kupe
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 1,035
- 326
na hii inafanyika katika nchi nyingi mojawapo ni PHILIPINES mara warudipo katika nchi yao (HATA LIKIZO) wanapigiwa mahesabu pale airpot au border then wanalipishwa kodi ..... Na hii inawezekana hata Tanzania . Mtu yeyote anayefanyakazi anawajibika kuchangia uchumi wa nchi yake kwa kulipa kodi. Baadala ya kuwa tunalalamika tu kuwa nchi haina maendeleo.