Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 59,003
- 103,390
Ingekuwa ni watanzania wamechagua ningeelewa, si hizo kura za tiss. Kama ni watanzania walichagua, hiyo kuweka watu wa dini moja inatoka wapi?Hivi ulidhani ni lazima watanzania wachague wabunge wa Chadema? Kilio chako ni kukosa ubunge na udiwani plus ruzuku. Utalia mpaka lini?