HUNIJUI SIKUJUI
JF-Expert Member
- Apr 4, 2015
- 1,335
- 1,509
Hua wananikera sana, alafu vipima joto vyao vina majibu ya waziwazi ata mtoto wa primary anajibuyaani...ni shida ....super brand siku hizi ni shida....woga kama wote...bila sababu za msingi...
mada kama hii ya mafao...inayogusa masilai ya watu wengi...na haina chembe ya uchonganishi au siasa inatakiwa ipande hewani super brand