Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 37,681
- 46,367
Huu mfumo wa kuwalipa pensheni viongozi na watumishi wastaafu kwa muda wote mpaka wanapofariki sio endelevu, unaliumiza taifa kiuchumi na kuwadumuza watumishi wa serikali ambao wanasubiria pesa kiduchu kila mwezi zisizoweza kubadili chochote maishani mwao. Huu ni mfumo wa kitwana na kimasikini sana hasa kwa watumishi wastaafu wa ngazi za chini.
Serikali inapaswa kulipa kwa mkupuo pesa zote za pension kwa wastaafu muda mfupi tu pale watumishi wanapostaafu kisha kuwaacha waendelee na maisha ya binafsi. Kama hili ni gumu sana basi angalau iwekwe ukomo kwamba wastaafu walipwe pensheni zao zote ndani ya kipindi kisichozidi miaka mitatu tu tangu wastaafu.
#Pension ni actuarial science.
Serikali inapaswa kulipa kwa mkupuo pesa zote za pension kwa wastaafu muda mfupi tu pale watumishi wanapostaafu kisha kuwaacha waendelee na maisha ya binafsi. Kama hili ni gumu sana basi angalau iwekwe ukomo kwamba wastaafu walipwe pensheni zao zote ndani ya kipindi kisichozidi miaka mitatu tu tangu wastaafu.
#Pension ni actuarial science.