Mkuu mambo ya takwimu na hesabu yamekatazwaIn Summary iko hivi:
Mawaziri wanawake 4 sawa na 17%, Wanaume 83% ( a good lesson to Ndugai's rants about Chadema gender biasness)......
Waislam ni 3 sawa na 13%, Wengine 87% (na assume waliobaki wote ni Wakristu)
Zaidi ya 50% wanatoka kanda ya ziwa
Hii ni just highlight ya hali ya Baraza ilivyo na wala siyo watu wanalisema vibaya maana hamna cha uongo wanachokisema. Labda kama haupendi Maths & Statistics
Sisi tunaliombea badaza li-delivery kadri ya matamanio ya mteuaji na chama tawala
Hujanielewa na huta nielewa mana unawaza kwa mrengo mmoja tu wa uteuzi wa kidini.Nyinyi wajinga was kipenyo msituletee hoja za hovyo humu. Mna andika mareeeefu ambayo ni uharo tu. Akili zenu zimeishia kwenye siasa tu usalama, uchumi etc zero. Hakuna legitimacy kwenye uteuzi wa mawaziri period.
Linapokuja suala la kufyeka maslahi hua CCM na wapinzani wanaungana kupinga mana wote ni wanasiasa wanaotumia siasa kama biashara.Umeandika insha ndefu, kumbe wewe ni Lumumba fc!