Watanzania wanamjua Dr. Munga?

Watanzania wanamjua Dr. Munga?

zipo tuhuma za matumizi Mabaya ya Nafasi yake yeye na mkewe; kumkingia kifua katibu mkuu wa dayosisi yake mwenye tuhuma mbali mbali.

zipo tuhuma kumhusu yeye; zinazohusiana na kuvunja katiba ya dayosisi kwa kubadili jina la dayosisi bila kufuata utaratibu. kiufupi tuhuma ni nyingi na ingempasa kusafisha dayosisi yake kwanza kwani malalamiko ni mengi na ufisadi upo wa kutisha
 
zipo tuhuma za matumizi Mabaya ya Nafasi yake yeye na mkewe; kumkingia kifua katibu mkuu wa dayosisi yake mwenye tuhuma mbali mbali.

zipo tuhuma kumhusu yeye; zinazohusiana na kuvunja katiba ya dayosisi kwa kubadili jina la dayosisi bila kufuata utaratibu. kiufupi tuhuma ni nyingi na ingempasa kusafisha dayosisi yake kwanza kwani malalamiko ni mengi na ufisadi upo wa kutisha

Unajua maana ya tuhuma wewe mburula. Hata Magufuli anatuhumiwa kumpa hawala nyumba ya serikali
 
Siyo chuo kikubwa sana, labda km wameongeza Yale Majengo nikifika hapo.2010/11 padogo sana.
 
Daktari Munga, Stephen tunafahamiana vizuri. Nimefanya naye kazi za kujitolea kwa zaidi ya miaka 6. Ni miongoni mwa watu wanaoitwa 'careless whisper'. Kama walivyo wapare wengine, Daktari Munga ni mnafiki katika kiwango cha juu lakini ni mtu anaye fiche sana unafiki wake. Ukizoeana naye utamjua kuwa ni mtu wa kupenda majungu. Hana msimamo wowote ila hupenda show-off/showcasing kwenye public. Daktari Munga ana tabia kama za Reginald Mengi za kujificha tabia yake binafsi zisijulikane kwa garama yoyote ile. Daktari Munga, Askofu wa Dayosis ya Kaskazini mashariki (KKKT) ana tabia ya kujipendekeza sana kwa wazungu, kama Jakaya Kikwete. Na akiwa mbele ya wazungu unafiki wake ndio unadhihiri. Zaidi ya yote Daktari Munga, Stephen ni Lowasa bug. Ni key person wa Lowasa katika Kanisa la KKKT. Kwa tunayemjua nje ya kanisa lake, Daktari Munga hafai uongozi kwenye public office.
Lete sasa ushahidi nasio majungu
Mimi mkatoliki wakibosho mango kwa askofu Mkuu Amani now Arusha
Sasa tuo vizibitisho
Achana ukkt
 
Dr. Munga atuambie kwanini anafungulia mashtaka waumini wake na kudai fidia ya mabilioni.
 
WATANZANIA MNAMJUA Dr STEPHEN MUNGA?

Sijui kama watanzania wanamjua huyu Dr Stephen Munga vizuri,sina uhakika na swali langu lakini yapo mambo kadhaa ambayo nayajua kuhusiana na watanzania kwa Dr Huyu.

Kwanza najua wapo ambao wamewahi kulisikia hili jina.

Pili najua wapo ambao wanamfahamu kwa kumuona .

Tatu najua wapo ambao wanamfahamu kwa kazi na cheo chake

Nne najua kuna ambao hawajawahi kulisikia hili jina na wala hawamfahamu kwa lolote, hii ni kawaida tu!

Lakini pia wapo ambao wamemjua na wanamjua kwa huduma yake .

Vile vile naelewa kuwa watu wengi wanamjua Dr Munga kwa namna tofauti tofauti lakini hofu yangu iliyonifanya mpaka nikaamua kukaa na kuandika haya ni ile kutokujua kuwa Je?

Watanzania wanamjua huyu mtu vizuri?

Wanamfwatilia?

Wanamtumia?

Wanafikiwa na ujumbe wake?

Wanaijua thamani yake?

Ki ufupi mimi nilianza kumfahamu Dr Munga miaka ya 2004/2005 wakati huo akiwa kwenye harakati za kuhakikisha Chuo Kikuu cha SEKOMU kinajengwa. Nakumbuka jinsi alivyokuwa mstari wa mbele kuhangaika huku na kule kutafuta wafadhili, kushawishi watu na kuhamasisha kuwa kwa hali yeyote Chuo kikuu kijengwe. Hapo ndipo nilimjua huyu mtu akiwa anashirikiana na mkewe Dr Aneth Munga.

Tangu hapo nilianza kumfwatilia Dr STEPHEN MUNGA mpaka leo namfwatilia sana.

Kwanza kabisa huyu jamaa ni msomi mzuri tu. Ana PhD (Doctor of Philosophy) katika maswala ya Theolojia na kama sikosei kuna Politics kidogo humo. Alisoma LUND UNIVERSITY nadhani ni Ujerumani. Kwa hiyo huyu jamaa ni msomi kwelikweli.

Pili huyu jamaa ndie Askofu wa moja ya Dayosisi kubwa kabisa Tanzania ambayo ni Dayosisi ya Kaskazini mashariki huyu ni Askofu wa hiyo Dayosisi katika kanisa la KKKT.

Tatu Huyu Dr Stephen Munga ni Chancellor wa SEKOMU (SEBASTIAN KOLOWA MEMORIAL UNIVERSITY), Hiki ni chuo kikubwa sana katika vyuo vikuu binafsi hapa Tanzania, ni chuo ambacho kiko kule Lushoto eneo la Magamba.
Ni moja ya Vyuo vikuu pekee vyenye mandhari kama ya Nchi za Uholannzi au Uswizi kulingana na mazingira yake ya ubaridi na ukijani uliotawala uoto wa eneo lenyewe. Ni chuo kizuri sana.

Lakini zaidi ya hayo DR Stephen Munga amejipambanua kuwa askofu tofauti na maaskofu wengine kwa kuwa Mkweli, huyu jamaa ni mkweli na ndio maana hata kama siku nasikia uvivu wa kuhudhuria ibada nikisikia Askofu Munga yupo lazima niende kwasababu lazima nitapata vitu adimu kutoka kwake. Nampenda sana.

Huyu jamaa anafwata nyayo za mitume wa zamani, anafwata nyayo za Yesu kristo.

Nasema hivyo kwasababu baadhi ya Viongozi wa dini wa siku hizi ni waoga, hawasemi ukweli wakati mwingine kwa kuogopa mamlaka lakini Dr Munga ni tofauti yeye anasema ukweli.

Mussa alipokuwa anawapeleka watu wa Mungu Canaan walipopata kiu alihangaika kuwapa Maji, walipopata njaa alihangaika kuwapa Chakula, walipoumwa alihangaika kuwatafutia dawa mfano walipoumwa na nyoka jangwani japo lengo la safari ilikuwa sio kula,kunywa wala huduma kama hizo.

Yesu Kristo alipohubiri kwa masaa mengi na kuona watu wana njaa aliagiza iletwe mikate na samaki wachache akavibariki na maelfu kwa maelfu wakala na kushiba japo lengo la mahubiri yake ni kuuendea ufalme.

Viongozi wengine wa dini wanafikiri kuwa wajibu wao ni kuhubiri habari za kwendaa mbinguni pekee, kufungisha ndoa, kuzika waumini wakifariki, kukusanya sadaka…sio kweli. Ingekuwa ni hivi hata Yesu asingekufa, asingeuawa na watawala wa Roma.

Viongozi wa Dini wanatakiwa wawe mstari wa Mbele kukosoa watawala, kuwaelekeza waumini wao ninini wafanye katika ufasaha na hapo wawahubirie habari za kumuona Mungu, wasipofanya hivyo watawahudumu waumini wachovu, waliovunjika mioyo, wajinga, wenye njaa, wenye mateso, wanyonge na wasiojitambua…wakati huo huo mbinguni hakitaingia kilicho kinyonge.

Asante sana DR STEPHEN MUNGA kwakuwa wewe umekuwa tofauti…

Hivi MEDIA zinakuona?
WATANZANIA wanakujua?

JE WATAWALA?

IBADA NJEMA WAKRISTO WOTE,

WASIO NA DINI SIKU NJEMA

WAISLAM WOTE NA WENYE DINI NYINGINE TUOMBEANE!
96d5de7ca84396f8a73e6b28af836c3e.jpg
8d42a1b4aed163009c6adb1f031dac2e.jpg
7fad61911bdc6fb7b7290971b9444714.jpg
Hivi viongozi wa dini wao wanapaswa kukosolewa na Nani??
 
Humjui vizuri huyo mchawi wa kutoka kijiji cha Tewe, aliyevuruga kanisa nakugeuza miradi ya kanisa kama mali binafsi ya familia, inshort humjui Dr. Munga vizuri, askofu aliyenajisi kanisa kwa ubinafsi na uchawi. Zuri unaloliona kwake ni hilo la kukemea serikali lakini anakokuongoza yeye aibu tupu.
Duh

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Daktari Munga, Stephen tunafahamiana vizuri. Nimefanya naye kazi za kujitolea kwa zaidi ya miaka 6. Ni miongoni mwa watu wanaoitwa 'careless whisper'. Kama walivyo wapare wengine, Daktari Munga ni mnafiki katika kiwango cha juu lakini ni mtu anaye fiche sana unafiki wake. Ukizoeana naye utamjua kuwa ni mtu wa kupenda majungu. Hana msimamo wowote ila hupenda show-off/showcasing kwenye public. Daktari Munga ana tabia kama za Reginald Mengi za kujificha tabia yake binafsi zisijulikane kwa garama yoyote ile. Daktari Munga, Askofu wa Dayosis ya Kaskazini mashariki (KKKT) ana tabia ya kujipendekeza sana kwa wazungu, kama Jakaya Kikwete. Na akiwa mbele ya wazungu unafiki wake ndio unadhihiri. Zaidi ya yote Daktari Munga, Stephen ni Lowasa bug. Ni key person wa Lowasa katika Kanisa la KKKT. Kwa tunayemjua nje ya kanisa lake, Daktari Munga hafai uongozi kwenye public office.
Eti

Sent using Jamii Forums mobile app
 
zipo tuhuma za matumizi Mabaya ya Nafasi yake yeye na mkewe; kumkingia kifua katibu mkuu wa dayosisi yake mwenye tuhuma mbali mbali.

zipo tuhuma kumhusu yeye; zinazohusiana na kuvunja katiba ya dayosisi kwa kubadili jina la dayosisi bila kufuata utaratibu. kiufupi tuhuma ni nyingi na ingempasa kusafisha dayosisi yake kwanza kwani malalamiko ni mengi na ufisadi upo wa kutisha
Aisee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom