Watanzania wana uelewa mdogo kuhusu Pension Fund, 25% ni maamuzi sahihi

Mzee huwezi kuniletea mambo ya elimu kwenye pesa zangu,nimemaliza kazi yangu nipe changu nikafie mbele kwanini nianze tena kiguu na njia kwenda kudai pension yangu hali yakuwa mimi siyo muajiriwa wako tena?

Mnawaza kwa kutumia viungo gani vya miili yenu ninyi???Hizo sheria wenzetu wenye akili timamu wameweza kuzi-maintain kutokana na unakuta mtu akipewa mf hiyo 25% yake anaweza kwenda kuanzisha hata mradi sasa bongo unakuta hela yenyewe 17.2mill akipewa 25% akilipa tu nauli ya daladala hata genge hatokaa afungue.
 
Gussie; kuna mambo mengi hujayazungumzia na hasa jinsi hela za hii mifuko hutumika vibaya na serikali.

Lakini tusijaribu hata nukta kufananisha mifuko yetu na mambo ya ulaya au afrika kusini. We are nowhere close.

Halafu kuna sehemu unasema mifuko itaenda hasara iwapo italipa 25% kwa mkupuo na 75% kidogo kidogo. Kwa kweli sijakuelewa kabisa, watapata hasara vipi wakati wao wenyewe ndiyo wamepanga hivyo.

Kwa kweli wewe sio mwenzetu. Unaonekana hata hii mifuko haikuhusu.
Mkuu ahasante sana kwa uelewa ,Mimi nimeanzisha uzi kwanza kuwapa watu mambo yalivyo kwa ufupi Sana, Sijaeleza Kila kitu,

Mifuko ya Bima na Pension Fund ni Kama Baba na mtoto yote ipo kwa ajili ya Kinga yaani Cover

Moja ya tatizo kubwa ya mifuko hii duniani kote ni Pesa na pamoja na taarifa sahihi za wateja wao

Pension fund, Hawajui nani atakufa mapema Katika wachangiaji wake, wangejua ingekuwa rahisi Sana, wangeweza hata mlipa Mtu akiwa ana miaka 50 pesa yote

Kwa Bima kuna maendeleeo baadhi ya nchi unalazimishwa kupima afya hasa bima ya afya na kukadiliwa pesa ya kuchangia

Kiongozi hapa kwenye 25 percent na 75 percent ipo Hivi

Mosi, Angalia maisha ya wastaafu wetu hapa Tanzania pension ya mwezi wanayopata hasa wale wa zamani ni ndogo sana sana

Baada ya hii sheria pension ya mwezi itaongezeka sana sana, wazee wataishi Kama wapo kazini bado
Kuna mambo mengi yameangaliwa sema muda unabana lakini nitaeleza sana
 
Hawa ndo wale wale watu wa vigelegele

Yaaani hta serikal ingesema hakuna mafao nyie mngesapot tu

Na sabab mngekuja nazo
 
Una elimu ya kiwango gani? wewe ni mtu wa Taifa gani? unao jamaa zako walioko Tanzania ambao wapo kwenye utmishi wa umma?
 
Kiongozi ndio maana nimekuambia kuna aina nyingi za kuchangia, Elimu ni ndogo sana ya pension hapa kwetu, Huo mfumo wa ma DC au RC ni ishu ya Wataalamu tu kuamua, wao wanalipwa kwa Mara moja wanaita "Gratuity "

Kikubwa ni kuelimisha Raia mifumo iliyopo halafu tuchague
Hujaelimisha zaidi unashadadia unakofikiria pako sawa. Usilete uelimishaji kwenye jasho la mtu. Hiyo pesa mkumbuke siyo PAYE mpaka muitungie na sheria ya matumizi. Niacheni nitumie jasho langu hata kulipia mahali kwa wanawake kumi
 
Mimi mwenyewe naisubiri kwa kuwa nina uelewa mpana wa kuwekeza pesa yangu, Mkuu Mimi nimejifunza nchi za watu

Kwa ufupi Mimi pesa yangu nafanya haya

Nimenunua hisa UTT
Nimefungua Fixed deposit 5 Kila mwezi nakusanya riba yangu kodi serikalini

Nina share zangu Benk 2 tu

Hiyo sheria ya penseni inanihusu na ninauelewa mpana ndio maana nakuelekeza

Penda kujifunza Mkuu, usilaumu serikali, Pata maarifa
Hiyo elimu ya pension kwann usiitoe ili tuelewe?umekazania watanzania mna uelewa mdogo uelewa mdogo
Tupe bhasi iyo elimu,
 
Hiyo elimu ya pension kwann usiitoe ili tuelewe?umekazania watanzania mna uelewa mdogo uelewa mdogo
Tupe bhasi iyo elimu,
Soma hitimisho langu kwenye uzi utaelewa lengo la sheria ya Sasa, Soma uzi mwisho, 75 percent ni kumfanya mstaafu akistaafu Kila mwezi aishi Kama yupo ofisini kwa kupata install ment kubwa ndio lengo la sheria
 
Mkuu ahasante sana kwa uelewa ,Mimi nimeanzisha uzi kwanza kuwapa watu mambo yalivyo kwa ufupi Sana, Sijaeleza Kila kitu,

Mifuko ya Bima na Pension Fund ni Kama Baba na mtoto yote ipo kwa ajili ya Kinga yaani Cover

Moja ya tatizo kubwa ya mifuko hii duniani kote ni Pesa na pamoja na taarifa sahihi za wateja wao

Pension fund, Hawajui nani atakufa mapema Katika wachangiaji wake, wangejua ingekuwa rahisi Sana, wangeweza hata mlipa Mtu akiwa ana miaka 50 pesa yote

Kwa Bima kuna maendeleeo baadhi ya nchi unalazimishwa kupima afya hasa bima ya afya na kukadiliwa pesa ya kuchangia

Kiongozi hapa kwenye 25 percent na 75 percent ipo Hivi

Mosi, Angalia maisha ya wastaafu wetu hapa Tanzania pension ya mwezi wanayopata hasa wale wa zamani ni ndogo sana sana

Baada ya hii sheria pension ya mwezi itaongezeka sana sana, wazee wataishi Kama wapo kazini bado
Kuna mambo mengi yameangaliwa sema muda unabana lakini nitaeleza sana
Kiongozi nakuelewa, lakini unazungumzia zaidi ideal situation na sio uhalisia uliyopo Tanzania.

Ila nakuelewa.
 
Tembea uone Mkuu,
Huko Africa kusini hata mambo ya Afya mwajiri hayamuhusu ni wewe mwenyewe unatafuta Insurance upendayo unachangia

Hapa Tanzania uelewa ni mdogo Sana, Watu Kila kitu wanasubiri serikali

Achana na mambo ya serikali utakufa maskini Jifunze

Gussie,

Wewe ndiye tatizo, huelewi lakini wadhani unaelewa...

Kwa kesi ya Health Insurance, kwani kuna raia hapa Tanzania anakatiwa bima ya afya kwa gharama za serikali na siyo yeye mwenyewe kuchangia?

Ni nani huyo tafadhali? Hebu mtaje hapa bwana kwa maana naona ni kama vile unaendelea kutulisha matango pori tu hapa....
 
Gussie,

Wewe ndiye tatizo, huelewi lakini wadhani unaelewa...

Kwa kesi ya Health Insurance, kuna raia hapa Tanzania anakatiwa bima ya afya kwa gharama za serikali na siyo anachangia?

Ni nani huyo tafadhali? Hebu mtaje hapa bwana kwa maana naona ni kama vile unaendelea kutulisha matango pori tu hapa....
Ahsante kiongozi kwa kuuliza na kuhoji
Kwenye hizi bima hasa ya NHIF kuna mambo watu hawaambiwi pia, Hii Bima ya NHIF kuna vitu "neno la kiswahili "not covered niseme haitoi Kinga kwa baadhi ya Magonjwa lakini watu hawajaambiwa mpaka yakukute,
Tunapojadili Mtu anachangia na serikali pia inachangia NHIF walichofanya ni kupunguza gharama yaani Cost sharing tu tofauti na zamani
 
Kama ni nzuri kwa nini isitumike kwa watunga sera na Maboss wao?
 
Tembea uone Mkuu,
Huko Africa kusini hata mambo ya Afya mwajiri hayamuhusu ni wewe mwenyewe unatafuta Insurance upendayo unachangia

Hapa Tanzania uelewa ni mdogo Sana, Watu Kila kitu wanasubiri serikali

Achana na mambo ya serikali utakufa maskini Jifunze
Hyo govt ndio haitaki mambo yawe kama South
 
Soma hitimisho langu kwenye uzi utaelewa lengo la sheria ya Sasa, Soma uzi mwisho, 75 percent ni kumfanya mstaafu akistaafu Kila mwezi aishi Kama yupo ofisini kwa kupata install ment kubwa ndio lengo la sheria
Nani ana haki ya kunipangia fedha yangu niliyokusanya 30yrs+???. Wambie waje wanipangia na siku za kusex na mke wangu nikisitaafu...
 
kibhojela, Madhara ya kusoma Tanzania Mtu akishindwa kujibu hoja huanza kukasirika na kutukana

Serikali haijaanzisha hii mifuko kujaza watu pesa duniani kote, Ipo kutoa Kinga tu

Tatizo hamjasoma hiyo sheria, Pia hamfahamu maana ya Pension

Pension unapewa kwa Kanuni na mahesabu maalum

Serikali kwa Sasa imekuja na Kanuni muafaka wameondokana na Kila mfuko kujifanyia lake
 
Umeandika maneno mengi halafu umepotosha. Mfumo unaotumika Tanzania huo wa waajiri na waajiriwa kuchangia amount flani kwenye mfupo wa pension kama NSSF unaitwa defined contribution plan na sio defined benefit plan (kasome IAS 19 - Employees Benefits).

Na moja ya tofauti yake kubwa ni kwamba defined contribution plan inamfanya mwajiri asiwe na mzigo zaidi ya kile kiasi anachochanga kwenye mfuko. Yaani kwa mfano hiyo mifuko ikibuma, huwezi kurudi kwa mwajiri ukamwambia aongezee ili kufidia hasara.

Mengine uliyoandika pia unaonekana hujafanya utafiti wa kutosha. Ukitaka kutetea kitu jisomee kwanza. Points za kutetea hiyo 25% ungezipata kama ungejisomea na kufanya utafiti wa kina.
 
Unazungumzia Africa kusini halafu unakuja kufananisha na Tanzania, ...
Life expectancy ya SA na TZ zikoje.
Pato la mwananchi SA na TZ lipoje..
GDP ya south na Tanzania zipoje..
Social service pale SA na TZ zipoje..
Huduma za Afya SA na TZ zipoje..

Watanzania bado masikini na jamii zao...
Inahitajika akili nyingi zaidi ya hii ya Jenister wa peramiho kudeal na hayo mambo...
Mishahara ya watanzania wengi ni midogo sana kulingana na hali halisi..
Unahitaji kwanza kujenga maisha ya watanzania waishi kama binadamu ndio uanze kuleta hizi sera..otherwise unaendelea kuwafanya hawa watu masikini wa kutumwa...
 
Back
Top Bottom