Watanzania waishio Rio de Janeiro

Watanzania waishio Rio de Janeiro

Eli24

Senior Member
Joined
Jan 1, 2018
Posts
165
Reaction score
365
Habari za Jioni ndugu zangu FB

Ngoja niende moja Kwa moja kwenye point, wiki iliyopitaa nimeweza pata kufka kwenye Jiji maarufu huku Latin America la Rio de Janeiro.

Niko kikaz kidogo ila nitataman kukutana na watanzania waishio katika jiji hili tupge story mbili tatu na kufahamiana zaidi. Kama Uko free basi karibu pm tujajengeee. Ahsante sana.
 
Watanzania mbona wako wengi sana huko mzee,yaani wengi sana
Ukiamua kuwa tafuta unawapata chap

Ova
 
2012 alikujaga g.bilal alikutanaga na watZ hapo rio...nakumbk ilikuwa kwenye hotel ya arena
Maafisa wa ubaloz hapo wkt ule walikuwa malambugi na huyu mama mulamula,sahv wazir
Ila nna swali nia na dhumuni yako kukatana nao ni nini?

mzee maana asilimia kubwa ya Watanzania huko wanaishi kimazabe

Ova
 
Habari za Jioni ndugu zangu FB

Ngoja niende moja Kwa moja kwenye point, wiki iliyopitaa nimeweza pata kufka kwenye Jiji maarufu huku Latin America la Rio de Janeiro.

Niko kikaz kidogo ila nitataman kukutana na watanzania waishio katika jiji hili tupge story mbili tatu na kufahamiana zaidi. Kama Uko free basi karibu pm tujajengeee. Ahsante sana.
We tafuna mbususu za kibrazil urudi,mambo ya kuchoreshana hayatakiwi ugenini,utajiingiza ktk misala isiyokuhusu,wabongo wenyewe wanaishi kimazabe huko kuuza ngada,wizi etc,usitafute kujuana sana ugenini
 
We tafuna mbususu za kibrazil urudi,mambo ya kuchoreshana hayatakiwi ugenini,utajiingiza ktk misala isiyokuhusu,wabongo wenyewe wanaishi kimazabe huko kuuza ngada,wizi etc,usitafute kujuana sana ugenini
Haha kweli,wote huko wabongo wako mazabe tu

Ova
 
Hilo Jiji nina hamu kubwa siku moja nikatembelee hizo Favela Meat loaf na P,Cabanna niinjoi Vyura in Thongs.
 
Habari za Jioni ndugu zangu FB

Ngoja niende moja Kwa moja kwenye point, wiki iliyopitaa nimeweza pata kufka kwenye Jiji maarufu huku Latin America la Rio de Janeiro.

Niko kikaz kidogo ila nitataman kukutana na watanzania waishio katika jiji hili tupge story mbili tatu na kufahamiana zaidi. Kama Uko free basi karibu pm tujajengeee. Ahsante sana.
Unataka kufa nini ? ,Crime rate ya Hilo jiji ni balaa , wahuni ndio waliozaliwa huko
 
Kuna jamaa nilikaa nae magomeni kagera, toka 1997 alizamia uko mpaka leo hatujui yupo wapi
 
Hilo Jiji nina hamu kubwa siku moja nikatembelee hizo Favela Meat loaf na P,Cabanna niinjoi Vyura in Thongs.
Favela ni hatari sana huko mkuu,mitaa inatawaliwa na madrug dealer tu hasa kule milimani,kule kula shaba ni jambo la kawaida tu,

Copacabana beach kuna unafuu kiasi ila ukiingia kule ndani ndani ni balaa.
 
Favela ni hatari sana huko mkuu,mitaa inatawaliwa na madrug dealer tu hasa kule milimani,kule kula shaba ni jambo la kawaida tu,

Copacabana beach kuna unafuu kiasi ila ukiingia kule ndani ndani ni balaa.
Mimi nitajichunga na Brazilian Police kuliko dealers Favelas ni Product ya Ubaguzi dhidi ya AfroBrazilians nilishawahi kuwa na uhusiano na Binti mmoja alikuwa ni Mixed Race alikuwa ni mhamiaji haramu alikuwa natumia Portugal Passport alikuwa ni Mrembo kweli kweli tulipotezana baada ya wyeye kuwa Deported
 
We tafuna mbususu za kibrazil urudi,mambo ya kuchoreshana hayatakiwi ugenini,utajiingiza ktk misala isiyokuhusu,wabongo wenyewe wanaishi kimazabe huko kuuza ngada,wizi etc,usitafute kujuana sana ugenini
😄😄 Afuate ushauri wako mkuu.
 
Hilo Jiji nina hamu kubwa siku moja nikatembelee hizo Favela Meat loaf na P,Cabanna niinjoi Vyura in Thongs.

Mwana jiji liko poa kabsa. Toto Za kumwaga aisee. Beach Za kutosha, people are so friendly though sio wengi wanaongea kingereza ila hakishindikan kitu. Karibu sana Rio de Janeiro.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom