Idugunde
JF-Expert Member
- May 21, 2020
- 6,278
- 6,651
Inashangaza sana na inatia huruma. Maana Chadema ambayo ni mali binafsi ya Mbowe inapokea ruzuku ambazo ni kodi za wananchi.
Lakini kero na matatizo ya Watanganyika yanazungumzwa na chama tawala!
Chadema ambayo ni mali binafsi ya Mbowe wanawaza ruzuku na kulamba asali huku wakitengeneza mazingira ya kupata ubunge 2025. This is nonsense
Lakini kero na matatizo ya Watanganyika yanazungumzwa na chama tawala!
Chadema ambayo ni mali binafsi ya Mbowe wanawaza ruzuku na kulamba asali huku wakitengeneza mazingira ya kupata ubunge 2025. This is nonsense