu Tanzania imechomoza Kama chaguo namba moja la wawekezaji, wafanyabiashara wakubwa na watalii kutoka Mataifa mbalimbali.
Kwa hakika Mwenyezi MUNGU yupo pamoja na Taifa letu, yupo pamoja na Rais wetu, Yupo pamoja na watanzania,Ndio maana Rais wetu kapewa njia na maarifa ya kuliongoza Taifa letu, ndio maana anaongoza Taifa kwa hofu ya Mwenyezi MUNGU, ndio maana kila kitu kinafanikiwa, ndio maana Mwenyezi MUNGU anatuepusha na kutukinga na majanga, ndio maana Mwenyezi MUNGU anaendelea kulibalika Taifa letu katika kila nyanja kwa kuwa linaoongozwa kwa mkono wa haki wa Rais samia,Ndio maana ya kutamalaki kwa amani, utulivu na upendo mkubwa miongoni mwa Watanzania.
Kazi iendeleee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.
0742-676627.
Hatimaye kauli ya kijasiri kutoka kwa kiongozi Jasiri na mwenye maono mh Rais Dr Mama Samia Suluhu Hassan imeshika mizizi na kumea katika mioyo ya watanzania,kauli hii ilitamkwa kwa ujasiri mkubwa Sana na mh Rais wetu Jasiri muongoza njia Mara baada ya kuondokewa na Rais wetu wa awamu ya Tano Hayati Dr John Pombe Joseph Magufuli Akiwa madarakani.
Kwa Sasa kila mtu, kila Mtanzania, kila mwananchi na kila mzalendo wa Taifa letu anatazama mbele kwa matumaini na siyo hofu, kila mtanzania anaona Nuru mbele yake, kila mwananchi anaiona njia katika maisha yake na uchumi wake, kila mmoja wetu Anayo matumaini ya kutimiza Ndoto zake, kila anayefanya kazi kwa juhudi, maarifa, kujituma, kujitoa na kujitolea anaona akifikia malengo yake.
Iwe Ni wakulima, wafanyabiashara, wajasiriamali,wavuvi,wanasiasa,wazee, vijana,akina mama na watu wenye ulemavu Wanatazama Mbele kwa Matumaini makubwa sana. Juhudi,mipango, mikakati, sera, ajenda, maono, vipaombele na kazi za Mh Rais zimefanya kila kundi na kila Rika kuona mwanga wa mafanikio ukiangaza mbele yake, serikali ya Rais Samia imeleta matumaini makubwa Sana kwa watanzania kuliko wakati Mwingine wowote ule.ni matumaini kila sehemu, ni faraja kila mahali, ni hatua kwenda mbele kila mahali,hakuna tulipo Rudi nyuma Kama Taifa Bali tumesonga mbele kila mahali Kama Taifa.
Ndio sababu serikali ya Rais Samia inapongezwa na kila mtu,ndio sababu uchumi wetu unaendelea kufanya vizuri kwa kuwa kila mmoja wetu anawajibika katika eneo lake katika ujenzi wa Taifa letu,Ndio sababu Taasisi za kimataifa zinamimina sifa kwa Tanzania kutokana na kufanya vizuri katika kila eneo,ndio sababu Tanzania imechomoza Kama chaguo namba moja la wawekezaji, wafanyabiashara wakubwa na watalii kutoka Mataifa mbalimbali.
Kwa hakika Mwenyezi MUNGU yupo pamoja na Taifa letu, yupo pamoja na Rais wetu, Yupo pamoja na watanzania,Ndio maana Rais wetu kapewa njia na maarifa ya kuliongoza Taifa letu, ndio maana anaongoza Taifa kwa hofu ya Mwenyezi MUNGU, ndio maana kila kitu kinafanikiwa, ndio maana Mwenyezi MUNGU anatuepusha na kutukinga na majanga, ndio maana Mwenyezi MUNGU anaendelea kulibalika Taifa letu katika kila nyanja kwa kuwa linaoongozwa kwa mkono wa haki wa Rais samia,Ndio maana ya kutamalaki kwa amani, utulivu na upendo mkubwa miongoni mwa Watanzania.
Kazi iendeleee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.
0742-676627.