ABC ZA 2025
JF-Expert Member
- May 2, 2018
- 1,381
- 869
- Thread starter
- #121
BAVICHA wanaparamia Kila mtu, Kafulila sio saizi yao CHADEMANchi ngumu sana hii eti Kila mtu humu ni chawa wa Kafulila🥲🥲🥲
BAVICHA wanaparamia Kila mtu, Kafulila sio saizi yao CHADEMANchi ngumu sana hii eti Kila mtu humu ni chawa wa Kafulila🥲🥲🥲
Kafulila bado ni zaidi ya vijana wengi sana kwa Sifa ya Uaminifu na uadilifu
Baada ya David Kafulila kusimama na kuanza kumtetea Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kwa ufasaha na weledi unaostahili kwenye mambo mbalimbali, Kitendo hiki kimeibua kundi linalomuunga mkono Rais Samia pamoja na David Kafulila mwenyewe.
Sayansi ya siasa inasema kwenye uwanja wa kisiasa ni kosa kumpuuza mtu yotote hasa mwenye record za wazi kama ilivyo kwa David Kafulila leo na record zake za Tegeta Escrow.
Limezuka pia kundi kinzani hasa toka Upinzani, hawataki kusikia David Kafulila akitajwa kwa jema lolote kisa tu aliwakimbia na kurejea chama mama cha Mapinduzi CCM wakati akitekeleza moja ya haki zake za kikatiba za kuwa katika chama chochote Cha siasa anachokipenda.
Wapo pia wanaosema kila anayemtaja David Kafulila hapa Jf basi ni yeye mwenyewe David Kafulila, Kwa lugha rahisi wanamaanisha David Kafulila anajipigia debe hawa pia wanahitaji kujipa muda na kufuatilia kwa makini kama nilivyofanya Mimi.
Swali langu kwao, Kama hawa wote wanaomtajataja Kafulila hapa, hao ni Kafulila wenyewe au wanatumwa na Kafulila Je, Yale makofi aliyopigiwa Kafulila pale Bungeni mpaka Spika akayasitisha kibabe alikuwa pia ni yeye Kafulila mwenyewe akijipigia Makofi hayo? kama sivyo, kwani hao Wabunge waliompigia makofi bungeni wao humu Jf hawaruhusiwi kuwepo au kujiunga?
(nitaomba mwenye ile clip ya Kafulila Bungeni anipatie inbox)
Nimejipa muda wa kufanya utafiti hasa hapa Jf na huku mitaani nimeridhika kuwa David Kafulila ni tishio huko mbeleni kama tu Mungu atampa uhai na afya njema kwani ni kweli Watanzania wanataka kijana ambae anaaminika, kijana ambae anachukizwa na rushwa pamoja na ufisadi mwenye kaliba ya David Kafulila.
Naomba na Mimi nitumie haki yangu hii ya kikatiba ya kutoa maoni yangu.
soma pia haya maoni Je, ni nani kati ya hawa 10 anasifa za ziada za kuwa Mrithi wa Rais Samia atakapomaliza kipindi chake?
Mjinga ni wewe unayekasirika kila anaye challenge threads za kipuuzi zinazojaribu kumjenga TUMBILI , Narudia wewe ni TUMBILI mwenyewe ndo maana unajibu kwa ukali, au ni Mtu unayetumika kama ile "MIPIRA" maarufu.Nimegundua Jf bado inawajinga wengi sana,
Haiwezekani Kila anayeandika kuhusu Kafulila basi ni Kafulila
Kafulila ni international figure
Kujadiliwa ni jambo la kawaida tu
Mjinga ni wewe na atumtaki kafulila wakoNimegundua Jf bado inawajinga wengi sana,
Haiwezekani Kila anayeandika kuhusu Kafulila basi ni Kafulila
Kafulila ni international figure
Kujadiliwa ni jambo la kawaida tu
😂😂😂
Unajua kama Trump Kahama vyama mara tatu?
Unajua kama Hilary Clinton alihama chama mara 2?
Unajua Raila Odinga amehama chama mara 6?
Nchi hii tatizo ni Elimu,
Acha kujipa promo Kafulila, fanya kazi kwaanza. Acha kazi iongee.Nimegundua Jf bado inawajinga wengi sana,
Haiwezekani Kila anayeandika kuhusu Kafulila basi ni Kafulila
Kafulila ni international figure
Kujadiliwa ni jambo la kawaida tu
Achana na CHADEMA wewe mjinga, Baki na CCM yenu huko. Mkiambiwa ukweli mnakimbilia kujifichia kwenye kichaka Cha CHADEMA.BAVICHA wanaparamia Kila mtu, Kafulila sio saizi yao CHADEMA
Sawa Kafulila. Unajipa promo za kijinga.Kafulila bado ni zaidi ya vijana wengi sana kwa Sifa ya Uaminifu na uadilifu
Ogopa sana Mtu anayekataa rushwa hata kama ni $800k
Unamkana Jesca Kishoa?. Mke wako wa zamani kabla hujaporwa na mkubwa.Mimi sio Kafulila kuwa na adabu wewe dada,
Jesca ndio nani?
Tatizo wanainanga serikali ila ni ikiwa hawajaitwa jikoni lakini wakiitwa ndani wanakua watetezi wa hiyo serikali.Ila nikikumbuka ile Escrow Kafulila jembe
Anawatesa nyie chawa wake kutwa kupost ujinga.Kama ni tumbili mbona anawatesa sana
Sina shida , ila nakushauti acha ujinga wa kujipa promo kwa mambo ambayo hauna uwezo nao, fanya kazi kwanza.Wewe shida yako nini?
Eti hukuwa unakubali ila Sasa hivi unamkubali. Kweli watu wanafiki.Kwani unalazimishwa kuzisoma?
Kafulila hata Mimi sikuwa namkubali ila kwa sasa naona yeye ndio mtu Sahihi zaidi,
Tunatamani nchi hii iendelee kwenda mbele
Acha uongo, 2015 alipigwa Chini na 2020 alipigwa Chini kwenye kura za maoni. Punguza uongo.Kote huko amekuwa akishinda Uchaguzi wakati wote,
Kafulila atazamwe vizuri anaweza
Mbona unafokea watu?. Unataka kila mtu amkubali Kafulila kwa lazima?. Ungeenda kwanza jimboni kwake uwaulize kwanini walimpiga Chini Kafulila 2015 na 2020. Unawaza urais wakati ubunge tu ni shida.Na hii yangu ni ID ya Kafulila?
Wale Wabunge waliomshangilia live kwenye TV nao ni ID zake?
Tumieni akili hata kidogo
Kafulila anaupepo mzuri wa kisiasa
Ukikubali Kafulila ni mwadilifu unapungukiwa na nini?
Wewe ni KafulilaMimi sio Kafulila kuwa mtulivu twende na hoja tu tutaelewana
Anafanya ujinga Sana. Halafu ni limbukeni wa vyeo. Kupewa kusimamia PPP kashaona anafaa kuwa Rais.Hizi huzi za kafulila zimezidi nahisi kama anajipromote
Kwamba Kafulila ni kijana anayeaminika!
Baada ya David Kafulila kusimama na kuanza kumtetea Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kwa ufasaha na weledi unaostahili kwenye mambo mbalimbali, Kitendo hiki kimeibua kundi linalomuunga mkono Rais Samia pamoja na David Kafulila mwenyewe.
Sayansi ya siasa inasema kwenye uwanja wa kisiasa ni kosa kumpuuza mtu yotote hasa mwenye record za wazi kama ilivyo kwa David Kafulila leo na record zake za Tegeta Escrow.
Limezuka pia kundi kinzani hasa toka Upinzani, hawataki kusikia David Kafulila akitajwa kwa jema lolote kisa tu aliwakimbia na kurejea chama mama cha Mapinduzi CCM wakati akitekeleza moja ya haki zake za kikatiba za kuwa katika chama chochote Cha siasa anachokipenda.
Wapo pia wanaosema kila anayemtaja David Kafulila hapa Jf basi ni yeye mwenyewe David Kafulila, Kwa lugha rahisi wanamaanisha David Kafulila anajipigia debe hawa pia wanahitaji kujipa muda na kufuatilia kwa makini kama nilivyofanya Mimi.
Swali langu kwao, Kama hawa wote wanaomtajataja Kafulila hapa, hao ni Kafulila wenyewe au wanatumwa na Kafulila Je, Yale makofi aliyopigiwa Kafulila pale Bungeni mpaka Spika akayasitisha kibabe alikuwa pia ni yeye Kafulila mwenyewe akijipigia Makofi hayo? kama sivyo, kwani hao Wabunge waliompigia makofi bungeni wao humu Jf hawaruhusiwi kuwepo au kujiunga?
(nitaomba mwenye ile clip ya Kafulila Bungeni anipatie inbox)
Nimejipa muda wa kufanya utafiti hasa hapa Jf na huku mitaani nimeridhika kuwa David Kafulila ni tishio huko mbeleni kama tu Mungu atampa uhai na afya njema kwani ni kweli Watanzania wanataka kijana ambae anaaminika, kijana ambae anachukizwa na rushwa pamoja na ufisadi mwenye kaliba ya David Kafulila.
Naomba na Mimi nitumie haki yangu hii ya kikatiba ya kutoa maoni yangu.
soma pia haya maoni Je, ni nani kati ya hawa 10 anasifa za ziada za kuwa Mrithi wa Rais Samia atakapomaliza kipindi chake?
Huyu si ndiye tunaambiwa ndoa yake imemshinda, sasa nchi ataiweza!!Wapo pia wanaosema kila anayemtaja David Kafulila hapa Jf basi ni yeye mwenyewe David Kafulila, Kwa lugha rahisi wanamaanisha David Kafulila anajipigia debe hawa pia wanahitaji kujipa muda na kufuatilia kwa makini kama nilivyofanya Mimi.
Zuzu ni wewe. Umekosa hoja unakimbilia kutukana CHADEMA. Huyo Kafulila alikuwa CCM , kaenda CHADEMA, kaenda NCCR, karudi CHADEMA na baadae kaenda CCM. Opportunist.Bahati mbaya Sina ID nyingine zaidi ya hii na sioni sababu
CM 1774858 huyu bwana hakuna asiyemjua hapa Jf labda wewe ni mgeni hapa.
Achana na IDS njoo kwenye hoja,
Font ya Jf ni moja tu hii hii
Ila CHADEMA Ina mazuzu sana
Nipo hapa kabla ya Kafulila