So far nawajua wawili tu
Andrew Chenge, na Arnold Kileo...
kuna mtu anaweza ku list wengine ambao wamesoma chuo hiko maarufu
na wengi wanasema ndio the best in the world?
So far nawajua wawili tu
Andrew Chenge, na Arnold Kileo...
kuna mtu anaweza ku list wengine ambao wamesoma chuo hiko maarufu
na wengi wanasema ndio the best in the world?
Justinian Rweyemamu
Hawa wawili wa chini nilikutana nao Maryland near Washington DC.
Somebody Daghar, Orijino Tanga.
Dr. Ahmed M. (B/M and PhD) zote Harvard. USA hawamwachii huyu hata kidogo yupo NSA, Orijino Dodoma.
Currently kuna vijana watatu wa kibongo ninaowafahamu pale Harvad School of Med. na mmoja yupo Havard Law, But as a matter of privacy I'm not gonna disclose their names
mi nilisikia Rweyemamu alikuwa anafundisha Harvard na sio kusoma
Currently kuna vijana watatu wa kibongo ninaowafahamu pale Harvad School of Med. na mmoja yupo Havard Law, But as a matter of privacy I'm not gonna disclose their names
So far nawajua wawili tu
Andrew Chenge, na Arnold Kileo...
kuna mtu anaweza ku list wengine ambao wamesoma chuo hiko maarufu
na wengi wanasema ndio the best in the world?
So far nawajua wawili tu
Andrew Chenge, na Arnold Kileo...
kuna mtu anaweza ku list wengine ambao wamesoma chuo hiko maarufu
na wengi wanasema ndio the best in the world?
Ni nani na yuko wapi now?
Kama alivyosema Sheriff Arpaio...Harvard kuna baadhi ya wabongo wapo hapo na wengine wamepiga Ila kwa privacy za watu hatupendi kuziingilia au kuzivuruga. Kuna Kijana mmoja ni Daktari(Bio Chem)na wawili ni wachumi.
mi nilisikia Rweyemamu alikuwa anafundisha Harvard na sio kusoma
Nafikiri ukishasoma tu Harvard ni kitu tosha watu wakufahamu..
sio kila mtu anapata nafasi ya kusoma Harvard...
watu wangependa wajue ni nani na nani au?
hayati baba wa taifa jk Nyerere
hayati baba wa taifa jk Nyerere