Watanzania wanaona nini kwa David Kafulila?

Watanzania wanaona nini kwa David Kafulila?

Unadhani Rais Samia anawachukia watu wanaochukia Ufisadi au rushwa?
Kwani kupenda kuongoza ni kosa?
Kila mwanadamu anatamani kuwa Kiongozi kwenye hii dunia

Nadhani tunahitaji akina Kafulila wengi Wala sio kuwakatisha tamaa katika vita zao za ufisadi
Kafulila unamhitaji wewe. Penda kuongelea nafasi yako. Kawaulize wanajimbo lake kwanini walimkataa 2015 na 2020 wakamkata kura za maoni.
 
Kafulila anapesa gani za kumwaga machawa nadhani tutafakari upya Kafulila anawatu wengi waliomwamini tangu 2014.
Chawa wako wamo humu. Wenye kazi za kufufa nyuzi za zamani na kuandika nyuzi mpya. Kwakweli unatia huruma.
 
Hiki ndio kitu Kafulila anawazidi wenzake na imani ya Watanzania kwa Kafulila ni kubwa
Imani? Wakampiga Chini 2015 ubunge na 2020 wakampiga Chini kura za maoni. Hiyo imani ipo wapi kama unapotokea hawakukubali. Hadi mke wake hamkubali mpaka akakimbia.
 
Imani? Wakampiga Chini 2015 ubunge na 2020 wakampiga Chini kura za maoni. Hiyo imani ipo wapi kama unapotokea hawakukubali. Hadi mke wake hamkubali mpaka akakimbia.
Mkuu ni Economist au econonist?Kama ni Economist rekebisha basi.Economist maana yaye ni mchumi.Kwenye Kingereza hakuna neno "econonist."
 
Back
Top Bottom