Extroverted Introvert
JF-Expert Member
- Aug 18, 2022
- 859
- 2,114
Bro jiko lina option, tumia gesi au tumia umeme. Mtu anatumia gesi akiona jiko la umeme ni gharama kuliko la gesi
Vipi kwani kuna flat screen za gesi? Kuna AC za gesi? Kuna fridge za gesi? Kama hizo nazo zingekuwa na option ya gesi basi watu wasingetumia umeme.
Vipi kwani kuna flat screen za gesi? Kuna AC za gesi? Kuna fridge za gesi? Kama hizo nazo zingekuwa na option ya gesi basi watu wasingetumia umeme.