Ubora wa Elimu inaweza kuwa ni moja ya sababu kuu. Kimsingi graduate wa KY na UG ni bora zaidi ya wa kwetu.Nitakuchapa wewe ushindwe na ulegee watu hata siwajuia wewe ngoja nikuache bahati yako ni kaka yangu nilishaanza kuvuka mipaka
Hatupendi kuthubutu. Mfano katika mpaka wa Mtukula, upande wa UG umechangamka zaidi ya wa TZ.
Hatupendi kusafiri na kujifunza. Mtu akipambanishwa na mgeni anakosa ujasiri kwani anaamini wakenya na waganda si watu wa kawaida. super zaidi yake.
Hatupendi kujisomea. Si wanafunzi wa vyuo, sekondari wala wananchi wa kawaida.mfano unaweza safiri toka dar mpaka mwanza. usione hata mtu anasoma gazeti.