Kikokotoo cha pension/mafao

Hassanjk

Senior Member
Feb 24, 2023
168
379
Kwa mifuko yetu pendwa ya NSSF & PSSSF

Tunaomba mtuwekee Kikokotoo digital ambapo mtu akikaribia kustaaf (ndani ya miaka mitatu ya mwisho ambapo mara nyingi mshahara haubadiliki) anaweza kuweka Mshahara wake na miezi aliyochangia na kujua anachotegemea kupata (Lump sum na kile kiasi cha kila mwezi). Kile cha manual kilichopo hakinufaishi walengwa kwani wengi hawawezi kukitumia.

Tuwekewe tu kikokotoo rahisi kama ilivyo kwa vikokotoo vya Payee, kodi za magari nk.

Kwa wenzetu KENYA mifuko yao haifanyi uwekezaji wa hovyo hovyo kama wa hii mifuko ya kwetu na ndio sababu wafanyakazi huchangia kidogo (nusu ya kwetu) lakini hupata pension kubwa tu kutokana na uwekezaji wa hela zao na sijawasikia wakilalamika kuwa, wanakosa hela za kulipa wastaafu

Natanguliza shukrani
 
Kwa mifuko yetu pendwa ya NSSF & PSSSF

Tunaomba mtuwekee Kikokotoo digital ambapo mtu akikaribia kustaaf anaweza kuweka Mshahara wake na kujua anachotegemea kupata (Lump sum na kile kiasi cha kila mwezi).

Kama ilivyo kwa vikokotoo vya Payee, kodi za magari nk.

Natanguliza shukrani
angalia hapa


Formula

[1/580]×N×APE×12.5×33%

Where:
1/580 = accrual factor
APE = The best three years avarage salary
12.5 =Avarage life expectancy after retirement
33% = pension lumpsum at retirement
N = Number of months contributed


Kimsingi mfuko uwa unaangalia ile mishahara mikubwa zaidi ya miezi 36 (miaka mitatu) ambayo mwanachama alipokea ndani ya miaka kumi ya mwisho wa utumishi wake kabla hajastaafu. Hiyo mishahara mikubwa zaidi ya miezi 36 ndiyo ujumlishwa kwa pamoja na kisha kugawia tatu (yaani miaka mitatu) ili kupata wastani wa kipato hicho kwa mwaka mmoja mzima. Hiyo ndiyo APE kwenye formula Iliyotolewa na mdau kwenye comments za awali. Pia mfuko uangalia idadi ya miezi mwanachama aliyochangia kwenye mfuko (ambayo kwenye formula ndiyo N). Hivi vitu viwili ndivyo ubadilika kwenye formula kutegemea mwanachama na mwanachama wakati vingine havibadiliki.
Hivyo formula ya kupata kiasi cha mkupuo kusomeka kama ifuatavyo:
Commutted Pension Gratuity= (1/580) x N x APE x 12.5 x 33%.

Au kama hautaki kuangaika na mahesabu marefu tumia formula hii kupata pesa ya mkupuo:
0.007112 x N x APE.

Na formula ya kupata pension ya kila mwezi formula ni hii hapa chini:
(1/580) x N x APE x 1/12 x 67% au kwa kifupi chukua 0.0000963 × N x APE.

Kwa kutumia mshahara wa 2,116,000 na idadi ya miaka 32 (miezi 384) aliyotoa mleta mada hesabu inakuwa hivi:
Mkupuo: (1/580) x 384 x [(2,116,000 x 12 x 3)/3] x 12.5 x 0.33= TZS 69,346,427.60.
 
angalia hapa


Formula

[1/580]×N×APE×12.5×33%

Where:
1/580 = accrual factor
APE = The best three years avarage salary
12.5 =Avarage life expectancy after retirement
33% = pension lumpsum at retirement
N = Number of months contributed


Kimsingi mfuko uwa unaangalia ile mishahara mikubwa zaidi ya miezi 36 (miaka mitatu) ambayo mwanachama alipokea ndani ya miaka kumi ya mwisho wa utumishi wake kabla hajastaafu. Hiyo mishahara mikubwa zaidi ya miezi 36 ndiyo ujumlishwa kwa pamoja na kisha kugawia tatu (yaani miaka mitatu) ili kupata wastani wa kipato hicho kwa mwaka mmoja mzima. Hiyo ndiyo APE kwenye formula Iliyotolewa na mdau kwenye comments za awali. Pia mfuko uangalia idadi ya miezi mwanachama aliyochangia kwenye mfuko (ambayo kwenye formula ndiyo N). Hivi vitu viwili ndivyo ubadilika kwenye formula kutegemea mwanachama na mwanachama wakati vingine havibadiliki.
Hivyo formula ya kupata kiasi cha mkupuo kusomeka kama ifuatavyo:
Commutted Pension Gratuity= (1/580) x N x APE x 12.5 x 33%.

Au kama hautaki kuangaika na mahesabu marefu tumia formula hii kupata pesa ya mkupuo:
0.007112 x N x APE.

Na formula ya kupata pension ya kila mwezi formula ni hii hapa chini:
(1/580) x N x APE x 1/12 x 67% au kwa kifupi chukua 0.0000963 × N x APE.

Kwa kutumia mshahara wa 2,116,000 na idadi ya miaka 32 (miezi 384) aliyotoa mleta mada hesabu inakuwa hivi:
Mkupuo: (1/580) x 384 x [(2,116,000 x 12 x 3)/3] x 12.5 x 0.33= TZS 69,346,427.60.

Asante sana japo kwa technologia ya sasa hicho kikokotoo cha manual kimepitwa na wakati.
Kinatakiwa kikokotoo DIGITAL ambapo mteja anatakiwa aweke tu Mshahara wake & Miezi uliyochangia; apate majibu ya Malipo ya mkupuo na pension ya kila mwezi (wastani)
Umewahi kufikiri mzee ambaye hakufaulu Hesabu kipindi chake umpe hicho kikototo cha manual?? nafikiri 70% ya wastaafu hawakielewi/hawawezi kukitumia hivyo hakinufaishi walengwa
 
Asante sana japo kwa technologia ya sasa hicho kikokotoo cha manual kimepitwa na wakati.
Kinatakiwa kikokotoo DIGITAL ambapo mteja anatakiwa aweke tu Mshahara wake & Miezi uliyochangia; apate majibu ya Malipo ya mkupuo na pension ya kila mwezi (wastani)
Umewahi kufikiri mzee aliyekuwa amepata SIFURI ya hesabu umpe hicho kikototo cha manual?? nafikiri 70% ya wastaafu hawakielewi/hawawezi kukitumia
exactly, wanakificha makusudi. Mbona TRA kuna digital formula unaweka figure and you get istant answer.
 
angalia hapa


Formula

[1/580]×N×APE×12.5×33%

Where:
1/580 = accrual factor
APE = The best three years avarage salary
12.5 =Avarage life expectancy after retirement
33% = pension lumpsum at retirement
N = Number of months contributed


Kimsingi mfuko uwa unaangalia ile mishahara mikubwa zaidi ya miezi 36 (miaka mitatu) ambayo mwanachama alipokea ndani ya miaka kumi ya mwisho wa utumishi wake kabla hajastaafu. Hiyo mishahara mikubwa zaidi ya miezi 36 ndiyo ujumlishwa kwa pamoja na kisha kugawia tatu (yaani miaka mitatu) ili kupata wastani wa kipato hicho kwa mwaka mmoja mzima. Hiyo ndiyo APE kwenye formula Iliyotolewa na mdau kwenye comments za awali. Pia mfuko uangalia idadi ya miezi mwanachama aliyochangia kwenye mfuko (ambayo kwenye formula ndiyo N). Hivi vitu viwili ndivyo ubadilika kwenye formula kutegemea mwanachama na mwanachama wakati vingine havibadiliki.
Hivyo formula ya kupata kiasi cha mkupuo kusomeka kama ifuatavyo:
Commutted Pension Gratuity= (1/580) x N x APE x 12.5 x 33%.

Au kama hautaki kuangaika na mahesabu marefu tumia formula hii kupata pesa ya mkupuo:
0.007112 x N x APE.

Na formula ya kupata pension ya kila mwezi formula ni hii hapa chini:
(1/580) x N x APE x 1/12 x 67% au kwa kifupi chukua 0.0000963 × N x APE.

Kwa kutumia mshahara wa 2,116,000 na idadi ya miaka 32 (miezi 384) aliyotoa mleta mada hesabu inakuwa hivi:
Mkupuo: (1/580) x 384 x [(2,116,000 x 12 x 3)/3] x 12.5 x 0.33= TZS 69,346,427.60.
Duh mbona hatari sasa kwa sie tulio chini ya milioni 1 si ndio balaa, kama mwenye milioni 2 anaambulia milioni 69 tu


Kweli hapa ni kujiongeza mtu kabla haujastaafu uwe umekamilisha ndoto zako, ukisubiria pensheni ndio ujenge nyumba au kitu chochote cha ndoto yako, utaula wa chuya
 
Duh mbona hatari sasa kwa sie tulio chini ya milioni 1 si ndio balaa, kama mwenye milioni 2 anaambulia milioni 69 tu


Kweli hapa ni kujiongeza mtu kabla haujastaafu uwe umekamilisha ndoto zako, ukisubiria pensheni ndio ujenge nyumba au kitu chochote cha ndoto yako, utaula wa chuya
Wewe subiri ustaafu then uishi kwa 250k kwa mwezi then uone kama utatoboa miaka mitano

Sent from my TECNO CF7 using JamiiForums mobile app
 
Kwa kutumia namba zako za NSSF unaweza ukaingia Kwenye website yako na ukafungua akaunti ambapo inakuwa rahisi kujua una makusanyo kiasi gani,, na utapata kuona pia kila mwezi wanakuwekea hela ysko kiasi gani..

Pia jumla ya hela yote uliyochangia nssf wanakuonesha kirahisi bila kufanya hizo calculations
 
angalia hapa


Formula

[1/580]×N×APE×12.5×33%

Where:
1/580 = accrual factor
APE = The best three years avarage salary
12.5 =Avarage life expectancy after retirement
33% = pension lumpsum at retirement
N = Number of months contributed


Kimsingi mfuko uwa unaangalia ile mishahara mikubwa zaidi ya miezi 36 (miaka mitatu) ambayo mwanachama alipokea ndani ya miaka kumi ya mwisho wa utumishi wake kabla hajastaafu. Hiyo mishahara mikubwa zaidi ya miezi 36 ndiyo ujumlishwa kwa pamoja na kisha kugawia tatu (yaani miaka mitatu) ili kupata wastani wa kipato hicho kwa mwaka mmoja mzima. Hiyo ndiyo APE kwenye formula Iliyotolewa na mdau kwenye comments za awali. Pia mfuko uangalia idadi ya miezi mwanachama aliyochangia kwenye mfuko (ambayo kwenye formula ndiyo N). Hivi vitu viwili ndivyo ubadilika kwenye formula kutegemea mwanachama na mwanachama wakati vingine havibadiliki.
Hivyo formula ya kupata kiasi cha mkupuo kusomeka kama ifuatavyo:
Commutted Pension Gratuity= (1/580) x N x APE x 12.5 x 33%.

Au kama hautaki kuangaika na mahesabu marefu tumia formula hii kupata pesa ya mkupuo:
0.007112 x N x APE.

Na formula ya kupata pension ya kila mwezi formula ni hii hapa chini:
(1/580) x N x APE x 1/12 x 67% au kwa kifupi chukua 0.0000963 × N x APE.

Kwa kutumia mshahara wa 2,116,000 na idadi ya miaka 32 (miezi 384) aliyotoa mleta mada hesabu inakuwa hivi:
Mkupuo: (1/580) x 384 x [(2,116,000 x 12 x 3)/3] x 12.5 x 0.33= TZS 69,346,427.60.
Yaani Kwa miaka yote nilikuwa nasikia kikokotoo kikokotoo nimejaribu kutafuta mifano YouTube Kwa pssf, nssf lakini wapi, kama bahati Leo nipo hapa, nimekuelewa sana yaani sana, kumbe wamepunguza mkupuo wameongeza pension ya Kila mwezi. Nmecalucalate ukistaafu Kwa mshahara wa m2 Kila mwezi pension ni laki8 na mkupuo unapata 69,000,000
 
Yaani Kwa miaka yote nilikuwa nasikia kikokotoo kikokotoo nimejaribu kutafuta mifano YouTube Kwa pssf, nssf lakini wapi, kama bahati Leo nipo hapa, nimekuelewa sana yaani sana, kumbe wamepunguza mkupuo wameongeza pension ya Kila mwezi. Nmecalucalate ukistaafu Kwa mshahara wa m2 Kila mwezi pension ni laki8 na mkupuo unapata 69,000,000
Jichanganye
 
Back
Top Bottom